kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,029
- 6,559
Tanzania inaelekea kubaya
din zenyewe zmeletwa na mali..walio leta hawana tym nazo...tz kwa hali hyo econmc dvlpmt n' econmc growth 2sahau
Tanzania inaelekea kubaya
tatizo lenu elimu ndogo kila jambo linalofanyika mnaota kubaguliwa na kuonewa angalia zbr watu wako katikakati ya msiba mnaanzisha vurugu mnataka wafe wangapi zaidi tofauti na waliokufa melini? Na zbr ni nyie watupu somalia nako ni nyie watupu lakini hapakaliki au nako wako chadema wako? Fikiria vizuri imani yako kama uko njia sahihi au uko kwenye njia ya kuleta matatizo kwa jamii na dunia nzima
Kweli process ya evolution bado haijafika mwisho. Hii thread ni mfano wa jinsi evolution inavyoendelea!!! Evolution of JF minds! Again, I miss the pre-2010 JF...
Kwani wewe ni msemaji wa waislam hapa nchini? Mbona wao kwa wao huwa hakubaliani hata katika mambo yao ya msingi, iweje wewe uje uwasemee hapa?99% ya Muslim they won't vote for CDM 2015 so jifuraisheni tu hapa kilasiku kuwatusi hapa mara mmekaririshwa madrasa mara kaziyenu kula ubwabwa mara hamjasoma so u think they will go and vote for u people !? Kama mnawaona WAislam wajinga bs ujingawao mtauwona vizuri 2015 ."....I'm Muslim and I'm proud 2 be Muslim siwezi kwenda kumpigia kura mtu anaenikashifu Kila siku .naukifuatilia kwa undani watu wote wanao wakashifu WAislam ni wafuasi wa CDM so inaniwia vigumu kuelewa malengo Yao ....wakati Niko chuo nilikua mfuasi mzuri wa CDM Kama miaka miwili nyuma .Baada ya kuijua JF nikawajua vizuri wafuasi wa CDM Wana tapishwa na WAislam nimepoteza hamnacho
Kumbe huyu dogo alisema kuwa raisi hawezi kutoka kaskazini sasa imekula kwake sijuiatajificha wapi, maana lazima atueleze fedha zoote hizo kazipata wapi???Riziwani Kikwete ule mkutano uloanzisha kule bagamoyo na ukasema rais hawezi kutoka kaskazini Maneno hayo yatakutokea puani unajua Kikwete akitoka madarakani wapambe wako wote hutawaona tena watakuwa na Rais Mwingine ambaye hata Kikwete atakuwa shocked.
99% ya Muslim they won't vote for CDM 2015 so jifuraisheni tu hapa kilasiku kuwatusi hapa mara mmekaririshwa madrasa mara kaziyenu kula ubwabwa mara hamjasoma so u think they will go and vote for u people !? Kama mnawaona WAislam wajinga bs ujingawao mtauwona vizuri 2015 ."....I'm Muslim and I'm proud 2 be Muslim siwezi kwenda kumpigia kura mtu anaenikashifu Kila siku .naukifuatilia kwa undani watu wote wanao wakashifu WAislam ni wafuasi wa CDM so inaniwia vigumu kuelewa malengo Yao ....wakati Niko chuo nilikua mfuasi mzuri wa CDM Kama miaka miwili nyuma .Baada ya kuijua JF nikawajua vizuri wafuasi wa CDM Wana tapishwa na WAislam nimepoteza hamnacho
Mkuu Siera, nakuunga mkono kuwa unapotarajia kuomba kura, usiwe mbaguzi wa kumbagua mpiga kura yeyote, ila kwa vile pia sio Waislamu wote watapiga kura kwa misingi ya udini, wako wale waliochoshwa na hali ilivyo sasa hivyo watapigia kura mabadiliko ya kweli regardless ni dini gani!. "Kafiri akufaaye sii Islamu asiyekufaa"1, hivyo kama ni Chadema kushinda, itashinda tuu bila kura yoyote ya makuwadi wa udini!. Tuseme itokee makuwadi wote wa udini wakipigie CUF, watakaozigawana kura zao ni CCM na CUF tuu!, Chadema bado itashinda kwa ushindi laini na mwembamba lakini ni ushindi!. Kama ingepata na kura za Waislamu, then ingeshinda kwa ushindi wa kishindo!.Hata ccm ikishindwa sio tatizo kwangu ninachojaribu kuonyesha hawa wafuasi wa CDM wasiwakashifu watu ambao nao ni wapiga kura hata Kama watu hatupigi kura kwa misingi ya dini au wewe unaona WAislam hata wasipo vote for CDM wa ka switch kwengine u think CDM watawin !?
99% ya Muslim they won't vote for CDM 2015 so jifuraisheni tu hapa kilasiku kuwatusi hapa mara mmekaririshwa madrasa mara kaziyenu kula ubwabwa mara hamjasoma so u think they will go and vote for u people !? Kama mnawaona WAislam wajinga bs ujingawao mtauwona vizuri 2015 ."....I'm Muslim and I'm proud 2 be Muslim siwezi kwenda kumpigia kura mtu anaenikashifu Kila siku .naukifuatilia kwa undani watu wote wanao wakashifu WAislam ni wafuasi wa CDM so inaniwia vigumu kuelewa malengo Yao ....wakati Niko chuo nilikua mfuasi mzuri wa CDM Kama miaka miwili nyuma .Baada ya kuijua JF nikawajua vizuri wafuasi wa CDM Wana tapishwa na WAislam nimepoteza hamnacho
Si niliwawekea hapa kisio la chini la utawala wa CCM kwa nchi hii ni miaka 100!, hansini iliyomalizi na sasa bado 50 mingine!.
Pasco Mkuu, mbona sikuelewi (sio hueleweki) - Juu kwenye red umesema kwa kisio lako bado miaka 50 mengine ya CCM kutawala, hapa chini unasema CCM imeshachokwa, unataka kusema kuwa CCM itaendelea kutawala hata baada ya kuchokwa kwa sababu ya kukamata mpini?CCM imeshachokwa kanda ya Kaskazini, kanda ya Ziwa dalili sio nzuri!, hizo kanda mbili tuu, zikii back Chadema, hata wote mliobakia muichague CCM, bado matokeo yatakuwa CCM Out!.
Riziwani Kikwete ule mkutano uloanzisha kule bagamoyo na ukasema rais hawezi kutoka kaskazini Maneno hayo yatakutokea puani unajua Kikwete akitoka madarakani wapambe wako wote hutawaona tena watakuwa na Rais Mwingine ambaye hata Kikwete atakuwa shocked.
Kwa hiyo unataka kutuambia CCM watasimamisha mwislamu?Na wakisimamisha mkritu je?Ushauri wa bure,chagua mtu kulingana na sera zake ,siyo kuangalia udini!
Hatujafikia hapo mkuu. Lazima tuhubiri siasa zisizo za visasi na tulenge kupata 'smooth transition' kutoka kwa JK kwenda kwa mwingine. Kama alitoa maoni yake ktk mwelekeo huo, heshimu kuwa ni maoni yake. Kubwa ni 'kumthibitishia kuwa inawezekana mkuu wa nchi akatoka kaskazini'. Context pia ni muhimu: kama wakati ule mgombea mwenye nguvu alikuwa akitokea Kaskazin, tuseme Slaa, kusema Rais mwaka huu hatoki kaskazin, naona ni sawa tu. Udhaifu ktk hoja yako ni kuwa sioni uhusiano wa haya mambo matatu: Riz kusema hayo, Usalama wa Taifa na baada ya muhula wa JK kumalizika,
Ccm itoke madarakani?why, kuna nini hadi jambo kama hili litokee. Navojua CCM itatawala milele.
Call your enemy what you are, and always tell exacact opposite of the truth.
Umefanya sampling correctly brother? Je maswali ya utafiti? Umetumia muda gani kuhoji watu? Je ni survey, case study, ethnographic study au ni??99% ya Muslim they won't vote for CDM 2015 so jifuraisheni tu hapa kilasiku kuwatusi hapa mara mmekaririshwa madrasa mara kaziyenu kula ubwabwa mara hamjasoma so u think they will go and vote for u people !? Kama mnawaona WAislam wajinga bs ujingawao mtauwona vizuri 2015 ."....I'm Muslim and I'm proud 2 be Muslim siwezi kwenda kumpigia kura mtu anaenikashifu Kila siku .naukifuatilia kwa undani watu wote wanao wakashifu WAislam ni wafuasi wa CDM so inaniwia vigumu kuelewa malengo Yao ....wakati Niko chuo nilikua mfuasi mzuri wa CDM Kama miaka miwili nyuma .Baada ya kuijua JF nikawajua vizuri wafuasi wa CDM Wana tapishwa na WAislam nimepoteza hamnacho
Pasco Mkuu, mbona sikuelewi (sio hueleweki) - Juu kwenye red umesema kwa kisio lako bado miaka 50 mengine ya CCM kutawala, hapa chini unasema CCM imeshachokwa, unataka kusema kuwa CCM itaendelea kutawala hata baada ya kuchokwa kwa sababu ya kukamata mpini?
Pengine nimefanya haraka kuchangia bila ya kufanya utafiti.
Mleta mada (@mjaka Join Date; 4th July) baada ya kumwaga
sumu yake, hakuingia tenga. Kumbe ni walewale wenye kapu la IDs