Acha kutishatisha watu humu. Huyo Lowassa ni wakawaida sana wala hana lolote la maana.aisee huyu ndio lowasa kama uzi ulivyosema, yaani ana mahesabu makali ya kisiasa, hata hii JF kashaipigia mahesabu kisiasa na ndio maana thread zake haziishi humu ndani.
Hawa wapambe wake humu JF wakiongozwa na Pasco ni waganga njaa wanaojipendekeza kwake ili awape ulaji tu.