madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,453
- 2,849
Wakati wananchi tukihangaika uhaba wa fedha za sarafu hasa sisi wafanya biashra wadogo wadogo na wajasiriamali BOT wanakuja na sera eti wananchi wameweka sarafu kwenye vibubu
Kwa utafiti gani mlio fanya wakati sarafu zote wanazo wachina wameziweka kwenye mamashine yao ya kamali kila kwenye kona ya nchi
Kila kitongoji vijiji yameenea haya ma mashine ukila 1000 ya sarafu huondoki na sarafu unapewa noti haya hiyo sarafu inapatikanaje mtaaani
Yani mtu na usomi wake anahojiwa azam tv anasema watu waache kuweka pesa kwenye vibubu kwa utafiti gani mlio ufanya.
Katoeni mshine za kamari zinazo waharibu vijana wa taifa hili na hizo ndizo zinatengeneza majambazi wajao wa nchi hii kamali ni janga la taifa kama serekali hamta litazama hili kwa jicho la tatu kisa tu inachangia pato la taifa tutarajie majibu chanya baada ya muda mfupi sana
B.O.T sarafu yenu anayo mchina
Kwa utafiti gani mlio fanya wakati sarafu zote wanazo wachina wameziweka kwenye mamashine yao ya kamali kila kwenye kona ya nchi
Kila kitongoji vijiji yameenea haya ma mashine ukila 1000 ya sarafu huondoki na sarafu unapewa noti haya hiyo sarafu inapatikanaje mtaaani
Yani mtu na usomi wake anahojiwa azam tv anasema watu waache kuweka pesa kwenye vibubu kwa utafiti gani mlio ufanya.
Katoeni mshine za kamari zinazo waharibu vijana wa taifa hili na hizo ndizo zinatengeneza majambazi wajao wa nchi hii kamali ni janga la taifa kama serekali hamta litazama hili kwa jicho la tatu kisa tu inachangia pato la taifa tutarajie majibu chanya baada ya muda mfupi sana
B.O.T sarafu yenu anayo mchina