REDET na Synovate wako wapi baada ya uchaguzi?

MchunguZI

JF-Expert Member
Jun 14, 2008
4,006
2,165
Tulisema kwamba hawa walikuwa ni watu wenye njaa wakitafuta nafasi ya kula.

Walianza akina REDET ya Benson Bana. Pole pole! Baadaye ikazuka Synovate. Wote wakijinadi ni watafiti lakini theme yao kubwa ilikuwa taarifa za nani anapendwa na nani hapendwi na wapiga kura.

Sasa tena hawasikiki kabisa! yaani utafiti wao uliishia tarehe ya kupiga kura?

Benson Bana, kama mwalimu wa University sasa hivi anajisikiaje baada ya kutumika kama toilet paper chooni ktk kipindi chote cha uchaguzi?
 
Tulisema kwamba hawa walikuwa ni watu wenye njaa wakitafuta nafasi ya kula.

Walianza akina REDET ya Benson Bana. Pole pole! Baadaye ikazuka Synovate. Wote wakijinadi ni watafiti lakini theme yao kubwa ilikuwa taarifa za nani anapendwa na nani hapendwi na wapiga kura.

Sasa tena hawasikiki kabisa! yaani utafiti wao uliishia tarehe ya kupiga kura?

Benson Bana, kama mwalimu wa University sasa hivi anajisikiaje baada ya kutumika kama toilet paper chooni ktk kipindi chote cha uchaguzi?

Wanakula pension kwa miaka minne, 2015 watarudi tena kuomba kazi kwa waajiri
 
Tulisema kwamba hawa walikuwa ni watu wenye njaa wakitafuta nafasi ya kula.

Walianza akina REDET ya Benson Bana. Pole pole! Baadaye ikazuka Synovate. Wote wakijinadi ni watafiti lakini theme yao kubwa ilikuwa taarifa za nani anapendwa na nani hapendwi na wapiga kura.

Sasa tena hawasikiki kabisa! yaani utafiti wao uliishia tarehe ya kupiga kura?

Benson Bana, kama mwalimu wa University sasa hivi anajisikiaje baada ya kutumika kama toilet paper chooni ktk kipindi chote cha uchaguzi?

Mchunguzi nilidhani utaulizia ile sijui hata inaitwaje ilompa slaa kuwa atashinda.hivi ofisi zao ziko wapi sijui
Leo unaulizia watafiti waliobobea
 
Mchunguzi nilidhani utaulizia ile sijui hata inaitwaje ilompa slaa kuwa atashinda.hivi ofisi zao ziko wapi sijui
Leo unaulizia watafiti waliobobea

Pole sana bwana paulss. Hili jina sijui ulitaka kuandika kilatini ukachapia? Kilatini ni paulus.

NA hata hivyo, polekwa swali lako "la kizembe" ulilouliza badala ya kutoa majibu kwa swali lililotangulia. Naona umesahau tafiti za kishabiki kama za REDET na SYNOVATE. Kimsingi...nani muongo kati ya hawa?

REDET na SYNOVATE walisema uongo mtakatifu....walisema DR SLAA atapata around 10%....maajabu NEC ikampa 26....% baada ya yeye kuwataka waache kutangaza matokeo ya uchaguzi wao badala yake watangaze yale ya wananchi

Tanzania Citizens Information Bureau (TCIB) ikasema kama kura hazitaibwa na hakutakuwa na udanganyifu... Dr Slaa 45%(akapata 26...%), Lipumba 10% (unajua alichopata).

Kimsingi...marginal difference kati ya tafiti hizi inatuletea mashaka makubwa ukiangalia utafiti wa REDET na SYNOVATE. Hata baada ya kuiba (TCIB wako close to the answer and therefore tunawaamini zaidiiii)

Upo hapo? Kwa mda huu SYNOVATE na REDET wanakutana na JK kwa nafasi mbali mbali kuangalia namna ya kuanza kudanganya uchaguzi wa serekali za mitaa miaka mitatu ijayo. Kumbuka CCM huwa wanaanza kufikiria uchaguzi imediately baada ya wa awali kumalizika maana wanajua watarudi kwa wananchi kuwadanganya kama walivyozoea..

VURUGU za ARUSHA NI EVIDENCE. Lukuvi ameonyesha uelewa kwa kujibu kuwa "hatacoment kitu maana issue imekaa kisheria kuliko kisiasa....akijua UCAHGUZI WA MEYA NI BATILI, akijua FORAM haikutimia akijua CCM iMEHUSIKA MOJA KWA MOJA KATIKA KUPIGWA KWA LEMA...

Akafu kosa CCM wanalofanya...ni kama walivyofanya kule karatu KUMTEUA mwenye jina la SLAA ili wananchi wachangayikiwe....hapa ARUSHA kwa kujua Godbles na ni mchaga basi wakaleta meya wao mchaga wakidhani itasaidia maana wataongea lugha moja...

HApa ni kuruka maji na kukanyanga...........

Ule
 
Pole sana bwana paulss. Hili jina sijui ulitaka kuandika kilatini ukachapia? Kilatini ni paulus.

NA hata hivyo, polekwa swali lako "la kizembe" ulilouliza badala ya kutoa majibu kwa swali lililotangulia. Naona umesahau tafiti za kishabiki kama za REDET na SYNOVATE. Kimsingi...nani muongo kati ya hawa?

REDET na SYNOVATE walisema uongo mtakatifu....walisema DR SLAA atapata around 10%....maajabu NEC ikampa 26....% baada ya yeye kuwataka waache kutangaza matokeo ya uchaguzi wao badala yake watangaze yale ya wananchi

Tanzania Citizens Information Bureau (TCIB) ikasema kama kura hazitaibwa na hakutakuwa na udanganyifu... Dr Slaa 45%(akapata 26...%), Lipumba 10% (unajua alichopata).

Kimsingi...marginal difference kati ya tafiti hizi inatuletea mashaka makubwa ukiangalia utafiti wa REDET na SYNOVATE. Hata baada ya kuiba (TCIB wako close to the answer and therefore tunawaamini zaidiiii)

Upo hapo? Kwa mda huu SYNOVATE na REDET wanakutana na JK kwa nafasi mbali mbali kuangalia namna ya kuanza kudanganya uchaguzi wa serekali za mitaa miaka mitatu ijayo. Kumbuka CCM huwa wanaanza kufikiria uchaguzi imediately baada ya wa awali kumalizika maana wanajua watarudi kwa wananchi kuwadanganya kama walivyozoea..

VURUGU za ARUSHA NI EVIDENCE. Lukuvi ameonyesha uelewa kwa kujibu kuwa "hatacoment kitu maana issue imekaa kisheria kuliko kisiasa....akijua UCAHGUZI WA MEYA NI BATILI, akijua FORAM haikutimia akijua CCM iMEHUSIKA MOJA KWA MOJA KATIKA KUPIGWA KWA LEMA...

Akafu kosa CCM wanalofanya...ni kama walivyofanya kule karatu KUMTEUA mwenye jina la SLAA ili wananchi wachangayikiwe....hapa ARUSHA kwa kujua Godbles na ni mchaga basi wakaleta meya wao mchaga wakidhani itasaidia maana wataongea lugha moja...

HApa ni kuruka maji na kukanyanga...........

Ule
Yote katika yote ukweli si umeshawekwa wazi? Dr Slaa 62% na kikwete ngapi vile?
 
Sasa unataka wafanye nini! kazi yao ilikuwa kuandaa umma wa watanzania kuyakubali matokeo yaliyochakachuliwa. Hawakuweza kufanikiwa kwa hilo kwasababu waligundulika mapema. Inavyoelekea, hivi sasa wako kwenye harakati za kujitokeza katika sura nyingine.
 
REDET na Synovate wanaweza kuwa ni watafiti wazuri, tatizo lao ni kukubali kulawitiwa na wanasiasa bila hata kinga ya kulinda utu wao. Nasi hatuna njia nyingine ya kuwaelewa mbali na yale waliyokuwa wakiyasema hadhalani.

Mimi naweza kwenda kinyume na maadili ya kazi yangu na nikafahamu hivyo na kuona aibu kwa hayo. Hawa REDET na Synovate hapana.

Nilikutana na Benson Bana hapo UD, sikuamini kama kweli kichwani ziko fiti na ikabidi nigeuke kuangalia kama suruali yake inafunika makalio. Maana tunaweza kusumbuliwa na kichaa eti!
 
REDET na Synovate wanaweza kuwa ni watafiti wazuri, tatizo lao ni kukubali kulawitiwa na wanasiasa bila hata kinga ya kulinda utu wao. Nasi hatuna njia nyingine ya kuwaelewa mbali na yale waliyokuwa wakiyasema hadhalani.

Mimi naweza kwenda kinyume na maadili ya kazi yangu na nikafahamu hivyo na kuona aibu kwa hayo. Hawa REDET na Synovate hapana.

Nilikutana na Benson Bana hapo UD, sikuamini kama kweli kichwani ziko fiti na ikabidi nigeuke kuangalia kama suruali yake inafunika makalio. Maana tunaweza kusumbuliwa na kichaa eti!

Hiyo nimeipenda
 
Hawa wamekiuka ethics za utafiti wanatakiwa kufungiwa na wanataaluma (katika association yao) la sivyo wanaidhalilisha taaluma. Kwa vile ni jambo limelalamikiwa sana na wadau inatakiwa association ichunguze uhalali wa research yenyewe na kisha waje na jibu la kuwa acquit au kuwa convict otherwise basi hakuna profession. Na kila profession ina ethics zake!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ndugu wanajamii, mbona zile kura za maoni hawatoi tena? Au ni kutokana na makuwadi wao kuwa katika hali mbaya? Tumeona Kenya, rais aliyeko madarakani amekuwa wa tano kama uchaguzi ungefanyika jana. Kama wakisurvey kura ya maoni hapa kwetu hali itakuwa mbaya zaidi. Mnalionaje wadau?
 
kuhusu nini? usiwashtue maana hawana update! utashangaa wanakuibulia kura ya maoni ya loliondo.
 
Nahisi kuna sababu kadhaa ambazo zinafanya wasifanye utafiti kwasasa hapa Tanzania:

  1. Kipindi cha kula na kukusanya mauzo ilikuwa kipindi cha uchaguzi,maana hapo walipewa pesa za kusambaza propaganda kuwa watu wanaipenda CCM(napata kichefuchefu nikitamka hichi chama)
  2. Wakifanya utafiti sasa hali itakuwa yakutia majonzi kwa JK na uongozi wake
  3. Wanaogopa wakichakachua kwasasa watanzania wanahasira watawapiga mawe...
 
They are proxies so they are waiting for instructions from Salva Rweyemamu
 
Wakuu,

Redet walikua mstali wa mbele kutoa tathmini ya hali ya kisiasa kipindi cha uchaguz wakijinadi kwa chama cha magamba kuwa kinamvuto... Tunaomba wafanye tathmin ya hali ya kisiasa kipindi hiki ccm na 'kujivua gamba' Vs CDM Operation twanga kote kote.!
 
Hizo tathmini zao huwa siziamini maana sijasikia hata mtu mmoja ninayemjua amehojiwa na hao jamaa.

Pili sidhani kama wana Statisticians wa ukweli kutoa conclusion za maana watakuwa kama maswali ya vipima joto tu:biggrin1:
 
Waholanzi wamesitisha msaada kwa redet baada ya kugundua kuwa pesa hizo zinatumika kuwapamba chama cha magamba badala ya kufanya kazi iliyokusudiwa ya kukuza demokrasia.

Lakini hata kama wangekuwa na uwezo wa kufanya huo utafiti, kwa jinsi wasivyo na aibu huyu Mkandara na mafisadi wenzie wanaweza kufanya tathmini leo na bado wakakwambia Magamba bado wanapendwa kwa zaidi ya 90%.
 
Waholanzi wamesitisha msaada kwa redet baada ya kugundua kuwa pesa hizo zinatumika kuwapamba chama cha magamba badala ya kufanya kazi iliyokusudiwa ya kukuza demokrasia.

Lakini hata kama wangekuwa na uwezo wa kufanya huo utafiti, kwa jinsi wasivyo na aibu huyu Mkandara na mafisadi wenzie wanaweza kufanya tathmini leo na bado wakakwambia Magamba bado wanapendwa kwa zaidi ya 90%.


au kwenye red wakashusha kidogo hadi 70%
 
Wakuu,

Redet walikua mstali wa mbele kutoa tathmini ya hali ya kisiasa kipindi cha uchaguz wakijinadi kwa chama cha magamba kuwa kinamvuto... Tunaomba wafanye tathmin ya hali ya kisiasa kipindi hiki ccm na 'kujivua gamba' Vs CDM Operation twanga kote kote.!

Hawana pesa ya kufanyia utafiti
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom