The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,143
Sasa hapo Rwanda kwa wapuuzi wenzio ndio kuna nini cha maana huko kwa maskini?
Sasa hapo Rwanda kwa wapuuzi wenzio ndio kuna nini cha maana huko kwa maskini?
Sasa hapo Rwanda kwa wapuuzi wenzio ndio kuna nini cha maana huko kwa maskini?
Yani hujui kiongozi na selikali yake anapaswa kufanya nini, sasa tunawaweka madarakani kwa ajili gani?bro inaonekana huu mjadala sio saizi yako, au kuna uwezekano pia bado unatimiziwa mahitaji ndiomana huwezi kuona madhara yoyote kwa upande wako.Hebu tuongee ukweli huu mfumuko wa bei uko tanzania pekee?,huu mfumuko kauleta samia?na kwamba huo mfumuko samia unataka afanye nini?
Nchi nyingine zote za Afrika kuwa katika ulimwengu wa tatu haihalalishi uzembe wa serikali ya CCM kushindwa kuiletea maendeleo Tanzania wala kuipa CCM hifadhi katika uzembe huo.Kwa hiyo sisi kama Taifa tuache kujishughulisha ili tutoke katika nchi za ulimwengu wa tatu kisa nchi nyingi duniani zipo katika ulimwengu wa tatu?Sio swala la ccm,ukiacha South Africa na Egypt,Nchi zingine zote za Africa ziko ulimwengu wa tatu..
Again,nchi nyingi duniani kuzidiwa na south Korea katika maendeleo haihalalishi uzembe wa CCM katika kuiletea Tanzania maendeleo na wala haiwezi kuipa CCM hifadhi katika uzembe wao.Kwa hiyo sisi kama Taifa tuache kujishughulisha ili kuwa sawa na Korea ya kusini au kuipita Korea ya kusini kisa nchi nyingi duniani zimepitwa na Korea ya Kusini?Kwani kote huko ni CCM imetawala? Kwani ni Tzn pekee iliyozidiwa na Korea Kusini? South Korea imeizidi hadi Russia sijui unasemaje..
Hakuna nchi ambayo haijawahi kuwa na limitations nyingi,hata nchi ambazo sasa hivi zipo katika ulimwengu wa kwanza zilikuwa na limitations nyingi pia ila zikajikwamua.Kisingizio unacholeta hakina maana bali ni chaka la kuficha na kutafuta hifadhi ya uzembe wa CCM.TZ kutokuwa katika third country peke yake haiwezi kuhalalisha Tanzania kuwa it is OK kuwa katika third countries.Kwa hiyo tulale usingizi wa pono katika masuala ya maendeleo kisa siyo sisi peke yetu tupo katika nchi za ulimwengu wa tatu?Bara la Africa iliko Tanzania inakabiliwa na limitations nyingi,ingekuwa Tzn pekee ndio iko third world country na Nchi zingine za Africa zimejikwamua ingekuwa ni hoja ya maana..
Hizo ni hisia zako mfu kwa sababu huna ushahidi kuwa sina mbinu za kuikwamua nchi hii.Nailaumu CCM kwa sababu imetawala Taifa hili kwa miaka sitini bila ya kutuvusha.Ulipo hapo huna hata mbinu hata moja ya kuiweka mezani Ili tutoke hapa umeishia kulaumu ccm kwa sababu tuu hujapata madaraka unayoyahangaikia.
Kwa upande wa sisi wananchi tumeshajibana mpaka mwisho ndiomana vilio vimeanza.Selikali inawajibu wa kutoa majibu ya vitendawili vya wananchi kwani ndio tuliyoipa dhamana ya kusimamia mambo haya.Si bora DRC ni Waziri tuu ,kule Sri Lanka Baraza Zima la Mawaziri limejiuzulu,Ghana Rais na Mawaziri wamepunguziana malipo lakini unfortunately hakuna bei hata moja iliyopungua.
Swali la kufahamu ni kwamba uchumi wa Dunia wote unakabiliwa na mfumuko wa Bei,sio swala la Samia.
Mwisho serikali haiwezi kuvuruga bajeti yake Ili iweke ruzuku sijui kwenye vitu au ifute Kodi.Ikifanya hivyo itajiendeshaje? Itakwama na hutokuta hata panado hospital..
Kitu pekee serikali inaweza kufanya ni kujitahidi tuu kupunguza Kodi kwa baadhi ya maeneo,bahati nzuri hapa Tzn kinachoitwa mfumuko wa bei Kiko chini kuliko Nchi karibu zote zinazotuzunguka..
Hapo Kenya mafuta yameadimika sasa sijui ikifika huku mafuta hakuna itakuaje.
Uingereza wanasema mafuta ya alizeti yanaweza kupotea wiki zikazo na bei iko juu,kwa hiyo hili sio swala la Serikali bali ni swala la kufunga mikanda kwa kila mtu na kupunguza matumizi.
Bei zimepanda kwa sababu demand ni kubwa kuliko uzalishaji,sasa nyie mlitakaje?
Mbinu huna ndio maana kutwa kucha kulaumu na kutukana,toka nimekufahamu hujawahi kuja na ushauri wowote zaidi ya matusi na kulaumu.Hii inadhihirisha huna huo uwezo..Nchi nyingine zote za Afrika kuwa katika ulimwengu wa tatu haihalalishi uzembe wa serikali ya CCM kushindwa kuiletea maendeleo Tanzania wala kuipa CCM hifadhi katika uzembe huo.Kwa hiyo sisi kama Taifa tuache kujishughulisha ili tutoke katika nchi za ulimwengu wa tatu kisa nchi nyingi duniani zipo katika ulimwengu wa tatu?
Again,nchi nyingi duniani kuzidiwa na south Korea katika maendeleo haihalalishi uzembe wa CCM katika kuiletea Tanzania maendeleo na wala haiwezi kuipa CCM hifadhi katika uzembe wao.Kwa hiyo sisi kama Taifa tuache kujishughulisha ili kuwa sawa na Korea ya kusini au kuipita Korea ya kusini kisa nchi nyingi duniani zimepitwa na Korea ya Kusini?
Hakuna nchi ambayo haijawahi kuwa na limitations nyingi,hata nchi ambazo sasa hivi zipo katika ulimwengu wa kwanza zilikuwa na limitations nyingi pia ila zikajikwamua.Kisingizio unacholeta hakina maana bali ni chaka la kuficha na kutafuta hifadhi ya uzembe wa CCM.TZ kutokuwa katika third country peke yake haiwezi kuhalalisha Tanzania kuwa it is OK kuwa katika third countries.Kwa hiyo tulale usingizi wa pono katika masuala ya maendeleo kisa siyo sisi peke yetu tupo katika nchi za ulimwengu wa tatu?
Hizo ni hisia zako mfu kwa sababu huna ushahidi kuwa sina mbinu za kuikwamua nchi hii.Nailaumu CCM kwa sababu imetawala Taifa hili kwa miaka sitini bila ya kutuvusha.
Mkuu fanyeni juu chini mzuie, Leo raisi kakiri Tanzania ni maskini.Hayo yote yanaeleweka lakini metrics ya hadi kuita mfumuko wa bei unajua inaanzia kiasi gani?
Unadhani BoT imekaa tuu kimya haichujui hatua au?
Harafu bei zimeongezeka kidogo tuu na Kwa baadhi ya vitu lakini kwenye component ya CPI ya Tanzania bado average ya bei hazijavuka hata 5% kwa hiyo hakuna mfumuko wa bei na ndio maana shilingi iko stable kabisa.
Lini hiyo Tzn uliwahi kuwa tajiri? Kuzuia ni kuzalisha au kuwa na ziada..Mkuu fanyeni juu chini mzuie, Leo raisi kakiri Tanzania ni maskini.
Hii dhana ya kudhani serikali ndio itawaletea maendeleo ni dhana mfu na ya hatari inayolea uzembe.Kwa upande wa sisi wananchi tumeshajibana mpaka mwisho ndiomana vilio vimeanza.Selikali inawajibu wa kutoa majibu ya vitendawili vya wananchi kwani ndio tuliyoipa dhamana ya kusimamia mambo haya.
Binafsi nategemea selikali kupitia wizara au taasisi husika zikitoa majibu ya namna ipi ya kukabiliana na crisis hiyo na sio kushabikia vita na kuacha wafanyabiashara wakijipangia bei watakavyo.
Uangaliege na watu wa kuwalilia. Magufuli alikuwa na roho mbaya ila alikuwa na huruma sometimes...Ni Tanzania pekee duniani mfanyabiashara anaweza kupanga bei aitakayo bila kujali chochote
Serikali kupitia waziri wa viwanda na biashara angalieni mfumuko wa bei nchini hasa bidhaa za msingi ni mkubwa mno.
Ukiuliza kila kitu unaambiwa ni sababu ya vita ya Ukraine na Urusi.
Sio kweli wafanyabiashara wengi sasa wanajificha kwenye vita hiyo kuumiza wananchi kwa kupanga bei kubwa na kunufaika juu ya hiyo vita.
Swali dogo tu hivi hapa Tanzania kila kitu tunachotumia kinatoka Urusi na Ukraine?
Bei ya Mafuta ya kula kwa lita ni 7000/= na baadhi ya mikoa ni 10,000/= na mafuta mengi yanazalishwa nchini.
Kwanini bei iko hivi. Wiki kama mbili binafsi nilifanikiwa kuona mfanyabiashara mmoja wa duka jumla unashusha shehena ya mafuta na kuficha nyumbani kwake ndani ya fensi na kupanga madumu kama 300 kuzunguka uwanja wa nyumba yake. Lakini mtaani ukiuliza unaambiwa bidhaa hii ni adimu sana sababu ya vita na ndio maana bei ni kubwa kitu ambacho si kweli.
Kwanini Serikali inafumbia macho wafanyabiashara wenye tamaa kuumiza raia wao?
Bei ya vifaa vya stationery nayo haikamatiki. Fikiria kufikia mwezi Machi mwanzoni ream ya karatasi ilikuwa ilikuwa Tsh 8000/= kwa pc1 na katoni yenye ream iliuzwa kwa Tsh 40000/= Ila kwa sasa ream 1 tu ni Tsh 15000/= mpaka 18000 baadhi ya maeneo huku katoni ikiuzwa kwa Tsh 65000/= .
Mbona Zanzibar vitu bei ni rahisi sana kwanini huku bara tunanyanyasika na huku Rais wetu umekaa kimya? Huna huruma na watu wa bara? Mbona Rais Mwinyi katangaza kushusha kodi kwa bidhaa za msingi kwa kipindi hiki cha mfungo ili bidhaa zishuke kwanini huku bara inashindikana?
Mheshimiwa Rais kauli yako uliyoisema kuwa bidhaa nyingi zitapanda kwa sababu ya vita na zitazidi kupanda sana imechukuliwa kama fimbo na wafanyabiashara kuumiza raia.
Serikali ya awamu ya tano bei ya Sukari ilipanda sana na ikawa sukari ni adimu sana lkn kwa umakini wao walihundua ni janjajanja ya wafanyabiashara walikuwa wameficha sukari ili wapandishe bei kwa kwa kuwa ni adimu.
Lkn tuliona Serikali imejitokeza na kutangaza bei kikomo kwa mikoa yote na huku ikifanya msako kukamata sukari iliyofichwa. Kwanin sasa inashindikana?
Kiukweli Rais bila kuwa mkali nchi hii hautafanikiwa kwa chochote. Watanzania wengi walishaharibika wakipata fursa wanawaza matumbo yao na kujinemeesha wao kwa wao.
Nchi hii kwa sasa ndo tuseme ni ya watu wachache? Hapo nchi jirani ya DRC bei za bidhaa za msingi zilipanda majuzijuzi tu, lakini tumeona Bunge wamemta waziri anayehusika na biashara ajiuzulu ndani ya masaa48.
Tanzania hapa kila kitu ni kusifia hata ujinga. Bunge letu mmekosa mamlaka kisheria kuchukua hatua mbalimbali kurekebisha mambo nchini?
kulikuwa hakuna cha huruma paleUangaliege na watu wa kuwalilia. Magufuli alikuwa na roho mbaya ila alikuwa na huruma sometimes...
We jamaa unaongea nini!unazungumzia wananchi kuzalisha wakati pembejeo zilipanda bei kabla hata ya msimu kuanza matokeo yake wakulima wengi wameshindwa kumudu gharama za mboleo na kuathili uzalishaji. Hakuna aliyesema selikali itulimie na wala haijawahi kufanya hivyo, labda nikuulize ni mazingira yapi safi ambayo selikali imeyaweka kumuwezesha mkulima kufanikisha uzalishaji?Hii dhana ya kudhani serikali ndio itawaletea maendeleo ni dhana mfu na ya hatari inayolea uzembe.
Serikali imeweka mazingira safi komaeni, yaani Kwa mfano tunazalisha 1/3 tuunya mafuta ya kula harafu kilochobaki tunaagiza na huko tunakoagiza kwa sasa yameadimika na yanapatikana kwa bei ghali badala mlime mchangamkie fursa mnalaumu serikali, yaani serikali ije iwalimie?
Hakuna aliyejibana kwa kiwango unachosema kwa sababu bidhaa nyingi hususani za chakula ambacho ndio muhimu bado bei ziko chini na affordable so msizushe mambo.
Unakaribu kumdanganya nani labda? Pembejeo zimepanda kuanzia mwaka Jana kwa hiyo miaka yooote Nchi ilikuwa inajitosheleza? Nimekwambia over the years mafuta ya kula uzalishaji ni 1/3 tuu na hata hizo mbolea wala hazitumiki kwenye alizeti na Mazao mengine ya mafuta..Uangaliege na watu wa kuwalilia. Magufuli alikuwa na roho mbaya ila alikuwa na huruma sometimes...
Ni Tanzania pekee duniani mfanyabiashara anaweza kupanga bei aitakayo bila kujali chochote
Serikali kupitia waziri wa viwanda na biashara angalieni mfumuko wa bei nchini hasa bidhaa za msingi ni mkubwa mno.
Ukiuliza kila kitu unaambiwa ni sababu ya vita ya Ukraine na Urusi.
Sio kweli wafanyabiashara wengi sasa wanajificha kwenye vita hiyo kuumiza wananchi kwa kupanga bei kubwa na kunufaika juu ya hiyo vita.
Swali dogo tu hivi hapa Tanzania kila kitu tunachotumia kinatoka Urusi na Ukraine?
Bei ya Mafuta ya kula kwa lita ni 7000/= na baadhi ya mikoa ni 10,000/= na mafuta mengi yanazalishwa nchini.
Kwanini bei iko hivi. Wiki kama mbili binafsi nilifanikiwa kuona mfanyabiashara mmoja wa duka jumla unashusha shehena ya mafuta na kuficha nyumbani kwake ndani ya fensi na kupanga madumu kama 300 kuzunguka uwanja wa nyumba yake. Lakini mtaani ukiuliza unaambiwa bidhaa hii ni adimu sana sababu ya vita na ndio maana bei ni kubwa kitu ambacho si kweli.
Kwanini Serikali inafumbia macho wafanyabiashara wenye tamaa kuumiza raia wao?
Bei ya vifaa vya stationery nayo haikamatiki. Fikiria kufikia mwezi Machi mwanzoni ream ya karatasi ilikuwa ilikuwa Tsh 8000/= kwa pc1 na katoni yenye ream iliuzwa kwa Tsh 40000/= Ila kwa sasa ream 1 tu ni Tsh 15000/= mpaka 18000 baadhi ya maeneo huku katoni ikiuzwa kwa Tsh 65000/= .
Mbona Zanzibar vitu bei ni rahisi sana kwanini huku bara tunanyanyasika na huku Rais wetu umekaa kimya? Huna huruma na watu wa bara? Mbona Rais Mwinyi katangaza kushusha kodi kwa bidhaa za msingi kwa kipindi hiki cha mfungo ili bidhaa zishuke kwanini huku bara inashindikana?
Mheshimiwa Rais kauli yako uliyoisema kuwa bidhaa nyingi zitapanda kwa sababu ya vita na zitazidi kupanda sana imechukuliwa kama fimbo na wafanyabiashara kuumiza raia.
Serikali ya awamu ya tano bei ya Sukari ilipanda sana na ikawa sukari ni adimu sana lkn kwa umakini wao walihundua ni janjajanja ya wafanyabiashara walikuwa wameficha sukari ili wapandishe bei kwa kwa kuwa ni adimu.
Lkn tuliona Serikali imejitokeza na kutangaza bei kikomo kwa mikoa yote na huku ikifanya msako kukamata sukari iliyofichwa. Kwanin sasa inashindikana?
Kiukweli Rais bila kuwa mkali nchi hii hautafanikiwa kwa chochote. Watanzania wengi walishaharibika wakipata fursa wanawaza matumbo yao na kujinemeesha wao kwa wao.
Nchi hii kwa sasa ndo tuseme ni ya watu wachache? Hapo nchi jirani ya DRC bei za bidhaa za msingi zilipanda majuzijuzi tu, lakini tumeona Bunge wamemta waziri anayehusika na biashara ajiuzulu ndani ya masaa48.
Tanzania hapa kila kitu ni kusifia hata ujinga. Bunge letu mmekosa mamlaka kisheria kuchukua hatua mbalimbali kurekebisha mambo nchini?
Haiko Tanzania pekee ni kweli, ila shida kuna bidhaa zinalishwa na zinapatikana hapa Tanzania, hata vifaa vingi vya Stationery vinatoka China, South Africa, Indosea na India. Tanzania hapa kila mfanyabiashara hasa waagizaji wakubwa wanapandisha bei ukiuliza unaambiwa vita ya Urusi na Ukraine inasababisha.
Kuna mtu maeneo ya kwetu kaficha mafuta ya kula nyumbani na harusu mtu kuingia nyumbani anasubiri bei ipande zaidi tena ndo atoe bidhaa yake auze kwa bei ya juu. Nipo tayri kutoa hata ushirikiano kuonyesha hayo mafuta yalikofichwa lakini Serikali yetu ya sasa haijali.
Nchi hii hii Tanzania. Shida mpo wengi mnaotetea hata upuuzi. Rais kauli zake zimechangia kupanda kwa bidhaa. Wafanyabiashara wakubwa wa Tanzania nadhan huwajui vizuri. Hata kama imeadimika sio hivyo unavyodhan. Na usifikirie kila anayeposti anaikosoa Serikali kakaa kizembe. Mimi nina kazi yangu nimejiajili. Kwenye ukwel lazima tuseme hii nchi ya watanzania wote sio wachache wanemeeke tuHii dhana ya kudhani serikali ndio itawaletea maendeleo ni dhana mfu na ya hatari inayolea uzembe.
Serikali imeweka mazingira safi komaeni, yaani Kwa mfano tunazalisha 1/3 tuunya mafuta ya kula harafu kilochobaki tunaagiza na huko tunakoagiza kwa sasa yameadimika na yanapatikana kwa bei ghali badala mlime mchangamkie fursa mnalaumu serikali, yaani serikali ije iwalimie?
Hakuna aliyejibana kwa kiwango unachosema kwa sababu bidhaa nyingi hususani za chakula ambacho ndio muhimu bado bei ziko chini na affordable so msizushe mambo.
umemjibu vyema kabisa tatizo la nchi yetu lipo kwetu wenyewe badala ya kuwa wamoja kukataa upuuzi wa watu kuna majitu yapo tu kwa ajili kutetea ujinga ilmradi buku 7000 amelipwaWe jamaa unaongea nini!unazungumzia wananchi kuzalisha wakati pembejeo zilipanda bei kabla hata ya msimu kuanza matokeo yake wakulima wengi wameshindwa kumudu gharama za mboleo na kuathili uzalishaji. Hakuna aliyesema selikali itulimie na wala haijawahi kufanya hivyo, labda nikuulize ni mazingira yapi safi ambayo selikali imeyaweka kumuwezesha mkulima kufanikisha uzalishaji?
Yani nyanya mbili kwa sh.500/=
Nyama kilo sh.9000/= kutoka 7000/= wakati huo wafanyabiashara wananunua ng'ombe kutoka kwa wafugaji kwa bei ileile ya awali, na wewe upo hapa kudai bei za bidhaa ni affordable,bro! ni mwendawazimu tu ndio anaweza kuelewa unachojaribu kukitetea.
Sijamaanisha unavyofikiria. Kwa bei za bidhaa hasa za Msingi wafanyabiashara wanapanga wenyewe bila mlaji wa mwisho. Nafanya pia biashara ila nimeathirika piaUngekuwa umewahi kuuza hata vitumbua ungefahamu wafanyabiasha wanatumia vigezo gani kupanga bei za bidhaa. Tanzania ndio mmojawapo ya nchi za kibepari zilizobaki ambazo serikali inaangilia sana biashara ya sekta binafsi ikiwemo kutoa miongozo ya bei. Hili ni jambo baya sana kwenye uchumi wa soko.