cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
mi nisipoingia humu inamaana ninakua busy hivyo kama niko busy wala muda wa kuwaza JF sina.
Naiwaza jf nikiwa niko na muda wa kuwepo hapa,nikiwa na mupenzi namuwaza mupenzi nikiwa shule nawaza masomo nikiwa job nawaza kazi nikiwa sehemu ya starehe nawaza starehe,nikiwa holiday saint tropez nawaza holiday,nikiwa na mashoga zangu nawaza umbea mbalimbali wanaonidokeza na mambo yetu mengine hivyo muda wa kuugua nikiwa siko jf bado sijaupata.
Nyie mnaougua hamna maisha mengine mbali ya maisha ya jamvini ?au mnajiendekeza tu.
Naiwaza jf nikiwa niko na muda wa kuwepo hapa,nikiwa na mupenzi namuwaza mupenzi nikiwa shule nawaza masomo nikiwa job nawaza kazi nikiwa sehemu ya starehe nawaza starehe,nikiwa holiday saint tropez nawaza holiday,nikiwa na mashoga zangu nawaza umbea mbalimbali wanaonidokeza na mambo yetu mengine hivyo muda wa kuugua nikiwa siko jf bado sijaupata.
Nyie mnaougua hamna maisha mengine mbali ya maisha ya jamvini ?au mnajiendekeza tu.