Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Nilishalisema hili na narudia tena. Nitamwamini Magufuri siku akitekeleza azma yake ya bomoa bomoa. Mbali na hivyo atabaki kama msanii kwa namna alivyo bosi wake.
Hii si mara ya kwanza kuweka X kwenye majumba. Lakini hakuna linalofanyika. Sasa kama kweli anakusudia kufanya kazi basi avunje tuone. Naona ni usanii mwingine wa aina yake uko kazini!!!! Na mavuno yake ndio haya ya kudhalilishwa na bosi wake.
Sasa yeye avunje ili uone boss wake atachukua hatua gani. Waache usanii kwenye kazi za umma. Muda na resources walizotumia kuweka hizo X na wasibomoe nyumba itakuwa vichekesho vingine vya mwaka!!!!
Hii si mara ya kwanza kuweka X kwenye majumba. Lakini hakuna linalofanyika. Sasa kama kweli anakusudia kufanya kazi basi avunje tuone. Naona ni usanii mwingine wa aina yake uko kazini!!!! Na mavuno yake ndio haya ya kudhalilishwa na bosi wake.
Sasa yeye avunje ili uone boss wake atachukua hatua gani. Waache usanii kwenye kazi za umma. Muda na resources walizotumia kuweka hizo X na wasibomoe nyumba itakuwa vichekesho vingine vya mwaka!!!!