Mchawi,au mwanga(sio light)
Kigagula ndio nani/nini mkuu?
Kigagula ndio nani/nini mkuu?
nimetoa maon kwa mujibu wa theme ya uzi wenyewe,sion wa kumlalamikia,coz jf si muhimu xana kwangu,
Lol hata mi nipo nawaona kise...kiselaJg ni poa aseee...hainaga mori wala kwikwi...ni fulu yani...naje pande zako jombaa???tunapishana KISE....KISENGEREMA...nahisi tumekua busy asee...mamaa husny yuko njema?
Inabidi uwe unatumia vidonge vya majira [ pills ]!!!
Jg ni poa aseee...hainaga mori wala kwikwi...ni fulu yani...naje pande zako jombaa???tunapishana KISE....KISEN.G.E...nahisi tumekua busy asee...mamaa husny yuko njema?
Mi pia nimo.....Yupo njema sana, na probably mwisho wa mwezi huu ndiyo tukawa couples.
Wazee wa familia yangu wamenishauri tufunge ya kimyakimya, na hasa walipoona ile mivutano ya kamati.
Aidha imependekezwa kutoka Jf wataalikwa a certain members wasiozidi 30.
So 15 ladies with 15 gentles.
Piga garagaza ua wewe umo katika 10 out of 15 waliokwisha orodheshwa.
Further details nitakuletea.
Weeee....unamtakia nini shem wangu??/Mmmmhh mbona unaguna? Vidonge vya majira visipokupa nafuu tumia ARV's vitakusaidia sana!!
Pilau litakuwepo? Kama litakuwepo nitakula pilau na mrija.Yupo njema sana, na probably mwisho wa mwezi huu ndiyo tukawa couples.
Wazee wa familia yangu wamenishauri tufunge ya kimyakimya, na hasa walipoona ile mivutano ya kamati.
Aidha imependekezwa kutoka Jf wataalikwa a certain members wasiozidi 30.
So 15 ladies with 15 gentles.
Piga garagaza ua wewe umo katika 10 out of 15 waliokwisha orodheshwa.
Further details nitakuletea.
Yupo njema sana, na probably mwisho wa mwezi huu ndiyo tukawa couples.
Wazee wa familia yangu wamenishauri tufunge ya kimyakimya, na hasa walipoona ile mivutano ya kamati.
Aidha imependekezwa kutoka Jf wataalikwa a certain members wasiozidi 30.
So 15 ladies with 15 gentles.
Piga garagaza ua wewe umo katika 10 out of 15 waliokwisha orodheshwa.
Further details nitakuletea.
Bagah mi mchawi??ooh...!habari njema izo!umeimalizia vema siku yangu ya leo...nimefurahia pia uteuzi wenu,ujue ile kamati ilikua inatuchanganya kiukweli!..nita kuPM kukuelezea mchango wangu kwa harusi yako!..mana humu wachawi wengi wakiwakilishwa na ERICKY (Braza angu!)
Mi pia nimo.....
Bagah mi mchawi??
Hujui hata harusi ya kimyakimya mi bd muhusika??
Hata rais akistaafu bd anaheshmika...oooh