KIKOSIKAZI
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 2,219
- 1,145
Ni kwamba wanauchumi wapo,na ushauri wao hauwapendezi wanasiasa. Wanasiasa ndio waamuzi wakuu hata kama ni jambo la kuathiri uchumi au uhai wa nchi.
Sasa ndg yangu, mbona mambo yako nje nje hapo? Hata kama kusoma huwezi basi hataicha huoni? (Natania though). Kuwepo kwa sarafu zenye thamani kubwa(tarakimu) ni dalili ya kuporomoka vibaya kwa uchumi. Marekani bado wana noti ya dola tano, Kenya-hawa wa hapo jirani tu- wana noti ya shilingi ishirini zao(ambayo ni sawa na tshs4000/-) sasa huku tunakoelekea ni jahanam kbaisa ya uchumi. Google viashiria vya kuporomoka kwa uchumi halafu utaona.