samstevie
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 202
- 31
Kwangu mimi hii ni angalizo kwa CDM kuwa makini na wote wanaohamia kutoka CCM kwani sio wote watatufaa wengine wamekuja CDM kwa hasira ya kunyimwa nafasi ktk chama chao na wanatumia hasira kuja upinzani huku nyoyo na itikadi zao bado ziko Magambani..next time watu wa namna hii wapewe majukumu ya kujenga chama kabla ya kuwapa nafasi muhimu watatuvuruga kama viongozi wamo humu naomba awafanyie kazi maoni yetu.
Kwa kifupi Shibuda hatufai tumepanda safina moja na chatu atatumeza.
Kwa kifupi Shibuda hatufai tumepanda safina moja na chatu atatumeza.