Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Watu walio karibu nae wanasema kwamba kapata madhara macho yote mawili lakini moja ndio limeharibika sehemu ya juu na atalazimika kupandikizwa sehemu nyingine nje ya nchi baada ya kuwa amepona kabisa. Taarifa zinasema hospitali imejaa jamaa sake ndani na nje kiasi cha kufanya hali ibadilike kabisa.
Mgonjwa mwenyewe anaweza kuzungumza japo hadi saa Saba usiku huu alikua amefungwa mashine sehemu ya pua Huku madaktari wakimpa huduma maalumu na hatosafirishwa hadi apone majeraha na kwamba upandikizaji umeelezwa si jambo la haraka kwa sasa.
katika hali isiyo ya kawaida, polisi wanahaha kutafuta wahusika kwa nguvu kubwa tofauti na usiku tulipokua Muhimbili alipoumizwa Kibanda, na huenda hadi kesho akakamatwa mhusika.
Who is Kibanda in this country?!! (George Wassira, 2013)...