Ramani Ya Helligoland Treaty: Ziwa Nyasa Lote Liko Malawi

Jamani haiwezekni nchimoja ichukue maji yote halafu wananchi wa nchi jirani wasipatemaji hivyo wakitaka maji waende kununua njeyanchi haiwezekeni hata ukimuuliza mtoto mdogo nilazima maji tugwane katikati w0te tunywemaji kwani wamewekwa na m/mungu hayakuwekwa na wamalawi unanisoma mtoa mada?.

Uko sahihi Mkuu, cha kushangaza upande wa Msumbiji na Malawi mpaka upo katikati, I really wonder why the same didn't happen upande wa TZ....huu ni undezi kabisa.....utetezi unaotolewa hauna mashiko....Tukomae....
 
Hayo mambo yapo tume ya pamoja ya maridhiano kati ya Tanzania na Malawi sasa kuweka hiyo thread unamaanisha nn sasa
 
Ni ukweli mchungu sana. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Ziwa lote ni la Wamalawi.

Watanzania hatutaki vita wala ugomvi na majirani zetu, kama tuna hoja tuwahi mahakamani sheria ichukue mkondo wake.
unaonaje tukirudishiwa mikoa yetu miwili burundi na rwanda
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom