Simai kujiuzulu ni ushujaa mkubwa kama Nyerere alivyojiuzulu U-PM. Anastahili pongezi, lawama, shutuma, na kukaliwa vikao au apewe maua yake?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,503
113,614
Wanabodi,

Tanzania tuko hapa tulipo kwenye lindi la umasikini uliotopea kutokana na kukosekana viongozi wa kutosha wenye boldness ya kuchukua maamuzi magumu!. Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, John Pombe Magufuli, na huyu dogo Paul Makonda, ni miongoni wa watu wenye boldness ninayoizungumzia hapa!

Ikitokea umelalamikia kuhusu kukosekana kwa boldness kwa viongozi wetu, kwenye issues za uwajibikaji Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma halafu wakajitokeza viongozi vijana ma bold wa viwango hivyo, huwezi kukaa kimya, lazima ujitokeze, upongeze!

Kitendo cha Kujiuzulu kwa Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Simai Mohamed Said ambaye pia ni mwakilishi wa jimbo la Tunguu, Zanzibar, ni kitendo cha ushujaa mkubwa uitwao boldness ya cheo ni dhamana kama alivyofanya Baba wa taifa hili Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alivyojiuzulu Uwaziri Mkuu wa Tanganyika. Mhe. Simai anastahili pongezi na kupigiwa mfano badala ya kusakamwa, kusimangwa na kukaliwa vikao!

1. Kitendo kilichofanywa na Mhe. Simai, cha kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri, bila kuwepo kwa kashfa yoyote, wala shinikizo lolote, ni kitendo cha ushujaa wa hali ya juu ambacho kinapaswa kupigiwa mfano na wanasiasa wote wa Tanzania. Badala ya Mhe. Simai kushutumiwa, kusakamwa, na kukaliwa vikao!. Mhe Simai, anapaswa kutolewa mfano wa kuwa miongoni mwa mashujaa wa taifa hili.

2. Jina la Mhe. Simai, linaingia moja kwa moja katika historia ya mashujaa wa taifa hili, kway eye kuwa ni mwanasiasa wa pili kujiuzulu wadhifa wake wa kisiasa, bila kutokea kashfa yoyote au shinikizo la nje au la ndani. Shujaa wa kwanza kujiuzulu kwa mtindo huu ni Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ile 1962

3. Kwa vile sii wengi walikuwepo enzi hizo tulipopata uhuru ile Desembe 9, 1961, japo sote tunajua shujaa wa uhuru wa Tanzania (enzi hizo Tanganyika) ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, lakini sii wengi wanafahamu kuwa Tanzania tulipopata uhuru, hatukuwa Jamuhuri, hivyo Nyerere aliyeuleta uhuru wa Tanganyika aliupokea akiwa ni Waziri Mkuu, hivyo Tanzania ilipopata uhuru wake nchi ilikuwa ikiongozwa na Waziri Mkuu, na Mwalimu Nyerere ndie alikuwa Waziri mkuu wa kwanza wa Tanyanyika.

4. Mwalimu Nyerere alidumu kwenye wadhifa huo wa Waziri Mkuu wa Tanganyika kwa kipindi cha siku 40 tuu, mnamo tarehe 20 January mwaka 1962, Mwalimu Nyerere, bila shinikizo kutoka popote kwa yeyote, aliamua kujiuzulu wadhifa wake wa Waziri Mkuu, na Rashidi Mfaume Kawawa kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu.

5. Kitendo hiki cha Mwalimu Nyerere kuiuzulu wadhifa wa Waziri Mkuu, bila shinikizo lolote kutoka popote, ni kitendo cha kishujaa sana, ukisikia kitu kinachoitwa boldness kwa wanasiasa, hii boldness, ni moja ya sifa muhimu sana kwa mwanasiasa kuwa nayo, Mwalimu Nyerere was bold, Mhe. Simai is bold.

6. Boldness ya aina hii, ilipaswa ionyeshwe na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa baada ya tukio la Machi 17, 2021, kwasababu yeye alikula kiapo mbele ya JPM, kwa vile rais aliyemteua hayupo, nchi imepata rais mwingine, alipaswa awe bold ajiuzulu ili bazara la mawaziri lijiuzulu, kumpa Rais Samia Fursa ya kuteua baraza lake jipya ambalo lingekula kiapo chini yake, na kama Samia alikuwa bado anamuhitaji, angemteua tena, kitu muhimu hapo ni kumpa Samia fursa ya kuteua team yake na kula kiapo chini yake, na sio kocha mpya anaingia na kuendelea na team ya zamani, hivyo viongozi wetu wamekosa boldness ya Nyerere na Simai.

7. Serikali zinaendeshwa kwa kanuni ya uwajibikaji wa pamoja , a collective responsibility, ukijiona unatofautiana na wenzako, unapaswa ama unanyamaza kimya ama unapisha kwa kujiuzulu na kukaa pembeni. Enzi za awamu ya pili ya Mzee Mwinyi, Agustino Lyatonga Mrema, akiwa Waziri wa Kazi na Naibu Waziri Mkuu, alitofautiana na kanuni ya uwajibikaji wa pamoja kwa kulipukia Bungeni kuwa hakubaliani na jambo fulani lililopitishwa ndani ya kikao cha baraza la mawaziri, Lyatonga alipaswa kujiulu pale pale baada ya kutofautia na uwajibikaji wa Pamoja na sio kuja kutapikia bungeni, hivyo alibidi kujiuzulu kwa shinikizo, lakini Simai hakujiuzulu kwa shinikizo lolote, watu wenye boldness ya aina hii ndio watu wanaohitajika kwa nchi hii kuitoa hapa ilipo kuifikisha kule inapaswa kuwa.

8. Wako viongozi wengi waliwahi kujiuzulu, kwa kuandika barua za kujiuzulu, ama kwa shinikizo baada ya kutokea kashfa kwenye wizara zao, kama ile kashfa ya mauji ya vikongwe iliyopelekea kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi, Waziri wa Usamama Peter Siyovelwa, Kuliwahi kutokea kashfa ya Sukari, Waziri wa Biashara Iddi Simba akajiuzulu, Kulitokea kashfa ya Richmond, Waziri Mkuu, Edward Lowassa akajiuzulu. Kulitokea kashfa ya mgomo wa madaktari, Waziri wa Afya akajiuzulu.

Nikiwa Dodoma, Waziri mmoja aliitisha press conference akatapika nyongo!, nikamuuliza kwanini usijiuzulu kwanza ndipo uwashe moto?, alinigomea!. Omari Nundu: Sioni sababu ya kujiuzulu haikupita siku 2 baada ya press conference ile, Waziri na Naibu wake wote wakapigwa chini!. Angekuwa bold angekuwa shujaa!.

Wakati wa Bunge maalum la Katiba, Kiongozi mmoja wa Zanzibar akaleta za kuleta!, nikamshauri Dr. Shein Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii, hazikupita siku mbili!, mtu chali!. Ila huyu baada ya kujiunga upinzani na kula lile shavu, sasa amekuwa mtoto mzuri, na kwa vile Rais Samia ni mtu rahim wa haki bin haki, huyu jamaa ndiye anakwenda kuwa rais wa Zanzibar 2025 , na kumkabidhisha Mama Samia tuzo ya Mo Ibrahim!.

9. Wako pia viongozi waliojiuzulu kwa sababu ya matatizo ya kiafya, hapo hakuna boldness, ni circumstances kufuatia hali ya afya yako unajiona huwezi kumsaidia mteuzi hivyo unaamua kujiuzulu.

10. Spika Mhe. Job Yustino Ndugai alipotofautiana na serikali kuhusu mikopo, alipaswa awe bold apishe kuliko kuja kujiuzulu kwa aibu!, tulimshauri awe bold, aachie ngazi, kishujaa aonekane shujaa, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! lakini yeye alikomaa, tena nakumbuka vizuri nilimuuliza Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

akaja kuandika barua ya kujiuzulu kwa shinikizo hivyo kupanic na kuikosea, hatimaye akajiuzulu kikondoo shingo chini Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

11. Niliwahi kuandika Makala kuhusu kokosekana wabunge wenye boldness ya aina hii ndani ya bunge letuhivyo Bunge kushindwa kuisimamia serikali kikamilifu, hata sasa ndani ya bunge letu, wabunge bold ni wa kuhesabika mmoja wao ni Mhe. Luhaga Mpina. Bunge butu linaloingiliwa na kunyamaza, linapojikomba na kujipendekeza kwa Rais, linaweza kweli kuisimamia Serikali?! na Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa Serikali!, Wanajua Wajibu Wao?. Check 'n' Balance Itoke Wapi? na Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali? hata Bunge hili la sasa bado linajipendekeza kwa serikali not expressly but impliedly kwa kushindwa kutimiza wajibu wake kikamilifu wa kuisimamia serikali!. Serikali inapeleka madudu Bungeni, Bunge linayapitisha madudu hayo hivyo hivyo yalivyo!. Ushahidi ni IGA ya DPW ni mkataba batili na juzi wamepitisha sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba!.

12. Pia kuna kitu kinaitwa kujiuzulu na kutishia kujiuzulu, kujiuzulu ni kuamua with boldness, kujiuzulu kwa kuandika barua ya kujiuzulu na kutangaza mwenyewe kujiuzulu kisha kupeleka barua ya kujiuzulu kwa mamlaka ya uteuzi, hiki ndicho alichokifanya Mhe Simai na hii ndio boldness ninayoizungumzia,

13. Kutishia kujiuzulu ni kuandika barua ya kujiuzulu kwa mamlaka yako ya uteuzi, as if ni kuomba ruhusa ya kujiuzulu, ukikubaliwa ndipo unatangaza, wako viongozi wengi wameandika barua hizi, lakini wengine hazikukubaliwa hivyo hawakujiuzulu, ndio maana nasisitiza hii boldness iliyoonyeshwa na Mhe Simai, inapaswa ipongezwe na iwe ni ya kupigiwa mfano, hivyo badala ya kusakamwa, kusimangwa na kukaliwa vikao, Mhe. Simai apewe maua yake.

Paskali
 
Mmmmm kuna kitu amekisema Rais H Mwinyi kuwa jamaa anaonekana alikuwq anapiga hizo deal kuingiza pombe visiwani umesikia? Tufungue zaidi kama alikuwq mdau. Huoni hiyo ni conflict of interest? P naomba dadavua kwa makini kuhusu hili. Hilo sio shinikizo?
 
Hebu tuambie na wengine tujue, ile barua ya Ndugai kujiuzulu aliikosea vipi?

Suala la kujiuzulu ni uamuzi binafsi wa mhusika, na unasukumwa zaidi na kujiamini kwake bila kujali mashinikizo yanayoweza kutokea kabla, au baada yake kuchukua uamuzi.

- Hata kutokujiuzulu pia ni maamuzi binafsi ya mhusika, nayo yanaweza kuonekana ya kishujaa, hasa mhusika akiwa anaamini kile anachokitetea ni sahihi bila kujali kama msimamo wake unaenda kinyume na mkuu wake.

Lazima serikali na taasisi zake ziendeshwe kijasiri na viongozi wanaojiamini, na kusimamia kile wanachokiamini, hasa kama kikiwa kinaungwa mkono na jamii kubwa ya wale wanaoongozwa, vinginevyo, wajinga wengi ndio watakaobaki kutuongoza tugeuke taifa la waliofeli kama sasa.

Hapa, ule msemo wa "never outsmart your master" hata siupi nafasi. Viongozi wakuu sio miungu, nao hukosea, hivyo hatuwezi kuishi kwenye makosa kwa kuamini wakubwa hawakosei.

Kwa upande mwingine, hii tabia ya fulani kujiuzulu kisha unaona anaanza kuandamwa kwa maneno, simply inadhihirisha vile jamii yetu bado iko nyuma sana kiuwajibikaji, hasa kuchukua maamuzi magumu pale mhusika anapoona mambo yameharibika akiwa kama kiongozi.

Bado wanaandamwa na kasumba ya kumsujudia kiongozi mkuu, na pia kufurahia maslahi yanayotokana na nafasi wanazopewa, hivyo uamuzi wa kujiuzulu wakati mwingine badala uonekane ni wa kishujaa, unaonekana wa kishamba kwa jamii iliyojaa wajinga.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Hapo kwa mwalimu Nyerere natofautiana na wewe.

Kujiuzulu kwake hakukuwa kitendo cha kishujaa, aliachia nafasi ili ashike nafasi ya Rais wa Tanganyika, nafasi ya juu zaidi ilikuwa na nguvu na utukufu wa kifalme.

Mwalimu aliachia nafasi ya uwaziri mkuu ili ahodhi madaraka zaidi kwenye nafasi mpya iliyounganisha heshima na utukufu wa malkia (mkuu wa nchi) pamoja na mamlaka ya waziri mkuu (kiongozi wa serikali).

Na kilichomsukuma mwalimu kuifanya Tanganyika iwe jamhuri ni jinsi lile bunge la kwanza la Tanganyika huru lilivyokuwa linampelekesha bungeni.

Waliojuzulu kishujaa ni watu kama Mzee Mwinyi akiwa waziri wa mambo ya ndani, Lowassa akiwa PM N.K.
 
Hapo kwa mwalimu Nyerere natofautiana na wewe.

Kujiuzulu kwake hakukuwa kitendo cha kishujaa, aliachia nafasi ili ashike nafasi ya Rais wa Tanganyika, nafasi ya juu zaidi ilikuwa na nguvu na utukufu wa kifalme...
Kama Nyerere angekuwa na tamaa ya madaraka asingen'gatuka, angehakikisha anafia madarakani.

Ulichoandika hapo juu simply ni mawazo yako, yanayotokana na aina ya viongozi tulionao hivi sasa waliokumbatia utukufu wa kimamlaka wakiwa wanaendeshwa kwenye v8, bila kujali kero mbalimbali zinazowasumbua watanzania chini ya idara wanazoongoza.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Enzi za awamu ya tatu, Agustino Lyatonga Mrema, akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Naibu Waziri Mkuu, alitofautiana na kanuni ya uwajibikaji wa Pamoja kwa kulipukia Bungeni kuwa hakubaliani na jambo Fulani lililopitishwa ndani ya kikao cha baraza la mawaziri, Lyatonga alipaswa kujiulu pale pale baada ya kutofautia na uwajibikaji wa Pamoja na sio kuja kutapikia bungeni
Haikuwa awamu ya tatu na wala hakuwa waziri wa mambo ya ndani na naibu waziri mkuu wakati huo alikuwa tayari amehamishiwa wizara ya kazi.
 
Kuhusu Nyerere umedanganya sana kujiuzuru kwake kwamba ilikuwa hiyari yake ,kuhusu 1962 huu ulikuwa mkakati zubaisha bwege

Na 1984/85 hapa Bado ilikuwa pia Maji shingoni alipigwa chenga na akina jeturude mongela mchana kweupe kumweka mwinyi madarakani


Na hakuwa na namna ,wote aliokuwa amewategemea walikuwa wako kinyume nae
 
Wanabodi,

Tanzania tuko hapa tulipo kwenye lindi la umasikini uliotopea kutokana na kukosekana viongozi wa kutosha wenye boldness ya kuchukua maamuzi magumu!. Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, John Pombe Magufuli, na huyu dogo Paul Makonda, ni miongoni wa watu wenye boldness ninayoizungumzia hapa!

Ikitokea umelalamikia kuhusu kukosekana kwa boldness kwa viongozi wetu, kwenye issues za uwajibikaji Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma halafu wakajitokeza viongozi vijana ma bold wa viwango hivyo, huwezi kukaa kimya, lazima ujitokeze, upongeze!

Kitendo cha Kujiuzulu kwa Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Simai Mohamed Said ambaye pia ni mwakilishi wa jimbo la Tunguu, Zanzibar, ni kitendo cha ushujaa mkubwa uitwao boldness ya cheo ni dhamana kama alivyofanya Baba wa taifa hili Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alivyojiuzulu Uwaziri Mkuu wa Tanganyika. Mhe. Simai anastahili pongezi na kupigiwa mfano badala ya kusakamwa, kusimangwa na kukaliwa vikao!

1. Kitendo kilichofanywa na Mhe. Simai, cha kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri, bila kuwepo kwa kashfa yoyote, wala shinikizo lolote, ni kitendo cha ushujaa wa hali ya juu ambacho kinapaswa kupigiwa mfano na wanasiasa wote wa Tanzania. Badala ya Mhe. Simai kushutumiwa, kusakamwa, na kukaliwa vikao!. Mhe Simai, anapaswa kutolewa mfano wa kuwa miongoni mwa mashujaa wa taifa hili.

2. Jina la Mhe. Simai, linaingia moja kwa moja katika historia ya mashujaa wa taifa hili, kway eye kuwa ni mwanasiasa wa pili kujiuzulu wadhifa wake wa kisiasa, bila kutokea kashfa yoyote au shinikizo la nje au la ndani. Shujaa wa kwanza kujiuzulu kwa mtindo huu ni Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ile 1962

3. Kwa vile sii wengi walikuwepo enzi hizo tulipopata uhuru ile Desembe 9, 1961, japo sote tunajua shujaa wa uhuru wa Tanzania (enzi hizo Tanganyika) ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, lakini sii wengi wanafahamu kuwa Tanzania tulipopata uhuru, hatukuwa Jamuhuri, hivyo Nyerere aliyeuleta uhuru wa Tanganyika aliupokea akiwa ni Waziri Mkuu, hivyo Tanzania ilipopata uhuru wake nchi ilikuwa ikiongozwa na Waziri Mkuu, na Mwalimu Nyerere ndie alikuwa Waziri mkuu wa kwanza wa Tanyanyika.

4. Mwalimu Nyerere alidumu kwenye wadhifa huo wa Waziri Mkuu wa Tanganyika kwa kipindi cha siku 40 tuu, mnamo tarehe 20 January mwaka 1962, Mwalimu Nyerere, bila shinikizo kutoka popote kwa yeyote, aliamua kujiuzulu wadhifa wake wa Waziri Mkuu, na Rashidi Mfaume Kawawa kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu.

5. Kitendo hiki cha Mwalimu Nyerere kuiuzulu wadhifa wa Waziri Mkuu, bila shinikizo lolote kutoka popote, ni kitendo cha kishujaa sana, ukisikia kitu kinachoitwa boldness kwa wanasiasa, hii boldness, ni moja ya sifa muhimu sana kwa mwanasiasa kuwa nayo, Mwalimu Nyerere was bold, Mhe. Simai is bold.

6. Boldness ya aina hii, ilipaswa ionyeshwe na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa baada ya tukio la Machi 17, 2021, kwasababu yeye alikula kiapo mbele ya JPM, kwa vile rais aliyemteua hayupo, nchi imepata rais mwingine, alipaswa awe bold ajiuzulu ili bazara la mawaziri lijiuzulu, kumpa Rais Samia Fursa ya kuteua baraza lake jipya ambalo lingekula kiapo chini yake, na kama Samia alikuwa bado anamuhitaji, angemteua tena, kitu muhimu hapo ni kumpa Samia fursa ya kuteua team yake na kula kiapo chini yake, na sio kocha mpya anaingia na kuendelea na team ya zamani, hivyo viongozi wetu wamekosa boldness ya Nyerere na Simai.

7. Serikali zinaendeshwa kwa kanuni ya uwajibikaji wa pamoja , a collective responsibility, ukijiona unatofautiana na wenzako, unapaswa ama unanyamaza kimya ama unapisha kwa kujiuzulu na kukaa pembeni. Enzi za awamu ya tatu, Agustino Lyatonga Mrema, akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Naibu Waziri Mkuu, alitofautiana na kanuni ya uwajibikaji wa Pamoja kwa kulipukia Bungeni kuwa hakubaliani na jambo Fulani lililopitishwa ndani ya kikao cha baraza la mawaziri, Lyatonga alipaswa kujiulu pale pale baada ya kutofautia na uwajibikaji wa Pamoja na sio kuja kutapikia bungeni, hivyo alibidi kujiuzulu kwa shinikizo, lakini Simia hakujiuzulu kwa shikikizo lolote, watu wenye boldness ya aina hii ndio watu wanaohitajika kwa nchi hii kuitoa hapa ilipo kuifikisha kule inapaswa kuwa.

8. Wako viongozi wengi waliwahi kujiuzulu, kwa kuandika barua za kujiuzulu, ama kwa shinikizo baada ya kutokea kashfa kwenye wizara zao, kama ile kashfa ya mauji ya vikongwe iliyopelekea kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi, Waziri wa Usamama Peter Siyovelwa, Kuliwahi kutokea kashfa ya Sukari, Waziri wa Biashara Iddi Simba akajiuzulu, Kulitokea kashfa ya Richmond, Waziri Mkuu, Edward Lowassa akajiuzulu. Kulitokea kashfa ya mgomo wa madaktari, Waziri wa Afya akajiuzulu.

Nikiwa Dodoma, Waziri mmoja aliitisha press conference akatapika nyongo!, nikamuuliza kwanini usijiuzulu kwanza ndipo uwashe moto?, alinigomea!. Omari Nundu: Sioni sababu ya kujiuzulu haikupita siku 2 baada ya press conference ile, Waziri na Naibu wake wote wakapigwa chini!. Angekuwa bold angekuwa shujaa!.

Wakati wa Bunge maalum la Katiba, Kiongozi mmoja wa Zanzibar akaleta za kuleta!, nikamshauri Dr. Shein Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii, hazikupita siku mbili!, mtu chali!. Ila huyu baada ya kujiunga upinzani na kula lile shavu, sasa amekuwa mtoto mzuri, na kwa vile Rais Samia ni mtu rahim wa haki bin haki, huyu jamaa ndiye anakwenda kuwa rais wa Zanzibar 2025 , na kumkabidhisha Mama Samia tuzo ya Mo Ibrahim!.

9. Wako pia viongozi waliojiuzulu kwa sababu ya matatizo ya kiafya, hapo hakuna boldness, ni circumstances kufuatia hali ya afya yako unajiona huwezi kumsaidia mteuzi hivyo unaamua kujiuzulu.

10. Spika Mhe. Job Yustino Ndugai alipotofautiana na serikali kuhusu mikopo, alipaswa awe bold apishe kuliko kuja kujiuzulu kwa aibu!, tulimshauri awe bold, aachie ngazi, kishujaa aonekane shujaa, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! lakini yeye alikomaa, tena nakumbuka vizuri nilimuuliza Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

akaja kuandika barua ya kujiuzulu kwa shinikizo hivyo kupanic na kuikosea, hatimaye akajiuzulu kikondoo shingo chini Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

11. Niliwahi kuandika Makala kuhusu kokosekana wabunge wenye boldness ya aina hii ndani ya bunge letuhivyo Bunge kushindwa kuisimamia serikali kikamilifu, hata sasa ndani ya bunge letu, wabunge bold ni wa kuhesabika mmoja wao ni Mhe. Luhaga Mpina. Bunge butu linaloingiliwa na kunyamaza, linapojikomba na kujipendekeza kwa Rais, linaweza kweli kuisimamia Serikali?! na Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa Serikali!, Wanajua Wajibu Wao?. Check 'n' Balance Itoke Wapi? na Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali? hata Bunge hili la sasa bado linajipendekeza kwa serikali not expressly but impliedly kwa kushindwa kutimiza wajibu wake kikamilifu wa kuisimamia serikali!. Serikali inapeleka madudu Bungeni, Bunge linayapitisha madudu hayo hivyo hivyo yalivyo!. Ushahidi ni IGA ya DPW ni mkataba batili na juzi wamepitisha sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba!.

12. Pia kuna kitu kinaitwa kujiuzulu na kutishia kujiuzulu, kujiuzulu ni kuamua with boldness, kujiuzulu kwa kuandika barua ya kujiuzulu na kutangaza mwenyewe kujiuzulu kisha kupeleka barua ya kujiuzulu kwa mamlaka ya uteuzi, hiki ndicho alichokifanya Mhe Simai na hii ndio boldness ninayoizungumzia,

13. Kutishia kujiuzulu ni kuandika barua ya kujiuzulu kwa mamlaka yako ya uteuzi, as if ni kuomba ruhusa ya kujiuzulu, ukikubaliwa ndipo unatangaza, wako viongozi wengi wameandika barua hizi, lakini wengine hazikukubaliwa hivyo hawakujiuzulu, ndio maana nasisitiza hii boldness iliyoonyeshwa na Mhe Simai, inapaswa ipongezwe na iwe ni ya kupigiwa mfano, hivyo badala ya kusakamwa, kusimangwa na kukaliwa vikao, Mhe. Simai apewe maua yake.

Paskali
Paskali nimekosa muunganiko mzuri katika andiko lako na ki usahihi kabisa aya na. 7 IMETOKA NJE KABISA. Kama ungebaki na suala la watu kujiuzulu bila shinikizo ungeleta mjadala mzuri sana
 
Kama Nyerere angekuwa na tamaa ya madaraka asingen'gatuka, angehakikisha anafia madarakani.

Ulichoandika hapo juu simply ni mawazo yako, yanayotokana na aina ya viongozi tulionao hivi sasa waliokumbatia utukufu wa kimamlaka wakiwa wanaendeshwa kwenye v8, bila kujali kero mbalimbali zinazowasumbua watanzania chini ya idara wanazoongoza.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mwalimu Nyerere alirekebisha mambo mengi aliyokosea awali, kwa hilo kila mtu anatambua mchango wake na uzalendo wake.

Yeye ndiye aloyeasisi ukomo wa madaraka kwa miaka 10 baada ya yeye kukaa madarakani miaka zaidi ya ishirini. Yeye ndiye aliye push turudishe mfumo wa vyama vingi ambao yeye mwenyewe aliufuta.

Kujiuzulu kwake uwaziri mkuu hakukuwa kwa sababu alikiwa anawajibika, bali ilikuwa ni kwasababu anakwenda kuwa rais wa Tanganyika nafasi iliyokuwa na nguvu na utukuvu zaidi. Hiyo ni FACT!
 
Wanabodi,

Tanzania tuko hapa tulipo kwenye lindi la umasikini uliotopea kutokana na kukosekana viongozi wa kutosha wenye boldness ya kuchukua maamuzi magumu!. Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, John Pombe Magufuli, na huyu dogo Paul Makonda, ni miongoni wa watu wenye boldness ninayoizungumzia hapa!

Ikitokea umelalamikia kuhusu kukosekana kwa boldness kwa viongozi wetu, kwenye issues za uwajibikaji Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma halafu wakajitokeza viongozi vijana ma bold wa viwango hivyo, huwezi kukaa kimya, lazima ujitokeze, upongeze!

Kitendo cha Kujiuzulu kwa Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Simai Mohamed Said ambaye pia ni mwakilishi wa jimbo la Tunguu, Zanzibar, ni kitendo cha ushujaa mkubwa uitwao boldness ya cheo ni dhamana kama alivyofanya Baba wa taifa hili Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alivyojiuzulu Uwaziri Mkuu wa Tanganyika. Mhe. Simai anastahili pongezi na kupigiwa mfano badala ya kusakamwa, kusimangwa na kukaliwa vikao!

1. Kitendo kilichofanywa na Mhe. Simai, cha kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri, bila kuwepo kwa kashfa yoyote, wala shinikizo lolote, ni kitendo cha ushujaa wa hali ya juu ambacho kinapaswa kupigiwa mfano na wanasiasa wote wa Tanzania. Badala ya Mhe. Simai kushutumiwa, kusakamwa, na kukaliwa vikao!. Mhe Simai, anapaswa kutolewa mfano wa kuwa miongoni mwa mashujaa wa taifa hili.

2. Jina la Mhe. Simai, linaingia moja kwa moja katika historia ya mashujaa wa taifa hili, kway eye kuwa ni mwanasiasa wa pili kujiuzulu wadhifa wake wa kisiasa, bila kutokea kashfa yoyote au shinikizo la nje au la ndani. Shujaa wa kwanza kujiuzulu kwa mtindo huu ni Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ile 1962

3. Kwa vile sii wengi walikuwepo enzi hizo tulipopata uhuru ile Desembe 9, 1961, japo sote tunajua shujaa wa uhuru wa Tanzania (enzi hizo Tanganyika) ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, lakini sii wengi wanafahamu kuwa Tanzania tulipopata uhuru, hatukuwa Jamuhuri, hivyo Nyerere aliyeuleta uhuru wa Tanganyika aliupokea akiwa ni Waziri Mkuu, hivyo Tanzania ilipopata uhuru wake nchi ilikuwa ikiongozwa na Waziri Mkuu, na Mwalimu Nyerere ndie alikuwa Waziri mkuu wa kwanza wa Tanyanyika.

4. Mwalimu Nyerere alidumu kwenye wadhifa huo wa Waziri Mkuu wa Tanganyika kwa kipindi cha siku 40 tuu, mnamo tarehe 20 January mwaka 1962, Mwalimu Nyerere, bila shinikizo kutoka popote kwa yeyote, aliamua kujiuzulu wadhifa wake wa Waziri Mkuu, na Rashidi Mfaume Kawawa kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu.

5. Kitendo hiki cha Mwalimu Nyerere kuiuzulu wadhifa wa Waziri Mkuu, bila shinikizo lolote kutoka popote, ni kitendo cha kishujaa sana, ukisikia kitu kinachoitwa boldness kwa wanasiasa, hii boldness, ni moja ya sifa muhimu sana kwa mwanasiasa kuwa nayo, Mwalimu Nyerere was bold, Mhe. Simai is bold.

6. Boldness ya aina hii, ilipaswa ionyeshwe na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa baada ya tukio la Machi 17, 2021, kwasababu yeye alikula kiapo mbele ya JPM, kwa vile rais aliyemteua hayupo, nchi imepata rais mwingine, alipaswa awe bold ajiuzulu ili bazara la mawaziri lijiuzulu, kumpa Rais Samia Fursa ya kuteua baraza lake jipya ambalo lingekula kiapo chini yake, na kama Samia alikuwa bado anamuhitaji, angemteua tena, kitu muhimu hapo ni kumpa Samia fursa ya kuteua team yake na kula kiapo chini yake, na sio kocha mpya anaingia na kuendelea na team ya zamani, hivyo viongozi wetu wamekosa boldness ya Nyerere na Simai.

7. Serikali zinaendeshwa kwa kanuni ya uwajibikaji wa pamoja , a collective responsibility, ukijiona unatofautiana na wenzako, unapaswa ama unanyamaza kimya ama unapisha kwa kujiuzulu na kukaa pembeni. Enzi za awamu ya tatu, Agustino Lyatonga Mrema, akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Naibu Waziri Mkuu, alitofautiana na kanuni ya uwajibikaji wa Pamoja kwa kulipukia Bungeni kuwa hakubaliani na jambo Fulani lililopitishwa ndani ya kikao cha baraza la mawaziri, Lyatonga alipaswa kujiulu pale pale baada ya kutofautia na uwajibikaji wa Pamoja na sio kuja kutapikia bungeni, hivyo alibidi kujiuzulu kwa shinikizo, lakini Simia hakujiuzulu kwa shikikizo lolote, watu wenye boldness ya aina hii ndio watu wanaohitajika kwa nchi hii kuitoa hapa ilipo kuifikisha kule inapaswa kuwa.

8. Wako viongozi wengi waliwahi kujiuzulu, kwa kuandika barua za kujiuzulu, ama kwa shinikizo baada ya kutokea kashfa kwenye wizara zao, kama ile kashfa ya mauji ya vikongwe iliyopelekea kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi, Waziri wa Usamama Peter Siyovelwa, Kuliwahi kutokea kashfa ya Sukari, Waziri wa Biashara Iddi Simba akajiuzulu, Kulitokea kashfa ya Richmond, Waziri Mkuu, Edward Lowassa akajiuzulu. Kulitokea kashfa ya mgomo wa madaktari, Waziri wa Afya akajiuzulu.

Nikiwa Dodoma, Waziri mmoja aliitisha press conference akatapika nyongo!, nikamuuliza kwanini usijiuzulu kwanza ndipo uwashe moto?, alinigomea!. Omari Nundu: Sioni sababu ya kujiuzulu haikupita siku 2 baada ya press conference ile, Waziri na Naibu wake wote wakapigwa chini!. Angekuwa bold angekuwa shujaa!.

Wakati wa Bunge maalum la Katiba, Kiongozi mmoja wa Zanzibar akaleta za kuleta!, nikamshauri Dr. Shein Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii, hazikupita siku mbili!, mtu chali!. Ila huyu baada ya kujiunga upinzani na kula lile shavu, sasa amekuwa mtoto mzuri, na kwa vile Rais Samia ni mtu rahim wa haki bin haki, huyu jamaa ndiye anakwenda kuwa rais wa Zanzibar 2025 , na kumkabidhisha Mama Samia tuzo ya Mo Ibrahim!.

9. Wako pia viongozi waliojiuzulu kwa sababu ya matatizo ya kiafya, hapo hakuna boldness, ni circumstances kufuatia hali ya afya yako unajiona huwezi kumsaidia mteuzi hivyo unaamua kujiuzulu.

10. Spika Mhe. Job Yustino Ndugai alipotofautiana na serikali kuhusu mikopo, alipaswa awe bold apishe kuliko kuja kujiuzulu kwa aibu!, tulimshauri awe bold, aachie ngazi, kishujaa aonekane shujaa, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! lakini yeye alikomaa, tena nakumbuka vizuri nilimuuliza Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

akaja kuandika barua ya kujiuzulu kwa shinikizo hivyo kupanic na kuikosea, hatimaye akajiuzulu kikondoo shingo chini Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

11. Niliwahi kuandika Makala kuhusu kokosekana wabunge wenye boldness ya aina hii ndani ya bunge letuhivyo Bunge kushindwa kuisimamia serikali kikamilifu, hata sasa ndani ya bunge letu, wabunge bold ni wa kuhesabika mmoja wao ni Mhe. Luhaga Mpina. Bunge butu linaloingiliwa na kunyamaza, linapojikomba na kujipendekeza kwa Rais, linaweza kweli kuisimamia Serikali?! na Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa Serikali!, Wanajua Wajibu Wao?. Check 'n' Balance Itoke Wapi? na Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali? hata Bunge hili la sasa bado linajipendekeza kwa serikali not expressly but impliedly kwa kushindwa kutimiza wajibu wake kikamilifu wa kuisimamia serikali!. Serikali inapeleka madudu Bungeni, Bunge linayapitisha madudu hayo hivyo hivyo yalivyo!. Ushahidi ni IGA ya DPW ni mkataba batili na juzi wamepitisha sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba!.

12. Pia kuna kitu kinaitwa kujiuzulu na kutishia kujiuzulu, kujiuzulu ni kuamua with boldness, kujiuzulu kwa kuandika barua ya kujiuzulu na kutangaza mwenyewe kujiuzulu kisha kupeleka barua ya kujiuzulu kwa mamlaka ya uteuzi, hiki ndicho alichokifanya Mhe Simai na hii ndio boldness ninayoizungumzia,

13. Kutishia kujiuzulu ni kuandika barua ya kujiuzulu kwa mamlaka yako ya uteuzi, as if ni kuomba ruhusa ya kujiuzulu, ukikubaliwa ndipo unatangaza, wako viongozi wengi wameandika barua hizi, lakini wengine hazikukubaliwa hivyo hawakujiuzulu, ndio maana nasisitiza hii boldness iliyoonyeshwa na Mhe Simai, inapaswa ipongezwe na iwe ni ya kupigiwa mfano, hivyo badala ya kusakamwa, kusimangwa na kukaliwa vikao, Mhe. Simai apewe maua yake.

Paskali
6. Boldness ya aina hii, ilipaswa ionyeshwe na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa baada ya tukio la Machi 17, 2021, kwasababu yeye alikula kiapo mbele ya JPM, kwa vile rais aliyemteua hayupo, nchi imepata rais mwingine, alipaswa awe bold ajiuzulu ili bazara la mawaziri lijiuzulu, kumpa Rais Samia Fursa ya kuteua baraza lake jipya ambalo lingekula kiapo chini yake, na kama Samia alikuwa bado anamuhitaji, angemteua tena, kitu muhimu hapo ni kumpa Samia fursa ya kuteua team yake na kula kiapo chini yake, na sio kocha mpya anaingia na kuendelea na team ya zamani, hivyo viongozi wetu wamekosa boldness ya Nyerere na Simai.

MKUU PASKAL, KWANI SAMIA ILISHINDIKANA KUVUNJA BARAZA LA MAWAZIRI ILI AANZE UPYA?

MIMI NAONA ALIMUHITAJI KASSIM MAJALIWA MAJALIWA KULINGANA NA TUKIO LENYEWE LILIVYOTOKEA,HIVYO MAJALIWA ALIKUWA NI KETE KWA SAMIA KIPINDI KILE KUIMANEJI SERIKALI
 
Wanabodi,

Tanzania tuko hapa tulipo kwenye lindi la umasikini uliotopea kutokana na kukosekana viongozi wa kutosha wenye boldness ya kuchukua maamuzi magumu!. Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, John Pombe Magufuli, na huyu dogo Paul Makonda, ni miongoni wa watu wenye boldness ninayoizungumzia hapa!

Ikitokea umelalamikia kuhusu kukosekana kwa boldness kwa viongozi wetu, kwenye issues za uwajibikaji Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma halafu wakajitokeza viongozi vijana ma bold wa viwango hivyo, huwezi kukaa kimya, lazima ujitokeze, upongeze!

Kitendo cha Kujiuzulu kwa Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Simai Mohamed Said ambaye pia ni mwakilishi wa jimbo la Tunguu, Zanzibar, ni kitendo cha ushujaa mkubwa uitwao boldness ya cheo ni dhamana kama alivyofanya Baba wa taifa hili Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alivyojiuzulu Uwaziri Mkuu wa Tanganyika. Mhe. Simai anastahili pongezi na kupigiwa mfano badala ya kusakamwa, kusimangwa na kukaliwa vikao!

1. Kitendo kilichofanywa na Mhe. Simai, cha kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri, bila kuwepo kwa kashfa yoyote, wala shinikizo lolote, ni kitendo cha ushujaa wa hali ya juu ambacho kinapaswa kupigiwa mfano na wanasiasa wote wa Tanzania. Badala ya Mhe. Simai kushutumiwa, kusakamwa, na kukaliwa vikao!. Mhe Simai, anapaswa kutolewa mfano wa kuwa miongoni mwa mashujaa wa taifa hili.

2. Jina la Mhe. Simai, linaingia moja kwa moja katika historia ya mashujaa wa taifa hili, kway eye kuwa ni mwanasiasa wa pili kujiuzulu wadhifa wake wa kisiasa, bila kutokea kashfa yoyote au shinikizo la nje au la ndani. Shujaa wa kwanza kujiuzulu kwa mtindo huu ni Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ile 1962

3. Kwa vile sii wengi walikuwepo enzi hizo tulipopata uhuru ile Desembe 9, 1961, japo sote tunajua shujaa wa uhuru wa Tanzania (enzi hizo Tanganyika) ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, lakini sii wengi wanafahamu kuwa Tanzania tulipopata uhuru, hatukuwa Jamuhuri, hivyo Nyerere aliyeuleta uhuru wa Tanganyika aliupokea akiwa ni Waziri Mkuu, hivyo Tanzania ilipopata uhuru wake nchi ilikuwa ikiongozwa na Waziri Mkuu, na Mwalimu Nyerere ndie alikuwa Waziri mkuu wa kwanza wa Tanyanyika.

4. Mwalimu Nyerere alidumu kwenye wadhifa huo wa Waziri Mkuu wa Tanganyika kwa kipindi cha siku 40 tuu, mnamo tarehe 20 January mwaka 1962, Mwalimu Nyerere, bila shinikizo kutoka popote kwa yeyote, aliamua kujiuzulu wadhifa wake wa Waziri Mkuu, na Rashidi Mfaume Kawawa kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu.

5. Kitendo hiki cha Mwalimu Nyerere kuiuzulu wadhifa wa Waziri Mkuu, bila shinikizo lolote kutoka popote, ni kitendo cha kishujaa sana, ukisikia kitu kinachoitwa boldness kwa wanasiasa, hii boldness, ni moja ya sifa muhimu sana kwa mwanasiasa kuwa nayo, Mwalimu Nyerere was bold, Mhe. Simai is bold.

6. Boldness ya aina hii, ilipaswa ionyeshwe na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa baada ya tukio la Machi 17, 2021, kwasababu yeye alikula kiapo mbele ya JPM, kwa vile rais aliyemteua hayupo, nchi imepata rais mwingine, alipaswa awe bold ajiuzulu ili bazara la mawaziri lijiuzulu, kumpa Rais Samia Fursa ya kuteua baraza lake jipya ambalo lingekula kiapo chini yake, na kama Samia alikuwa bado anamuhitaji, angemteua tena, kitu muhimu hapo ni kumpa Samia fursa ya kuteua team yake na kula kiapo chini yake, na sio kocha mpya anaingia na kuendelea na team ya zamani, hivyo viongozi wetu wamekosa boldness ya Nyerere na Simai.

7. Serikali zinaendeshwa kwa kanuni ya uwajibikaji wa pamoja , a collective responsibility, ukijiona unatofautiana na wenzako, unapaswa ama unanyamaza kimya ama unapisha kwa kujiuzulu na kukaa pembeni. Enzi za awamu ya tatu, Agustino Lyatonga Mrema, akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Naibu Waziri Mkuu, alitofautiana na kanuni ya uwajibikaji wa Pamoja kwa kulipukia Bungeni kuwa hakubaliani na jambo Fulani lililopitishwa ndani ya kikao cha baraza la mawaziri, Lyatonga alipaswa kujiulu pale pale baada ya kutofautia na uwajibikaji wa Pamoja na sio kuja kutapikia bungeni, hivyo alibidi kujiuzulu kwa shinikizo, lakini Simia hakujiuzulu kwa shikikizo lolote, watu wenye boldness ya aina hii ndio watu wanaohitajika kwa nchi hii kuitoa hapa ilipo kuifikisha kule inapaswa kuwa.

8. Wako viongozi wengi waliwahi kujiuzulu, kwa kuandika barua za kujiuzulu, ama kwa shinikizo baada ya kutokea kashfa kwenye wizara zao, kama ile kashfa ya mauji ya vikongwe iliyopelekea kujiuzulu kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi, Waziri wa Usamama Peter Siyovelwa, Kuliwahi kutokea kashfa ya Sukari, Waziri wa Biashara Iddi Simba akajiuzulu, Kulitokea kashfa ya Richmond, Waziri Mkuu, Edward Lowassa akajiuzulu. Kulitokea kashfa ya mgomo wa madaktari, Waziri wa Afya akajiuzulu.

Nikiwa Dodoma, Waziri mmoja aliitisha press conference akatapika nyongo!, nikamuuliza kwanini usijiuzulu kwanza ndipo uwashe moto?, alinigomea!. Omari Nundu: Sioni sababu ya kujiuzulu haikupita siku 2 baada ya press conference ile, Waziri na Naibu wake wote wakapigwa chini!. Angekuwa bold angekuwa shujaa!.

Wakati wa Bunge maalum la Katiba, Kiongozi mmoja wa Zanzibar akaleta za kuleta!, nikamshauri Dr. Shein Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii, hazikupita siku mbili!, mtu chali!. Ila huyu baada ya kujiunga upinzani na kula lile shavu, sasa amekuwa mtoto mzuri, na kwa vile Rais Samia ni mtu rahim wa haki bin haki, huyu jamaa ndiye anakwenda kuwa rais wa Zanzibar 2025 , na kumkabidhisha Mama Samia tuzo ya Mo Ibrahim!.

9. Wako pia viongozi waliojiuzulu kwa sababu ya matatizo ya kiafya, hapo hakuna boldness, ni circumstances kufuatia hali ya afya yako unajiona huwezi kumsaidia mteuzi hivyo unaamua kujiuzulu.

10. Spika Mhe. Job Yustino Ndugai alipotofautiana na serikali kuhusu mikopo, alipaswa awe bold apishe kuliko kuja kujiuzulu kwa aibu!, tulimshauri awe bold, aachie ngazi, kishujaa aonekane shujaa, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! lakini yeye alikomaa, tena nakumbuka vizuri nilimuuliza Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

akaja kuandika barua ya kujiuzulu kwa shinikizo hivyo kupanic na kuikosea, hatimaye akajiuzulu kikondoo shingo chini Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

11. Niliwahi kuandika Makala kuhusu kokosekana wabunge wenye boldness ya aina hii ndani ya bunge letuhivyo Bunge kushindwa kuisimamia serikali kikamilifu, hata sasa ndani ya bunge letu, wabunge bold ni wa kuhesabika mmoja wao ni Mhe. Luhaga Mpina. Bunge butu linaloingiliwa na kunyamaza, linapojikomba na kujipendekeza kwa Rais, linaweza kweli kuisimamia Serikali?! na Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa Serikali!, Wanajua Wajibu Wao?. Check 'n' Balance Itoke Wapi? na Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali? hata Bunge hili la sasa bado linajipendekeza kwa serikali not expressly but impliedly kwa kushindwa kutimiza wajibu wake kikamilifu wa kuisimamia serikali!. Serikali inapeleka madudu Bungeni, Bunge linayapitisha madudu hayo hivyo hivyo yalivyo!. Ushahidi ni IGA ya DPW ni mkataba batili na juzi wamepitisha sheria batili inayokwenda kinyume cha katiba!.

12. Pia kuna kitu kinaitwa kujiuzulu na kutishia kujiuzulu, kujiuzulu ni kuamua with boldness, kujiuzulu kwa kuandika barua ya kujiuzulu na kutangaza mwenyewe kujiuzulu kisha kupeleka barua ya kujiuzulu kwa mamlaka ya uteuzi, hiki ndicho alichokifanya Mhe Simai na hii ndio boldness ninayoizungumzia,

13. Kutishia kujiuzulu ni kuandika barua ya kujiuzulu kwa mamlaka yako ya uteuzi, as if ni kuomba ruhusa ya kujiuzulu, ukikubaliwa ndipo unatangaza, wako viongozi wengi wameandika barua hizi, lakini wengine hazikukubaliwa hivyo hawakujiuzulu, ndio maana nasisitiza hii boldness iliyoonyeshwa na Mhe Simai, inapaswa ipongezwe na iwe ni ya kupigiwa mfano, hivyo badala ya kusakamwa, kusimangwa na kukaliwa vikao, Mhe. Simai apewe maua yake.

Paskali
* huyu jamaa ndiye anakwenda kuwa rais wa Zanzibar 2025 , na kumkabidhisha Mama Samia tuzo ya Mo Ibrahim*

NI KWELI?
 
Back
Top Bottom