sam2000
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 523
- 326
Hao Watanzania wanaozamia huko ni Watumwa mambo leo. Nimewakuta wengi sana US na UK, wengi wao wana maisha ya taabu kuliko hapa nyumbani. Kinachowashinda kurudi mara nyingi huwa ni uoga wakuwa "failures" wameshindwa kimaisha Tanzania wakaona huko ndio watafanikiwa, kufika huko nako wameshindwa, kwani walifikiri maisha bora yanaletwa bila kufanya kazi.
Nnakuhakikishia anaefanikiwa Tanzania hata akienda huko pia atafanikiwa lakini anaeshindwa Tanzania hata aende wapi hatoweza. Tanzania kuna fursa nyingi sana kwa anaejituma.
Well spoken bro!!!