Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,224
suala si kukamatwa kwa sababu ni sheikh,bali mchochezi.sheria si tu ifanye kazi si kwake bali kwa wote wanaotumika kugawa watz kwa misingi ya udini,ukabila,ukanda,umri,ujinsia n.k,lazima tujenge nidhamu.sheikh ponda achukuliwe hatua zinazostahili kwa mujibu wa sheria pasi kumuonea,na vyombo vya habari vinavyotumika kusambaza chuki vichukuliwe hatua zinazofaa.
na hao wachochezi wengine wanaosababisha hadi watu wanapoteza maisha inatakiwa wanyee mtondoo bila kujali kuwa yeye aliwahi kuwa kiongozi wa dini ama nini.
Hapo ndo tutajua haki inatendeka vinginevyo ni kiinimacho.