kweli kaka tunasafari ndefu sana,hii nchi sijui ina viongozi wa namna gani,kwaninim pinda asinge kaa kimya na kuyajadili ndani ya vikao vyao,ama kwa kuwa mkulu wa Dr kwa hiyo anataka kumkata ngebe jamaaaTuna safari ndefu sana ya kufiikia mabadiliko, huenda kukawa na ukweli au kusiwe na ukweli katika hili la kujiuzulu kwa Magufuli, lakini kauli rasmi ni hiyo aliyoitoa katibu mkuu ya kwamba Dr.Magufuli hakuwahi hata kuwaza kujiuzulu, na la kukataa kuulizwa maswali ni haki yake kwa sababu asingeweza kutoa majibu ya maswali yanayomhusu Magufuli zaid ya kufikisha taarifa ambayo alitumwa na bosi wake kufanya hivyo
Kwanza kwa Hili naona Kama Limechelewa ,iwe ni huzushi wa vyombo vya Habri au Tetesi lakini Kwangu mie Nilitegemea Hili Jambo Kutokea has kwa mtu kama Magufuli ambaye ni Mwanachama na wa sheria ,na mtu nayetekeleza Majukumu yake kwa misingi ya sheri ana katiba.
Kwa Kauli za Waziri Mkuu ,ni kumdhalilisha Magufuri tena kwa wapiga Kura wake .Na ata kama Magufuri atashindwa kuitendea Haki nafsi yake lakini kwa Watanzania atonekana ni mtu asiye na msimamo na mahamuzi yake.
Rai yangu kwa Magufuri ,naomba Aueleze Umma nini Maoni yake kuhusu tetesi hizi.....