Riziwani Kikwete pole sana

wewe sio muwakilishi wa waisilamu wote bwana..na usitumie nafsi yako kuwakilisha mawazo ya waislam...waislam sasa hivi wengi wanaanza pata uelewa...usipotoshe uma pliz,Stay put

Mkuu unaposema waislam wanaanza kupata uelewa hii ni dharau ingine mtu akikusahisha ndio ataonekana mdini mie napenda kukwambia tu waislam ni waelewa na wanajitambua...tukosoane kwa hoja sio kwa imani za dini zetu hakuna ambaye anayejua ni mbora mbele ya mungu...dharau na kejeli za kidini ndio zinatufanya tuwe mbali mbali hatuwezi kuwa pamoja kuibana serikali kwenye mambo yetu ya msingi na huu ndio mtaji mkubwa wa CCM kututawala.

Kuna kejeli humu JF zilikuwepo kipindi cha nyuma tunashukuru Invisible kwa kupambana kulikuwa na ID's kazi yao kuukejeli uslam na waislam halafu hizo hizo ID's unazikuta zinaitetea Chadema tumeitwa majina mengi sana mpaka mtu unapata hasira unatoa lugha chafu unaishia kupigwa ban...lakini inatia moyo hizo ID's nyingi zimepigwa life ban.
 
Riziwani Kikwete ule mkutano uloanzisha kule bagamoyo na ukasema rais hawezi kutoka kaskazini Maneno hayo yatakutokea puani unajua Kikwete akitoka madarakani wapambe wako wote hutawaona tena watakuwa na Rais Mwingine ambaye hata Kikwete atakuwa shocked.

Atakoma!
 
Pasco Mkuu, mbona sikuelewi (sio hueleweki) - Juu kwenye red umesema kwa kisio lako bado miaka 50 mengine ya CCM kutawala, hapa chini unasema CCM imeshachokwa, unataka kusema kuwa CCM itaendelea kutawala hata baada ya kuchokwa kwa sababu ya kukamata mpini?
Ndio maana yake!.
 
kaka siera nakuunga mkono,cdm wabaguzi daily wanawaponda waislam,...watu wa ubwabwa, waswahili...wacha wakae na uzungu wao nasi tukae na uswahili wetu na kura wasituombe!! Tunaamini sisi ni umma bora, bila kura zetu ikulu watapasikia kama kawaida yao, tushikamane tusifungamane na adui yeyote wa uislam kama hawa.
 
kaka siera nakuunga mkono,cdm wabaguzi daily wanawaponda waislam,...watu wa ubwabwa, waswahili...wacha wakae na uzungu wao nasi tukae na uswahili wetu na kura wasituombe!! Tunaamini sisi ni umma bora, bila kura zetu ikulu watapasikia kama kawaida yao, tushikamane tusifungamane na adui yeyote wa  uislam kama hawa.
 
Hatujafikia hapo mkuu. Lazima tuhubiri siasa zisizo za visasi na tulenge kupata 'smooth transition' kutoka kwa JK kwenda kwa mwingine. Kama alitoa maoni yake ktk mwelekeo huo, heshimu kuwa ni maoni yake. Kubwa ni 'kumthibitishia kuwa inawezekana mkuu wa nchi akatoka kaskazini'. Context pia ni muhimu: kama wakati ule mgombea mwenye nguvu alikuwa akitokea Kaskazin, tuseme Slaa, kusema Rais mwaka huu hatoki kaskazin, naona ni sawa tu. Udhaifu ktk hoja yako ni kuwa sioni uhusiano wa haya mambo matatu: Riz kusema hayo, Usalama wa Taifa na baada ya muhula wa JK kumalizika,

Umenena vema ila kuna ukweli na mantiki kwa mtoa hoja...
 
Inaonekana wewe mdini SANA nauna tuhaibisha sisi Waislam kwa point zako zakipuuzi. Wanachosema nikweli sisi huwatunakurupuka nakuweka udini mbili. Ukichukulia huko Zanzibar mambo tunayofanya siyo kabisa. Inaonekana wewe hujasoma. Mtu makini hawezi kuongelea swala la udini hata kama utaona wengine wakifanya hivyo. Piga vita udini kwakuto ongelea swala la udini au ukabila. Sote ni ndugu naniwatoto Wa baba mmoja.
 
Bwana Songoro na wewe tumia akili yako kwa nini muheshiwa raisi na nimwisilamu mwenzetu aliamuru UAMSHO wapigwe na viongozi wajisalimishe. Think then nipejibu.
 
Songoro
Acha kubagua na kudhalilisha waafrika wenzio huku ukijifaragua kwa dini za makombo?

Mkuu, huko zinakotoka dini zote hizi (ukristo na uislam) yaani Israeli na Arabuni-Yemen nasikia kinawaka kila siku. dini hizi zinafaa nini kama hazileti amani na upendo zinazohubiri? Afu avatar yako imeandikwa "Banned"! Kulikoni?
 
99% ya Muslim they won't vote for CDM 2015 so jifuraisheni tu hapa kilasiku kuwatusi hapa mara mmekaririshwa madrasa mara kaziyenu kula ubwabwa mara hamjasoma so u think they will go and vote for u people !? Kama mnawaona WAislam wajinga bs ujingawao mtauwona vizuri 2015 ."....I'm Muslim and I'm proud 2 be Muslim siwezi kwenda kumpigia kura mtu anaenikashifu Kila siku .naukifuatilia kwa undani watu wote wanao wakashifu WAislam ni wafuasi wa CDM so inaniwia vigumu kuelewa malengo Yao ....wakati Niko chuo nilikua mfuasi mzuri wa CDM Kama miaka miwili nyuma .Baada ya kuijua JF nikawajua vizuri wafuasi wa CDM Wana tapishwa na WAislam nimepoteza hamnacho

ukweli and CDM must consider this fact!!
 
huyu bwana mdogo anacheza na tanzania na watanzana najua kwa sasa ana ulinz io siku watanzania waamhukumu kwa mema na mabaya aliyoyafanya simwombei mabaya but e need to know watanzania wanamwona asijiponze kwa nafasi ya mzee wa kaya
 
Kama siasa zenyewe ndizo hizi za kutishiana, angalieni msije kuwaponza hao mnaowategemea kuchukua nchi 2015, wazee wa kazi wasije wakawapotezea into thin air kabla ya 2015!. Si niliwawekea hapa kisio la chini la utawala wa CCM kwa nchi hii ni miaka 100!, hansini iliyomalizi na sasa bado 50 mingine!. Kumbukeni hamwezi kugombea kisu, mwenzako ameshika kwenye mpini, kabla kisu hujakishika, unaana kumtishia atakiona cha mtema kuni!, unajua anaweza kukasirika na kuamua sio tuu kukushikisha kwenye makali, bali kukukata nacho!.

Hakuna ubishi Chadema ndicho chama chenye matumaini makubwa sana kwa sasa, lakini watakaokiponza Chadema, ni watu wenye mawazo kama haya!, mtanisamehe kusema watu wenye mawazo kama haya, hawana akili timamu japo sio lazima mpaka waokote makopo!, hawa ndio ma hate preachers ambao Chadema inapaswa kuwashughulikia kwanza wasije wakakitibulia ushindi laini wanao uotea!.
Mie nime'earmark' ntakachochukua kwa Riz'1' pale Kikwete's CCMitakapoondoka.
 
Mkuu unaposema waislam wanaanza kupata uelewa hii ni dharau ingine mtu akikusahisha ndio ataonekana mdini mie napenda kukwambia tu waislam ni waelewa na wanajitambua...tukosoane kwa hoja sio kwa imani za dini zetu hakuna ambaye anayejua ni mbora mbele ya mungu...dharau na kejeli za kidini ndio zinatufanya tuwe mbali mbali hatuwezi kuwa pamoja kuibana serikali kwenye mambo yetu ya msingi na huu ndio mtaji mkubwa wa CCM kututawala.

Kuna kejeli humu JF zilikuwepo kipindi cha nyuma tunashukuru Invisible kwa kupambana kulikuwa na ID's kazi yao kuukejeli uslam na waislam halafu hizo hizo ID's unazikuta zinaitetea Chadema tumeitwa majina mengi sana mpaka mtu unapata hasira unatoa lugha chafu unaishia kupigwa ban...lakini inatia moyo hizo ID's nyingi zimepigwa life ban.


Navyofahamu kazi yako ni kutetea system, vipi siku hizi? Au uko kwenye mgomo?kazi unayofanya ni ngumu sana kupambana na umma bila mapumziko, unastahili kulipwa vizuri na mafao mengine likizo n.k andamana watu wakusaidie, zaidi ya hapo itakula kwako, shauri yako!
 
Tumia akili yako kubwa kutufafanulia chanzo cha uamsho kupigwa juzi wakati wakijiandaa kuwaombea dua walopata matatizo kwenye Mv skagit,tumia akili yako pevu kutujulisha kwa nini southern of Sahara haitulii wakati burundi,Rwanda,Congo wote wa dini yako?unajua mauaji ya Kimbari uratibu ulifanyika kwenye nyumba yako ya ibada mikakati ikifanywa na wale wanaokusamehe dhambi kutokana na uwezo wako wa kulima mazo ya Biashara ( rejea Baganda kingdom) elimu yako kubwa imekufanya ushindwe kutambua Role ya kanisa kulifikisha hapa bara la Afrika,Rejea Kitabu cha Walter Rodney ( how euro under developed Africa) ujue mchango wa Dini yako kulifikisha hapa bara la Afrika kiuchumi,kisiasa na kijamaa,unajua msingi wa kuletewa dini yako ni kupata fursa ya kukutawala na kukunyonya? Acha kubagua na kudhalilisha waafrika wenzio huku ukijifaragua kwa dini za makombo?


WAZEE, mbona Dini, Kanda, kabila, WHY ? Najaribu kusoma, nashindwa kupata connection. Ebu nijuzeni, kipi chama cha siasa ni cha waislam ? na kipi ni cha wakristo ? Kipi ni cha wahaya, wachaga, wandengereko, na kipi ni cha wangoni, wahehe ? kipi ni cha watu wa kusini, kaskazini, mashariki au magharibi ? toka nianze kupata ufahamu juu ya siasa za tanzania ni mwaka 2010 tu nimeanza kusikia maneno ya ukabila, ukanda, udini, yakiasisiwa na Kiongozi mkuu wa nchi hii, kisa tu eti kura zilipungua. Kama hatujajitambua, wananchi pia tumeanza kuingia kwenye mkumbo huu, ambao kwa maoni yangu, MKUMBO HUO SIO SALAMA KWETU.
 
Mkuu Siera, nakuunga mkono kuwa unapotarajia kuomba kura, usiwe mbaguzi wa kumbagua mpiga kura yeyote, ila kwa vile pia sio Waislamu wote watapiga kura kwa misingi ya udini, wako wale waliochoshwa na hali ilivyo sasa hivyo watapigia kura mabadiliko ya kweli regardless ni dini gani!. "Kafiri akufaaye sii Islamu asiyekufaa"1, hivyo kama ni Chadema kushinda, itashinda tuu bila kura yoyote ya makuwadi wa udini!. Tuseme itokee makuwadi wote wa udini wakipigie CUF, watakaozigawana kura zao ni CCM na CUF tuu!, Chadema bado itashinda kwa ushindi laini na mwembamba lakini ni ushindi!. Kama ingepata na kura za Waislamu, then ingeshinda kwa ushindi wa kishindo!.
Acha kuleta mambo yako ya kujiona cdm ni chama cha wakristo tu umeanza kunitoa hata mimi kwenye cdm mana naona unaongea kama vile cdm ni chama cha kanisa waislam hawatakiwi, rekebisha lugha yako inaonekana we ni ccm umetumwa kututenga! kicha chako hakiko sawa.
 
Hata ccm ikishindwa sio tatizo kwangu ninachojaribu kuonyesha hawa wafuasi wa CDM wasiwakashifu watu ambao nao ni wapiga kura hata Kama watu hatupigi kura kwa misingi ya dini au wewe unaona WAislam hata wasipo vote for CDM wa ka switch kwengine u think CDM watawin !?

Sisi wote ni watz. Tusiingize maswala ya dini yatatugawa. Ila kinachosikitisha chama tawala, kuwagawa watu kwa misingi ya dini.....Comment zote zinazowekwa huku kuhusu dini ni za uchonganishi...Unaposema chama cha cdm ni cha wakristo, kwa hiyo wakristo ni wabaya?? kwani ccm hakuna wakristo??? Ina maana ccm inachukia wakristo??? Vyama vyote vina dini zote....sasa kwa nini kutumia dini....tuyaache hayo. mimi mkristo, mtoto wa kaka yangu muislam... kwa hiyo nimchukie??
 
Back
Top Bottom