usiwalaumu wao, ilaumu system pamoja na njaa
njaa haina professor
njaa ukiiendekeza nndio inakushusha hadhi km hivyo,mbona wako watafiti wengi wanaojitambua hawakufanya hivyo wala hawwawezi kufanya ujinga huo.wajue baada ya 2015 km watabaki na hivyo vyeo walivyopewa zawadi kwa utabiri wa kupika data/ na si utafiti