kmdh
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 503
- 120
Muone mshamba huyu, unarudi kwenu unafikia hoteli?
Kwani tatizo liko wapi kama ni hela yangu? Si nalipa hoteli na hela yangu? Narudi tena December nafikia Sea Cliff. Nitafute nikupige bia moja mbili.
Muone mshamba huyu, unarudi kwenu unafikia hoteli?
Kwani tatizo liko wapi kama ni hela yangu? Si nalipa hoteli na hela yangu? Narudi tena December nafikia Sea Cliff. Nitafute nikupige bia moja mbili.
Sasa unataka wajenge bongo wakati wao wanakaa Marekani si ni kupoteza hela huko? Kwani wameshaamua kurudi nyumbani? Wakiamua kurudi wanaweza kujenga au hata kununua nyumba iliyosha jengwa.
Hawa ndio wakirudi Tanzania wanawaita wazazi wao waje hotelini kuwasalimia wametoka Ulaya.
Duu...Nifikiri nawasiliana na mtu mwenye uelewa, kufikia Kempisky whatever fancy hotel wakati huna kitu kijiji/mjini cha kukuhifadhi wakikutimua uko unako ishi kusiko kihalali....ni deal safi sana.
Duu...Nifikiri nawasiliana na mtu mwenye uelewa, kufikia Kempisky whatever fancy hotel wakati huna kitu kijiji/mjini cha kukuhifadhi wakikutimua uko unako ishi kusiko kihalali....ni deal safi sana.
Huyo akiona ma highways, magari mazuri, nyumba za nguvu lazima ajilipue huko huko bongo harudi.
Mkuu Ngongo.
Ukienda UK mpaka wanatia huruma kuna mji mmoja unaitwa Milton Keynes, utadhani upo Kariakoo...kuna kuna vijana wa Dar, Mwanza, Arusha, Tanga, Kilimanjaro, Zanzibar..
mimi sielewi kwanini mtanzania yuko UK or US alafu unasikia wanajihusisha na uhalifu mara wengine wameshafungwa...wanachezea tu maisha..warudi tanzania kuendeleza nchi yao na wajiendeleze wenyewe pia..mtabeba maboksi mpaka lini
mtanzania anakaa US or UK miaka 10 hana nyumba wala kiwanja..sana sana mnashindana kununua magari na kuvaa kukaa ulaya sio dili hayo mambo ya zamani. Mi nimeshakaa kote huko na nimerudi kujiendeleza na naweza kukwambia niko way better here than i ever was over there. Kuna baadhi ya watz sikatai huko nje wanakazi nzuri lakini unatumia maisha yako yote kuwachamba wazungu mavi au kubeba mapallet mtafanya hivyo mpaka lini.
Hamna jipya wengi wenu mlishakwenda ubalozini mkadunda mmebakia kulalama tu hao wanaomaliza vyuo hamjui watakwenda wapi kazi hamna, isitoshe hakuna cha ajabu wanachofanya watanzania wa USA, kizuri zaidi wanalindwa na sheria za kazi; niambie Kariakoo hakuna wabeba box? Hivi mbeba box wa kariakoo analindwa na sheria kazi? Mbona wengi wanatumikishwa na wahindi mithili ya watumwa hilo mbona hamlisemi? Basi mngeanza na hao wabeba box wa Karikoo warudi makwao; sisi hatujashindwa maisha. Kwa taarifa yako watanzania wanaoshi nje wanafanya vizuri kimaisha na wanajenga taifa kihalali angalia takwimu za Western Union na Moneygram tunatuma kiasi gani kwa mwaka? Wengi ni hasira za maisha tu na inaonekana shule hamkwenda hata kujenga hoja hamjui; nina mifano hai ya vijana chapa kazi wa kitanzania wanasomesha ndugu zao vyuo vikuu hapo bongo kwa hizo pesa za mabox; kama hoja ni uhalifu upo kila sehemu tena hapo bongo ndio umezidi. Mbona hamuawambii wamanyema waliojazana Dar warudi Kigoma? Maisha popote tu
Chama
Gongo la Mboto DSM
Mkuu mbona unawaka hivyo!??