MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Mimi siku ikipita bila kuchungulia yaliyojiri ndani ya hili jukwaa letu huwa nahisi kama nimekosa kitu muhimu sana ktk maisha yangu. Huwa najihisi mkiwa, mnyonge na nakosa furaha siku hiyo. Je hali huwa inakuwaje kwako ukilikosa hili jukwaa let say per day,week or month?.