BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,118
Ripoti ya Dondoo za Takwimu za Robo mwaka inayotolewa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeonyesha ongezeko kubwa la thamani na mzunguko wa noti ya Sh10,000.
Ufuatao ni mwenendo wa thamani ya mzunguko wa noti za Sh10,000 mtaani.
Desemba 2018 ➡ Sh3.6 trilioni
Desemba 2019 ➡ Sh4 trilioni
Desemba 2020 ➡Sh4.2 trilioni
Desemba 2021 ➡ Sh4.8 trilioni
Desemba 2022 ➡Sh5.5 trilioni
Desemba 2023 ➡Sh6.3 trilioni
Mbali na kuongezeka kwa mzunguko wa Sh10,000 pia noti ya Sh2,000 imeongezeka kutoka Sh177.2 milioni Desemba 2018 hadi Sh230.8 milioni Desemba 2023 sawa na ongezeko la asilimia 15.
Noti ya Sh5,000 thamani ya mzunguko wake ilipungua kutoka Sh732.2 Desemba 2018 hadi Sh713.7 mwaka 2023 sawa na kupungua kwa asilimia 2.5.
Kuelewa maana ya ongezeko hilo na kauli ya Benki Kuu, soma zaidi katika tovuti ya Mwananchi; Noti za Sh10,000 zaongezeka mitaani, wachumi, BoT watofautiana
Chanzo: Ripoti ya Dondoo za Takwimu za Robo ya mwisho ya mwaka 2023, BoT
Ufuatao ni mwenendo wa thamani ya mzunguko wa noti za Sh10,000 mtaani.
Desemba 2018 ➡ Sh3.6 trilioni
Desemba 2019 ➡ Sh4 trilioni
Desemba 2020 ➡Sh4.2 trilioni
Desemba 2021 ➡ Sh4.8 trilioni
Desemba 2022 ➡Sh5.5 trilioni
Desemba 2023 ➡Sh6.3 trilioni
Mbali na kuongezeka kwa mzunguko wa Sh10,000 pia noti ya Sh2,000 imeongezeka kutoka Sh177.2 milioni Desemba 2018 hadi Sh230.8 milioni Desemba 2023 sawa na ongezeko la asilimia 15.
Noti ya Sh5,000 thamani ya mzunguko wake ilipungua kutoka Sh732.2 Desemba 2018 hadi Sh713.7 mwaka 2023 sawa na kupungua kwa asilimia 2.5.
Kuelewa maana ya ongezeko hilo na kauli ya Benki Kuu, soma zaidi katika tovuti ya Mwananchi; Noti za Sh10,000 zaongezeka mitaani, wachumi, BoT watofautiana
Chanzo: Ripoti ya Dondoo za Takwimu za Robo ya mwisho ya mwaka 2023, BoT