Ramani Ya Helligoland Treaty: Ziwa Nyasa Lote Liko Malawi

Hii ni ramani au karatasi iliyochorwa na mtoto wa darasa la pili? Sina imani na huu ujinga.
attachment.php


Msije mkasema mimi ninakinyongo na msimamo wa serikali. Nimeona ramani hii inayoonyesha mipaka ya ziwa nyasa. Sasa nashindwa kujua ugumu unatokea wapi wakati kumbe mambo yako wazi kabisa.

Imetoka blog ya Mjengwa
 
Sasa hapa tupo katika kuyapinga
maamuzi ya mjerumani, Mwingereza na Mreno. Wao walikaa Ulaya na kuchora
ramani, na kujigawia ardhi wanavyotaka wao, bila kumshirikisha hata mwafrika
mmoja katika majadiliano na maamuzi.

Kweli kabisa mkuu, hao wazungu waligawana hilo ziwa kwa maslahi yao bila kujali hatima ya watu wanaoishi pembeni mwa hilo ziwa.

Najinsi ninavyoona Wamalawi wakishinda watatunyanyasa sana hata ndugu zetu wa hapo mpakani watashindwa kunywa maji let alone kuvua samaki
 
Ya kwamba tuna haki ya kuidai Rwanda na Burundi kwa kigezo cha Heligoland Treaty someone is missing the point here

Yes, Rwanda and Burundi fell into our territory as of July 1, 1890 however in 1922 The League Of Nations gave it to Belgium and prior to that if I remember correctly Belgium had pushed the Germans out of that area during the WW1.

Yes, the British defeated the Germans during WW1 and took over Tanganyika, however, had to concede Ruanda and Urundi to Belgium because Belgium had its military occupation over Ruanda and Urundi

Likewise like I said earlier, in the event that Heligoland treaty is rendered controversial the Malawians still have a strong case because they might find a recourse to the boundaries laid by the Joint boundary Commission of 1898 which also gave the lake to Malawi
 
Wakoloni bado wana faida . Hebu tuwaite wakoloni wahusika waamuwe maana bado wanazo nyaraka zinahusu mpaka huu !
 
jamani katika hili la mpaka hata mimi nasimama upande mmoja na bw. dhaifu...wamalawi wasilete za kuleta waheshimu mipaka ya sasa hivi.
 
attachment.php


Msije mkasema mimi ninakinyongo na msimamo wa serikali. Nimeona ramani hii inayoonyesha mipaka ya ziwa nyasa. Sasa nashindwa kujua ugumu unatokea wapi wakati kumbe mambo yako wazi kabisa.

Imetoka blog ya Mjengwa

Heligoland treaty si msahafu ndiyo maana leo kuna Rwanda na Burundi. Iweje mpaka upite katikati ya L. Tanganyika ukifika L. Nyasa upite pembeni?
 
Tunachobishania nini hasa? Huo mchoro usiokua na authority yoyote wala signatures?
Umesema vema mheshimiwa! Hapa mjadala hauna tija kwasababu watu wanajadiliana kama vile kesi hiyo itaamriwa na mahakama za kiraia kumbe hilo swala linategemea mambo mengi. Kifupi tu ni kuwa wamalawi hawatujui tabia yetu, wamalawi wakiendelea kung'ang'ania basi "watakosa kura bara na pwani" wataingia hasara mara mbili.
 
Kweli dhaifu lakini kwa hili aoneshe kwamba walau aliwahi kupita pale Monduli, atoe kauli thabiti na ya kijeshi "Mpaka wa ziwa nyasa ni huu tunaoutambua na si vinginevyo, na iwapo malawi itajaribu kuvuka hata kwa inchi moja itakuwa imetangaza vita na hatutasita kupigana nayo". Mwanajeshi gani unawekewa kibesi na mwanamke??? Mura hii ya wapi sasa?
 
MPAKA FEKI WA MALAWI.jpg
@-7.6548992,35.2309139,6z
Google Map wanatoa wapi idhini ya kuitangazia dunia ati Ziwa Nyasa lipo Malawi LOTE, Liko wapi jukumu la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa pamoja na Wizara ya Mambo ya Ndani kulikemea hili ikiwezekana kuwashtaki hawa Google kwa kuupotosha ulimwengu? Natumai wanaohusika watatupa majibu.

Link: Google Maps
 
Hiyo haimaanishi kwamba ziwa lote lipo malawi..na ndio maana wameweka dotted line kumaanisha kwamba hawana uhakika na mipaka hiyo au wakimaanisha kwamba kuna mgogoro wa mpaka.
 
View attachment 352388
@-7.6548992,35.2309139,6z
Google Map wanatoa wapi idhini ya kuitangazia dunia ati Ziwa Nyasa lipo Malawi LOTE, Liko wapi jukumu la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa pamoja na Wizara ya Mambo ya Ndani kulikemea hili ikiwezekana kuwashtaki hawa Google kwa kuupotosha ulimwengu? Natumai wanaohusika watatupa majibu.

Link: Google Maps
Kaka si unaona mipaka yote iko kweny solid line isipokuwa huo wa Malawi na Tanzania tu, na maana hawana uhakika na hilo, lakini ni muhimu pia kwa Serikali kufatilia, nakumbuka kuna ramani zilitoka na hilo eneo lilikuwa halina mpaka wa kuchorwa
 
Kaka si unaona mipaka yote iko kweny solid line isipokuwa huo wa Malawi na Tanzania tu, na maana hawana uhakika na hilo, lakini ni muhimu pia kwa Serikali kufatilia, nakumbuka kuna ramani zilitoka na hilo eneo lilikuwa halina mpaka wa kuchorwa
Haya ni majibu rahisi kwa maswala muhimu, kama hawana uhakika mawili aidha wasingeweka chochote ama hiyo doted waipitishe kati....kwa critical thinker hiyo doted kuwa ndani ya TZ ataona wazi kwamba wenye haki ni Malawi pending approval...kitu ambacho si sahihi....
Haya ni majibu rahisi kwa maswala muhimu, kama hawana uhakika mawili aidha wasingeweka chochote ama hiyo doted waipitishe kati....kwa critical thinker hiyo doted kuwa ndani ya TZ ataona wazi kwamba wenye haki ni Malawi pending approval...kitu ambacho si sahihi....
 
Sawa. Ziwa Nyasa lipo Malawi. Kaitazame Heligoland Treaty. Bismarck alikuwa anataka real estate Europe,kwa hiyo akapewa regions in exchange for Ziwa Nyasa. Always Bismarck alikuwa hazitaki hizo African possesions. Alikuwa anaziona kwamba ni usumbufu tu.
 
Kama malawi wanaona hawatosheki basi waje na huku dar au tanga tuwapatie sehemu ya bahari ya hindi wachukue wao. ila haiwezekan bibi na babu zangu wa Kinyak wawe pale kyela then wasitumie maji ya ziwa lile yaani itakuwa ni uhujumu jamii mkubwa sna. miaka yote lile ziwe tumegawana kiasi kwao na kiasi kwetu frm nwhere leo wanaleta hbr za hovyo.
 
Back
Top Bottom