MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,173
Tulisema kwamba hawa walikuwa ni watu wenye njaa wakitafuta nafasi ya kula.
Walianza akina REDET ya Benson Bana. Pole pole! Baadaye ikazuka Synovate. Wote wakijinadi ni watafiti lakini theme yao kubwa ilikuwa taarifa za nani anapendwa na nani hapendwi na wapiga kura.
Sasa tena hawasikiki kabisa! yaani utafiti wao uliishia tarehe ya kupiga kura?
Benson Bana, kama mwalimu wa University sasa hivi anajisikiaje baada ya kutumika kama toilet paper chooni ktk kipindi chote cha uchaguzi?
Walianza akina REDET ya Benson Bana. Pole pole! Baadaye ikazuka Synovate. Wote wakijinadi ni watafiti lakini theme yao kubwa ilikuwa taarifa za nani anapendwa na nani hapendwi na wapiga kura.
Sasa tena hawasikiki kabisa! yaani utafiti wao uliishia tarehe ya kupiga kura?
Benson Bana, kama mwalimu wa University sasa hivi anajisikiaje baada ya kutumika kama toilet paper chooni ktk kipindi chote cha uchaguzi?