Mohamed Abubakar
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 545
- 684
Katika uchaguzi uliopita Sheikh Ponda allibukia kuiunga mkono CHADEMA na akatoa kuwa 'WAISLAM TUMEKUBALIANA KURA ZOTE ZA URAIS TUTAMPIGIA TUNDU LISSU'.
Kauli hii iliungwa mkono kwa kiasi kikubwa na Waislam isipokuwa Bakwata ambao mkakati wao wamejiegemeza zaidi kwa CCM.
Bahati mbaya kwa CHADEMA wamekuwa ktk kampeni ya Okoa Bandari. Kampeni iliyowaongezea ushawishi wa wananchi kwa mikoa ya bara ambayo kimsingi hawajui manufaa ya kiuchumi yanayopatikana kwa wananchi, wakati huo huo imezidi kujipotezea ushawishi kwa mikoa ya mwambao wa habari ya hindi.
Dalili ya kukataliwa alionekana siku ya ufunguzi kule temeke.
Na katika hili Sheikh Ponda yuko upande wa fikra zilizo mioyoni mwa watu wa mwambao kuwa Mkataba usisitishwe bali yafanyiwe marekebisho.
Katika suala la uchaguzi Sheikh Ponda mara zote husisitiza kupiga kura ya Maslahi.
Kwa maana ya kupiga kura kwa mgombea aliyeonyesha kuwa na sera zenye maslahi kwa waislam.
Ktk hali hii mgombea aliyetanguliza maslahi ni Mama Samia.
Swali ni hili: Iwapo mchakato wa waislam unaoendelea wa kuwaunganisha viongozi wa kiislam na taasisi wanazoziongoza; wawe na kauli moja juu ya mgombea gani watakaemuunga mkono; ambae kimsingi ni Mama Samia.....
Swali ni je Bakwata Watapinga kweli kama walivyopinga 2020.
Ktk hali kama hii tunadhani ndoto ya CHADEMA kuchukua dola itakuwepo tena.
View: https://youtu.be/uF_HyFwGwNU?si=De0knfVJGFewTJBy
Kauli hii iliungwa mkono kwa kiasi kikubwa na Waislam isipokuwa Bakwata ambao mkakati wao wamejiegemeza zaidi kwa CCM.
Bahati mbaya kwa CHADEMA wamekuwa ktk kampeni ya Okoa Bandari. Kampeni iliyowaongezea ushawishi wa wananchi kwa mikoa ya bara ambayo kimsingi hawajui manufaa ya kiuchumi yanayopatikana kwa wananchi, wakati huo huo imezidi kujipotezea ushawishi kwa mikoa ya mwambao wa habari ya hindi.
Dalili ya kukataliwa alionekana siku ya ufunguzi kule temeke.
Na katika hili Sheikh Ponda yuko upande wa fikra zilizo mioyoni mwa watu wa mwambao kuwa Mkataba usisitishwe bali yafanyiwe marekebisho.
Katika suala la uchaguzi Sheikh Ponda mara zote husisitiza kupiga kura ya Maslahi.
Kwa maana ya kupiga kura kwa mgombea aliyeonyesha kuwa na sera zenye maslahi kwa waislam.
Ktk hali hii mgombea aliyetanguliza maslahi ni Mama Samia.
Swali ni hili: Iwapo mchakato wa waislam unaoendelea wa kuwaunganisha viongozi wa kiislam na taasisi wanazoziongoza; wawe na kauli moja juu ya mgombea gani watakaemuunga mkono; ambae kimsingi ni Mama Samia.....
Swali ni je Bakwata Watapinga kweli kama walivyopinga 2020.
Ktk hali kama hii tunadhani ndoto ya CHADEMA kuchukua dola itakuwepo tena.
View: https://youtu.be/uF_HyFwGwNU?si=De0knfVJGFewTJBy