muonamambo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 875
- 545
SUZIE .... Nimecheka mpaka mbavu zinataka kunitoka... unajua mimi nilidhani @newyork hayuko vizuri kichwani kumbe ni stress za kushindwa maisha... du pole yake sana...
Msitulaghai wakati tuna mfano hai hapahapa JF (The Big show - Le Mutuz) amekaa huko manchi yenu for years na anajigmba amesoma na anamaexposure lakini tunachoshuhudia ni misele kama pikipiki za Toyo. Hajulikani anaishi wapi maana kila siku kujinadi mara sijui Tabata au CVU, hajulikani ni under 18 au over 50 maana hata familia haitambui ukimsikia full stress mara shogangu Sinta, Joket aaagh yaani anapenda ofa na pati za kudoea ukimuona utafikiri chakuraaa.