Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,651
Kirusi kibaya zaidi ni padre Slaa na jopo lake la wahuni.
Kesho tunaanza maandamano nchi nzima ili kuhakikisha kamanda PONDA anaachiwa bila masharti.
Ha haaa unachekesha kweli,slaa ni level nyingine kabisa sio za ponda!...nyie c muliandamana ili ubalozi wa marekani ufungwe mmefikia wapi na 2 weeks mlizotoa?yaan hata hamjiulizi mwisho wa cku huwa mnaproove failure!haya muandamane muone mwema na kova watakavyowafanya