Madumbikaya
JF-Expert Member
- Jun 6, 2018
- 638
- 1,902
Tundu Lissu ameyasema hayo alipotembelea familia ya Lowassa kuhani msiba kuwa amefika kumpa pole mwalimu wake aliyemfundisha darasani miaka arobaini na moja iliyopita.
Tundu Lissu amesisitiza ukimtoa Mwalimu Nyerere kwa ushawishi anayefuata ni Edward Lowassa kwa ushawishi, hivyo Taifa limepoteza mtu aliyekuwa na ushawishi sana.
Akiwa msibani kwa Lowassa Rais mstaafu Jakaya Kikwete amekiri alishawishiwa na Lowassa kugombea urais mwaka 1995 akiwa ameambatana na Samwel Sitta na Rostam Aziz.
Aidha Paul Makanda akiwa msibani amekiri Lowassa ndio mwanasiasa ambaye walimtukana lakini hakuwahi kunyanyua mdomo kumjibu mtu yeyote yule hapa Tanzania.
Tundu Lissu amesisitiza ukimtoa Mwalimu Nyerere kwa ushawishi anayefuata ni Edward Lowassa kwa ushawishi, hivyo Taifa limepoteza mtu aliyekuwa na ushawishi sana.
Akiwa msibani kwa Lowassa Rais mstaafu Jakaya Kikwete amekiri alishawishiwa na Lowassa kugombea urais mwaka 1995 akiwa ameambatana na Samwel Sitta na Rostam Aziz.
Aidha Paul Makanda akiwa msibani amekiri Lowassa ndio mwanasiasa ambaye walimtukana lakini hakuwahi kunyanyua mdomo kumjibu mtu yeyote yule hapa Tanzania.