Siasa ni Hesabu. Anayebisha Amuangalie Lowassa Halafu Awaulize Sitta na Nnape

LOWASSA anaona mbali. Angalia Secondary za Kata, angalia UDOM. Na Alikuwa anasimamia zahanati kila kijiji. Amejiuzuru Mpaka Leo hakuna wa kusukuma hizo zahanati. Mmasai aliwatoa mawaziri wote maofisini kwenda mikoani kusukuma miradi ya MAENDELEO . Acheni Siasa za kitoto. Wananchi wanamkubali.
 
Mtasema yote lakini kama alivyosema Ndashenembandu, Lowasa ataendelea kuchanja mbuga!

Siku nyingi zilizopita niliwahi kusema kwa siasa za Tanzania ndani ya ccm hakuna wa rank yake kwa sasa, ninakubali kwamba anacheza karata zake kwa mahesabu ya hali ya juu.

Kazi moja tu inayoonekana kuwa ngumu kwake ni kuteka nyoyo za watanzania walio wengi ambao ndio wenye maamuzi ya mwisho, upepo wa mageuzi umeshika kasi, dunia imebadili mwelekeo hakuna ubishi hilo liko wazi. Turufu pekee ni kwakutumia vyombo vya dola kuingia madarakani kama ambavyo chama tawala kimekuwa kikifanya..
 
LOWASSA anaona mbali. Angalia Secondary za Kata, angalia UDOM. Na Alikuwa anasimamia zahanati kila kijiji. Amejiuzuru Mpaka Leo hakuna wa kusukuma hizo zahanati. Mmasai aliwatoa mawaziri wote maofisini kwenda mikoani kusukuma miradi ya MAENDELEO . Acheni Siasa za kitoto. Wananchi wanamkubali.

he! unamaana mama yako ni mtoto! sasa alikuzaaje, ukamfungulie mashtaka baba yako ya kubaka,
utukome¿¿¿¿¿
 
binafisi nmeshaeleza mara nyingi apa jamvini kuwa lowasa ni mzee wa plan B na wenzake ndan ya chama a.k.a kna nape na kaka yao sta na membe waliona dawa ni kumfukuza kwa sababu kumuangusha hawawezi...lowasa anajua waazi wapnzani na amejipanga kupambana nao 2015 pia rchmond kwa sasa si ajenda kwa sababu tunajua alikuwa mbuzi wa kafara ili aokoe serikali...Mwanafalsafa mmoja alisema "UKIMSHNDWA UNGANA NAE" Natoa ushauri wa bure kwa membe(anayedai akpata urais atafukuza watanzania kwenda kenya asivyojua mikakat),mengi,sita, na nape kuungana tu lowasa....LOWASA NI MCHAPA KAZI FULL STOP.
 
Siku nyingi zilizopita niliwahi kusema kwa siasa za Tanzania ndani ya ccm hakuna wa rank yake kwa sasa, ninakubali kwamba anacheza karata zake kwa mahesabu ya hali ya juu.

Kazi moja tu inayoonekana kuwa ngumu kwake ni kuteka nyoyo za watanzania walio wengi ambao ndio wenye maamuzi ya mwisho, upepo wa mageuzi umeshika kasi, dunia imebadili mwelekeo hakuna ubishi hilo liko wazi. Turufu pekee ni kwakutumia vyombo vya dola kuingia madarakani kama ambavyo chama tawala kimekuwa kikifanya..

Safari hii na watumie vyombo vya Dola tuwaonyeshe.
 
Kweli bongo siasa ni hesabu ukichukulia kwamba 70% ya wapiga kura hawana uelewa yaani unahitaji akili kidogo kuwapotezea mwelekeo. Leo wengi wao wanajipanga kumpa shavu Dr. lakini ukitaka kuwachanganya rahisi sana
1. Wachanganye kwa ubaguzi wa kidini na kikabila hadi wakomae
2. Mweke ZZK pale juu kumbuka kule kwingine atakuwepo lazima profesa katulia hivyo watagawana kura za victims wa udini
3. Mchomeke EL huku yeye anachukua zile za ZZK za victims wa ukabila +udini+chuki pamoja na za chama cha mafisadi zote
Hapa mchezo kwisha
Mtabaki mnalalama mpaka koo ziwakauke. Hii Bongo bwana kila mtu ana bei yake
 
Mada hii , ni sindano ya moto imewachoma kotekote ndani ya CCM na nje kwa hakika umemaliza kila kitu
 
umefika wakati kwa kila ajuaye udhaifu wa Lowasa auanike hapa jamvini. kadhalika kila ajuaye mazuri yake ayaweke hapa. tutasoma na kutafakari na kupima wenyewe. maelezo tu yasiwe maoni. yaani yawe facts about Lowasa and not opinions. humu watu wanaleta opinions badala ya facts au wanaleta opinions na kuzijustitfy na weak factss. ninaposema facts ni lazima ziwe porved beyond doubt full with evidence.
Endelea kusubiri facts wakati watu wanasonga mbele.
 
Endelea kusubiri facts wakati watu wanasonga mbele.
wanaweza kusonga mbele lakini ikawa si na lowasa. basi kama wewe umeona lowasa ni material nzuri ya urais kwa nini watu wasimjadili kwa kuangalia ukweli kuhusu mtu huyu ili mwisho wa siku wakiamua kumchagua au kutomchagua wasimlaumu mtu
 
Ishakuwa vry late saiv watz hata hatuuitaji huo upuuzi ambao ww eti unauita ukweli. Hatudanganyiki kirahisi kama anaukweli kwa nn asingeusema bungeni badala ya kukimbilia kujiuzulu? Anasubiri ni nini? Na ili amlinde nani? Kwa masilihi ya nani? mtu yeyote akishajiuliza maswali marahisi kama hayo juu ya hyu mwizi hawezi hata kumdhania kwenye nafasi ya urais mamvi. Kitu nnachokifurahia ni kwamba jamaa hawezi kuonga watz wote kama anajidanganya rushwa ndo ushindi.

umesema wewe kwenye siasa haijawa late kama wewe unamchukia sawa ila yeye ni kiongozi tofauti na jk na mr 6 kwani wewe unajua mwaka1968 6 alijaribu kuwa laighai wenzie kuhusu jkt na alichapwa viboko wewe baki na 6 wako
 
Ndio kwanza nafika nyumbani kutoka kikaoni. Ni kikao cha mwisho cha Kamati Ndogo ya kuratibu Uchaguzi wa Sumbawanga Mjini ambao upo zaidi ya njiani. Kikao hiki kiliahirishwa kwa 'sms' toka tarehe 26/10/2012 hadi leo hii.

Kama ilivyo ada, ajenda zetu zikategemea kinachozungumziwa ndani ya chama na Serikali kwa wakati huu. Tukaacha ajenda zetu za uchaguzi wa Sumbawanga,tukaanza kujadili uchaguzi wa ndani wa CCM na uchaguzi wa jana tu wa Nafasi hasa za Udiwani.

Tukasomewa waraka wa 'Wajuu' wetu,kama ilivyo desturi unaotahadharisha kuwa chama kinanunuliwa na Lowassa. Katika majadiliano,ikasemwa kuwa Lowassa amenunua wagombea mbalimbali na 'kuwashindisha'. Amefanya hivyo ili kujipanga kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.Suala hili haliwafurahishi Viongozi Waandamizi wa Chama.Hatahivyo,ni vigumu kumdhibiti Lowassa kwakuwa anaungwa mkono na 'Wenye Chama'.

Kwakuwa kati ya Wajumbe wa Kamati yetu walikuwa ni Wabunge,wao walionywa kuwa makini na CHADEMA na Lowassa Bungeni. Walitakiwa wahakikishe kuwa CHADEMA na Lowassa hawafurukuti hata kwa njia yoyote ile. Wajumbe hao wakatakiwa wafikishe ujumbe huo kwa wengine.

Wanakamati tukatakiwa kuanzia sasa tuimbe wimbo wa Lowassa ni 'mgumba',na si gamba. 'Mgumba' kwa kuwa hatapata anachokitaka kupitia chama cha Mapinduzi.Hii ni kwakuwa falsafa ya kuvua gamba imeshindikana na inatakiwa inyamaziwe kimya ili ife yentewe.Wananchi wataisahau tu! Tukaapizwa hivyo. Kamati yetu ikavunjwa rasmi baada ya Mjadala Mkali juu ya Uchaguzi wa Sumbawanga na hali ya kisiasa nchini. Wandugu muwe na usiku mwema!
 
Mtasema yote lakini kama alivyosema Ndashenembandu, Lowasa ataendelea kuchanja mbuga!

Rafiki tukumbushane kidogo, hivyo unafikiri kwa nini Baba wa taifa hil marehemu Nyerere alimzuia Lowasa kugombea urais mwaka 1995? Je unajua mtandao unotumia pesa nyingi kwenye chaguzi za CCM ndiyo mtandao uliomuua baba yetu Nyere? je una jua mtandao huo umekuwa ukiongozwa na unaongozwa na nani sasa
 
Back
Top Bottom