Rais tunaomba usikilize vilio vya watanzania, mfumuko wa bei ni mkubwa mno

YEYE MWENYEWE ZAIDI YA MARA TATU KACHOCHEA HILO LA BEI KUPANDA KWENYE HOTUBA ZAKE UNATRAJIA AONGEE NINI? NI KAMA ANAFURAHIA VILE WATU WAKITESEKA WAKATI KULE KWAO ZANZIBARA WANAHANGAIKA VYAKULA VISIPANDE SIJUI TUNAKOMOLEWA TULIMKOSEA NINI HUYU MAMA?
 
Wapandisha hadi maji ya kunywa kutoka 1000 hadi 1500, 3500 hadi 4000 cjui tunaelekea wapi huku mishahara ikiwa ile ile kiduchu
 
Ni Tanzania pekee duniani mfanyabiashara anaweza kupanga bei aitakayo bila kujali chochote
Serikali kupitia waziri wa viwanda na biashara angalieni mfumuko wa bei nchini hasa bidhaa za msingi ni mkubwa mno. Ukiuliza kila kitu unaambiwa ni sababu ya vita ya Ukraine na Urusi.
Sio kweli wafanyabiashara wengi sasa wanajificha kwenye vita hiyo kuumiza wananchi kwa kupanga bei kubwa na kunufaika juu ya hiyo vita.
Swali dogo tu hivi hapa Tanzania kila kitu tunachotumia kinatoka Urusi na Ukraine?
Bei ya Mafuta ya kula kwa lita ni 7000/= na baadhi ya mikoa ni 10,000/= na mafuta mengi yanazalishwa nchini. Kwanini bei iko hivi. Wiki kama mbili binafsi nilifanikiwa kuona mfanyabiashara mmoja wa duka jumla unashusha shehena ya mafuta na kuficha nyumbani kwake ndani ya fensi na kupanga madumu kama 300 kuzunguka uwanja wa nyumba yake. Lakini mtaani ukiuliza unaambiwa bidhaa hii ni adimu sana sababu ya vita na ndio maana bei ni kubwa kitu ambacho si kweli.
Kwanini Serikali inafumbia macho wafanyabiashara wenye tamaa kuumiza raia wao?
Bei ya vifaa vya stationery nayo haikamatiki. Fikiria kufikia mwezi Machi mwanzoni ream ya karatasi ilikuwa ilikuwa Tsh 8000/= kwa pc1 na katoni yenye ream iliuzwa kwa Tsh 40000/= Ila kwa sasa ream 1 tu ni Tsh 15000/= mpaka 18000 baadhi ya maeneo huku katoni ikiuzwa kwa Tsh 65000/= .
Mbona Zanzibar vitu bei ni rahisi sana kwanini huku bara tunanyanyasika na huku Rais wetu umekaa kimya? Huna huruma na watu wa bara? Mbona Rais Mwinyi katangaza kushusha kodi kwa bidhaa za msingi kwa kipindi hiki cha mfungo ili bidhaa zishuke kwanini huku bara inashindikana?
Mheshimiwa Rais kauli yako uliyoisema kuwa bidhaa nyingi zitapanda kwa sababu ya vita na zitazidi kupanda sana imechukuliwa kama fimbo na wafanyabiashara kuumiza raia. Serikali ya awamu ya tano bei ya Sukari ilipanda sana na ikawa sukari ni adimu sana lkn kwa umakini wao walihundua ni janjajanja ya wafanyabiashara walikuwa wameficha sukari ili wapandishe bei kwa kwa kuwa ni adimu. Lkn tuliona Serikali imejitokeza na kutangaza bei kikomo kwa mikoa yote na huku ikifanya msako kukamata sukari iliyofichwa. Kwanin sasa inashindikana?
Kiukweli Rais bila kuwa mkali nchi hii hautafanikiwa kwa chochote. Watanzania wengi walishaharibika wakipata fursa wanawaza matumbo yao na kujinemeesha wao kwa wao.

Nchi hii kwa sasa ndo tuseme ni ya watu wachache? Hapo nchi jirani ya DRC bei za bidhaa za msingi zilipanda majuzijuzi tu, lakini tumeona Bunge wamemta waziri anayehusika na biashara ajiuzulu ndani ya masaa48. Tanzania hapa kila kitu ni kusifia hata ujinga. Bunge letu mmekosa mamlaka kisheria kuchukua hatua mbalimbali kurekebisha mambo nchini?
Si bora DRC ni Waziri tuu ,kule Sri Lanka Baraza Zima la Mawaziri limejiuzulu,Ghana Rais na Mawaziri wamepunguziana malipo lakini unfortunately hakuna bei hata moja iliyopungua.

Swali la kufahamu ni kwamba uchumi wa Dunia wote unakabiliwa na mfumuko wa Bei,sio swala la Samia.

Mwisho serikali haiwezi kuvuruga bajeti yake Ili iweke ruzuku sijui kwenye vitu au ifute Kodi.Ikifanya hivyo itajiendeshaje? Itakwama na hutokuta hata panado hospital..

Kitu pekee serikali inaweza kufanya ni kujitahidi tuu kupunguza Kodi kwa baadhi ya maeneo,bahati nzuri hapa Tzn kinachoitwa mfumuko wa bei Kiko chini kuliko Nchi karibu zote zinazotuzunguka..

Hapo Kenya mafuta yameadimika sasa sijui ikifika huku mafuta hakuna itakuaje.

Uingereza wanasema mafuta ya alizeti yanaweza kupotea wiki zikazo na bei iko juu,kwa hiyo hili sio swala la Serikali bali ni swala la kufunga mikanda kwa kila mtu na kupunguza matumizi.

Bei zimepanda kwa sababu demand ni kubwa kuliko uzalishaji,sasa nyie mlitakaje?
 
Tanzania hapa kila kitu ni kusifia hata ujinga.

Bunge letu limekosa mamlaka ya kisheria kuchukua hatua mbalimbali kurekebisha mambo ya ajabu.

Ngoja tusubiri na tuone mwisho wake, japo tutakuwa tumechoka tukisubiri muafaka.
Leta suluhisho sio kuharisha ujinga hapa,Bei zimepanda Tzn tuu?
 
Ni Tanzania pekee duniani mfanyabiashara anaweza kupanga bei aitakayo bila kujali chochote
Serikali kupitia waziri wa viwanda na biashara angalieni mfumuko wa bei nchini hasa bidhaa za msingi ni mkubwa mno. Ukiuliza kila kitu unaambiwa ni sababu ya vita ya Ukraine na Urusi.
Sio kweli wafanyabiashara wengi sasa wanajificha kwenye vita hiyo kuumiza wananchi kwa kupanga bei kubwa na kunufaika juu ya hiyo vita.
Swali dogo tu hivi hapa Tanzania kila kitu tunachotumia kinatoka Urusi na Ukraine?
Bei ya Mafuta ya kula kwa lita ni 7000/= na baadhi ya mikoa ni 10,000/= na mafuta mengi yanazalishwa nchini. Kwanini bei iko hivi. Wiki kama mbili binafsi nilifanikiwa kuona mfanyabiashara mmoja wa duka jumla unashusha shehena ya mafuta na kuficha nyumbani kwake ndani ya fensi na kupanga madumu kama 300 kuzunguka uwanja wa nyumba yake. Lakini mtaani ukiuliza unaambiwa bidhaa hii ni adimu sana sababu ya vita na ndio maana bei ni kubwa kitu ambacho si kweli.
Kwanini Serikali inafumbia macho wafanyabiashara wenye tamaa kuumiza raia wao?
Bei ya vifaa vya stationery nayo haikamatiki. Fikiria kufikia mwezi Machi mwanzoni ream ya karatasi ilikuwa ilikuwa Tsh 8000/= kwa pc1 na katoni yenye ream iliuzwa kwa Tsh 40000/= Ila kwa sasa ream 1 tu ni Tsh 15000/= mpaka 18000 baadhi ya maeneo huku katoni ikiuzwa kwa Tsh 65000/= .
Mbona Zanzibar vitu bei ni rahisi sana kwanini huku bara tunanyanyasika na huku Rais wetu umekaa kimya? Huna huruma na watu wa bara? Mbona Rais Mwinyi katangaza kushusha kodi kwa bidhaa za msingi kwa kipindi hiki cha mfungo ili bidhaa zishuke kwanini huku bara inashindikana?
Mheshimiwa Rais kauli yako uliyoisema kuwa bidhaa nyingi zitapanda kwa sababu ya vita na zitazidi kupanda sana imechukuliwa kama fimbo na wafanyabiashara kuumiza raia. Serikali ya awamu ya tano bei ya Sukari ilipanda sana na ikawa sukari ni adimu sana lkn kwa umakini wao walihundua ni janjajanja ya wafanyabiashara walikuwa wameficha sukari ili wapandishe bei kwa kwa kuwa ni adimu. Lkn tuliona Serikali imejitokeza na kutangaza bei kikomo kwa mikoa yote na huku ikifanya msako kukamata sukari iliyofichwa. Kwanin sasa inashindikana?
Kiukweli Rais bila kuwa mkali nchi hii hautafanikiwa kwa chochote. Watanzania wengi walishaharibika wakipata fursa wanawaza matumbo yao na kujinemeesha wao kwa wao.

Nchi hii kwa sasa ndo tuseme ni ya watu wachache? Hapo nchi jirani ya DRC bei za bidhaa za msingi zilipanda majuzijuzi tu, lakini tumeona Bunge wamemta waziri anayehusika na biashara ajiuzulu ndani ya masaa48. Tanzania hapa kila kitu ni kusifia hata ujinga. Bunge letu mmekosa mamlaka kisheria kuchukua hatua mbalimbali kurekebisha mambo nchini?
watanzania wapi unatusemea, kwa upande wangu maisha yamekuwa mepesi sana nyakati za mhe. SSH ukilinganisha na dikteta uchwara
 
watanzania wapi unatusemea, kwa upande wangu maisha yamekuwa mepesi sana nyakati za mhe. SSH ukilinganisha na dikteta uchwara
Hata mimi au uliza hata mafundi,Bora mfumuko wa bei uwepo lakini pesa iwe inapatikana.

Turkey kule mfumuko wa bei uko karibu 40% tena toka mwaka Jana na maisha yanaendelea.
 
  • Thanks
Reactions: PhD
Wapandisha hadi maji ya kunywa kutoka 1000 hadi 1500, 3500 hadi 4000 cjui tunaelekea wapi huku mishahara ikiwa ile ile kiduchu
Ubunifu walioweza kuufanya ni kuweka tozo kila pahala ili wakamue akiba za wanyonge, watu tunalimwa VAT kutoa pesa kwenye akaunti ya akiba na hapo hapo ukienda kununua bidhaa na huduma unalimwa VAT. Mwarobaini wa yote haya ni katiba mpya, huwezi kumwapisha mtu awe rais kwa miaka minne wakati hakuchaguliwa na wananchi kwenye hiyo nafasi.​
 
Kwa kukusaidia ni hivi ;
CCM hakuna ushauri ambao wataweza kuuchukua isipokuwa ule tu utakaofanya waendelee kutawala.
Hii mada hapa ni kama changamsha genge tu
 
Ubunifu walioweza kuufanya ni kuweka tozo kila pahala ili wakamue akiba za wanyonge, watu tunalimwa VAT kutoa pesa kwenye akaunti ya akiba na hapo hapo ukienda kununua bidhaa na huduma unalimwa VAT. Mwarobaini wa yote haya ni katiba mpya, huwezi kumwapisha mtu awe rais kwa miaka minne wakati hakuchaguliwa na wananchi kwenye hiyo nafasi.​
Tozo hazijaenda kuliwa bali kufanya Kazi na Matokeo ya tozo ndio haya hapa sasa 👇

Screenshot_20220328-114505.png


Screenshot_20220328-115637.png


Screenshot_20220329-162740.png


Screenshot_20220329-162918.png


Screenshot_20220329-160231.png
 
Saivi kila duka lina jipandishia tu bei ya bidhaasema tuna Rais kizibo ana promote upandaji bei

Sent using Jamii Forums mobile ap
Saivi kila duka lina jipandishia tu bei ya bidhaasema tuna Rais kizibo ana promote upandaji bei

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukijipandishia tuu utamuuzia nani? Au hilo duka liko moja?

Ukiona bei kubwa ujue ni Bei ya Soko , kwenye Dunia ya ushindani huwezi kujipandishia,wewe kama una duka hebu jipandiehie tuone.
 
Kwa kukusaidia ni hivi ;
CCM hakuna ushauri ambao wataweza kuuchukua isipokuwa ule tu utakaofanya waendelee kutawala.
Hii mada hapa ni kama changamsha genge tu
Mtoa mada ametoa ushauri gani zaidi ya kulaumu na kulalamika kama Kawaida ya Watzn?

Nimemuuliza baada ya Bunge kusema Waziri ajiuzulu vitu vimeshuka bei? Hajanijibu hadi saizi.
 
Back
Top Bottom