Mundali
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 749
- 164
Nimeipenda hii, that is to say Ziwa Nyasa lote lipo Malawi, Bandari ya Mombasa ipo Tanganyika, Milima Kilimanjaro upo Kenya na Hakuna nchi za Rwanda wala Burundi, that is History. Nadhani inabidi Kagame ajiandae kuachia nchi ama tutalazimika kuingia vitani tu tena si na nchi ya Malawi kama inavyodhaniwa bali East Africa against wavamizi wa mipaka baada ya kuangushwa utawala wa mjerumani.Ni ukweli mchungu sana. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Ziwa lote ni la Wamalawi. Watanzania hatutaki vita wala ugomvi na majirani zetu, kama tuna hoja tuwahi mahakamani sheria ichukue mkondo wake.