Ramani Ya Helligoland Treaty: Ziwa Nyasa Lote Liko Malawi

Hivi Malawi na Msumbiji havipakani? Mbona sioni mpaka kati ya nchi hizi mbili.

Nashauri ukajipange upya na hii ramani yako kwa vile a lot of things just dont add up!
 
Mkataba wa heligoland treaty ulishafutwa na versailles treaty article no.289 ambao nimeweka kifungu husika hapa chini wamalawi tafuteni pengine pakutokea.

THE VERSAILLES TREATY.
Article 289

Each of the Allied or Associated Powers, being guided by the general principles or special provisions of the present Treaty, shall notify to Germany the bilateral treaties or conventions which such Allied or Associated Power wishes to revive with Germany.The notification referred to in the present Article shall be made either directly or through the intermediary of another Power. Receipt thereof shall be acknowledged in writing by Germany. The date of the revival shall be that of the notification.The Allied and Associated Powers undertake among themselves not to revive with Germany any conventions or treaties which are not in accordance with the terms of the present Treaty.The notification shall mention any provisions of the said conventions and treaties which, not being in accordance with the terms of the present Treaty, shall not be considered as revived. In case of any difference of opinion, the League of Nations will be called on to decide.A period of six months from the coming into force of the present Treaty is allowed to the Allied and Associated Powers within which to make the notification.Only those bilateral treaties and conventions which have been the subject of such a notification shall be revived between the Allied and Associated Powers and Germany; all the others are and shall remain abrogated.The above regulations apply to all bilateral treaties or conventions existing between all the Allied and Associated Powers signatories to the present Treaty and Germany, even if the said Allied and Associated Powers have not been in a state of war with Germany.
 
Tatizo lw watanganyika mumezowea wizi hio ndio kazi yenu na sasa munadai ziwa
 
As long as tuna akili hatuhitaji mahakama yeyote ile hasa hizi za wazungu kuja kuamua hii kesi...never! Tunachohitaji ni TANZANIA-MALAWI TREATY ambayo kama tutakubaliana basi tutapresent katka UN kua ni A,B,C....Mikataba ya wazungu hasa hasa kipindi bado tunatawaliwa sio ya kufuata kwa baadhi ya mambo kwani ilikua ni ya kipuuzi na kwa enterest zao...Mfano Mkataba uliosainiwa na mkoloni Mwingereza kipindi anatutwala kuhusu maji ya ziwa victoria je nawenyewe tuufuate? Yani watu wako wanaweza kufa kwa kukosa maji nauku MISRI wanayatumia mpaka kumwagilia mashamba yao....
 
kwa mara ya kwanza ilichapishwa na gazeti la Mwananchi mwanzoni mwa mwezi september kufuatia mahojiano maalumu na rais Kikwete naye bila kumung'unya maneno alisema ziwa ni mali ya Mawali ila wanaomba busara itumike katika kuweka mpaka mpya kufuatana na sheria za umoja wa mataifa kwamba nchi mbili zinazotenganishwa na maji basi mpaka wake utakuwa katikati ya maji hayo.

Serikali ya uingereza hata baada ya kutawala malawi na tanganyika walikataa kurekebisha mpaka wa nchi hizi mbili lakini wakarekebisha mpaka kati ya msumbiji na malawi. na baada ya uhuru maneno ya Mwl. JK Nyerere 1963 akihutubia OAU alisema ili kulinda amani ya africa basi yazipasa nchi zote kuheshimu mipaka iliyogawiwa na wakoloni. Na malawi wanatumia hii kama fimbo ya kutupigia watz.

Hata kama tukibisha huu ndio ukweli kwamba ziwa nyasa tunalitumia kwa nguvu na ubabe tu ila sio mali yetu kama tulivyoaminishwa tangu zamani
 
Mkataba wa Germany na UK ndio utafuatwa ikiwa hili tatizo lita malizwa kwa njia ya amani. La sivyo Kenya pia watakua na haki ya kudai mlima Kilimanjaro sababu ukiona mpaka umepindishwa ki makusudi kuuweka mlima ndani ya Tanganyika
 
Jamani nyinyi mbishieni tu huyu lakini ukweli wa mambo kwa kipindi kile cha karne ya 19 hivyo ndiyo ilivyokuwa. Ziwa lote lilikuwa nyasaland na siyo Tanganyika wala Mozambique. Hebu jaribuni kufuatilia huu mjadala kwa uangalifu na siyo kurukia.

Lakini kulikuwa na maendeleo mengine baadae. Na ndiyo maana Mozambique walipata nusu yao lakini Tanganyika kwa vile ilikuwa na mtawaliwa mmoja na Malawi ambaye ni Muingereza hakujali kufanya lo lote kuhusu kusogeza mpaka huu.

Na baada ya uhuru sijui kama Tanzania ilifanya juhudi yo yote ya ziada kujaribu kuurekebisha mpaka kwa mujibu wa sheria mpya za kimataifa.

Lakini kwani nini? Wachieni washikilie ziwa lao lakini vyanzo vya maji yanayoingia ziwani vinatokea milima ya Livingstone ambayo asilimia kubwa iko Tanzania. Tungekuwa matajiri tungeweza kuya divert yale maji tukawaachia na ziwa lililokauka.

Wakijifanya smart Tanzania iko smarter, zuia maji yote kwa mambo yenye manufaa wachie kidogo tu uone kama watasurvive.


Aiding an enermy. Kujidai wastaarabu kwenye mambo ya kitaifa. Wakati wamalawi wanaongeza kwa kauli moja, kwetu kuna mijitu inajidai kuchambua mambo kwa hoja za kuwagawa watanzania. Haiyumkini watanzania hudhaniwa kuwa ni wajinga na baadhi ya nchi zinazotuzunguka!
 
attachment.php


Mbona huu mwandiko unaonekana ni wa juzi juzi tu wala sio wa karne ya 19 ?
 
kwa mara ya kwanza ilichapishwa na gazeti la Mwananchi mwanzoni mwa mwezi september kufuatia mahojiano maalumu na rais Kikwete naye bila kumung'unya maneno alisema ziwa ni mali ya Mawali ila wanaomba busara itumike katika kuweka mpaka mpya kufuatana na sheria za umoja wa mataifa kwamba nchi mbili zinazotenganishwa na maji basi mpaka wake utakuwa katikati ya maji hayo.

Serikali ya uingereza hata baada ya kutawala malawi na tanganyika walikataa kurekebisha mpaka wa nchi hizi mbili lakini wakarekebisha mpaka kati ya msumbiji na malawi. na baada ya uhuru maneno ya Mwl. JK Nyerere 1963 akihutubia OAU alisema ili kulinda amani ya africa basi yazipasa nchi zote kuheshimu mipaka iliyogawiwa na wakoloni. Na malawi wanatumia hii kama fimbo ya kutupigia watz.

Hata kama tukibisha huu ndio ukweli kwamba ziwa nyasa tunalitumia kwa nguvu na ubabe tu ila sio mali yetu kama tulivyoaminishwa tangu zamani
..........Usimsingizie mwalimu hebu cheki signature hapo chini uone maneno yake acha kukurupuka na hoja yako ya kutuaminisha kwa maneno kama "haki ya Mungu", "huu ndio ukweli"
 
Mleta mada tafuta source: wewe bado uko na hiyo Heligoland Treaty yako?

Wake UP... Umeniona MIMI ndie niliyeleta HIYO HOJA? Mimi kama mchangiaji nimeiangalia hiyo RAMANI na kuona kasoro na hilo ndio kasoro niliyoiona... Sasa kama wewe una another issue towards me BRING IT ON...

As I said before DON'T PICK and CHOOSE who to ATTACK....
 
Jamani nyinyi mbishieni tu huyu lakini ukweli wa mambo kwa kipindi kile cha karne ya 19 hivyo ndiyo ilivyokuwa. Ziwa lote lilikuwa nyasaland na siyo Tanganyika wala Mozambique. Hebu jaribuni kufuatilia huu mjadala kwa uangalifu na siyo kurukia.

Lakini kulikuwa na maendeleo mengine baadae. Na ndiyo maana Mozambique walipata nusu yao lakini Tanganyika kwa vile ilikuwa na mtawaliwa mmoja na Malawi ambaye ni Muingereza hakujali kufanya lo lote kuhusu kusogeza mpaka huu.

Na baada ya uhuru sijui kama Tanzania ilifanya juhudi yo yote ya ziada kujaribu kuurekebisha mpaka kwa mujibu wa sheria mpya za kimataifa.

Lakini kwani nini? Wachieni washikilie ziwa lao lakini vyanzo vya maji yanayoingia ziwani vinatokea milima ya Livingstone ambayo asilimia kubwa iko Tanzania. Tungekuwa matajiri tungeweza kuya divert yale maji tukawaachia na ziwa lililokauka.

Wakijifanya smart Tanzania iko smarter, zuia maji yote kwa mambo yenye manufaa wachie kidogo tu uone kama watasurvive.
.......kama kwako kufikiri ni tabu, kwa nini usikimbilie facebook ukachanganyikane na watoto wa shule wanaojifunza kujenga hoja bado? (penye bold) kama mtawala wa malawi na tanganyika alikuwa ni moja huoni kwamba hayo maji hayana mwenyewe?(kulingana na hoja yako dhaifu) hata ukiangalia ramani unayo/mnayoishobokea unaweza kuonyesha huo mpaka wa malawi (na malawi yenyewe?), unafahamu kwamba kwa kutumia ramani hii na zingine zinazofanana na hii Kamuzu Banda alishawahi kutamka kwamba hata sehemu ya kusini ya Northern Rhodesia (Zambia) ni sehemu ya Malawi na akajibiwa na KK ni shauri yake kama anataka kuanzisha vita? sio lazima uchangie kukaa kimya nako ni busara............
 
Ha ha ha ha
Kama mngeulizwa kwanini hii ramani ni ya kubumba basi nyote mngepata zero. Teh teh

Hii ramani ni fake kwa sababu moja kuu, ziwa victoria wakati huo mpaka miaka ya karibuni lilikuwa linaitwa ziwa NYAZA, Ziwa magharibi na sio victoria. Nyaza ni neno la kisukuma/kijita na makabila mengi yanayolizunguka ziwa victoria likimaanisha ziwa.
 
Watanganyika wamezowea kua wezi.mfano:-ziwa nyasa ni la malawi wanasema ni lakwao,mt.kilimanjaro ni kenya wanasema niyakwao.zanzibar wameiteka wanasema niyakwao kumbe ina wenyewe.watanganyika mutakua wezi hadi lini?
 
Watanganyika wamezowea kua wezi.mfano:-ziwa nyasa ni la malawi wanasema ni lakwao,mt.kilimanjaro ni kenya wanasema niyakwao.zanzibar wameiteka wanasema niyakwao kumbe ina wenyewe.watanganyika mutakua wezi hadi lini?

Nyie mnawashwa nyie..dawa yenu ni kuwanyuka tu na hito tumalawi tunatuchukua tunatufanya mkoa wa Tanzania. Brainwashed mind-colonized nicampuups. Go to hell with your colonial masters-camerun the way you dd with boers. Hatuwapi hata futi moja ya nchi yetu. Nendeni mkaoane na wanaume wenzenu huko. Shame upon you!!!!
 
.......kama kwako kufikiri ni tabu, kwa nini usikimbilie facebook ukachanganyikane na watoto wa shule wanaojifunza kujenga hoja bado? (penye bold) kama mtawala wa malawi na tanganyika alikuwa ni moja huoni kwamba hayo maji hayana mwenyewe?(kulingana na hoja yako dhaifu) hata ukiangalia ramani unayo/mnayoishobokea unaweza kuonyesha huo mpaka wa malawi (na malawi yenyewe?), unafahamu kwamba kwa kutumia ramani hii na zingine zinazofanana na hii Kamuzu Banda alishawahi kutamka kwamba hata sehemu ya kusini ya Northern Rhodesia (Zambia) ni sehemu ya Malawi na akajibiwa na KK ni shauri yake kama anataka kuanzisha vita? sio lazima uchangie kukaa kimya nako ni busara............

Sasa wewe kama ulipata digrii yako kwa kupitia huko facebook sijui, lakini hebu jaribu kujenga hoja na siyo kukimbilia kusikokuwa nayo.

Jaribu kufanya analysis kijana nina wasiwasi na hilo jina lango hata huo ubongo wako umejaa mafuta. Punguza kula vyakula vya mafuta ubongo uweze kufanya kazi vizuri. Hint: Ongeza Omega 3 au kula samaki kwa wingi labda utaactivate huo ubongo wako.

Sisi hatuzungumzii Northern Rhodesia hapa tunazungumzia ramani ya karne hiyo ambayo ndiyo wamalawi wanajengea hoja. Hatuzungumziii kwamba ilikuwa sahihi au la kwa kipindi kile.
 
Back
Top Bottom