Njia rahisi ya kuprove walishinda uchaguzi ni kumalizia kutangazwa matokeo. Hiyo haina gharama na ndiyo njia halali. Hiyo ya kuprove kwa kurudia uchaguzi is unjustifiable. HAKI ITENDEKE!Mwingine kaandika Pumba eti sasa ikiundwa tume huru halafu Jecha nd'o mwenyekiti inakuwaje?
Hivi mtu unapoambiwa tume huru, unaelewa nini au unapoambiwa neno "huru" unaelewa nini?
Maoni yangu viongozi wa CUF wakubali kurudia uchaguzi kwa kuundwa tume huru ili wathibitishe ushindi wao katika sanduku la kura. Hii ndio njia pekee kwa CUF kudhibitisha ushindi wao na kuwaumbua CCM. Sioni sababu kwa CUF kuogopa kurudia uchaguzi kama wanajua walishinda uchaguzi bila uwepo wa tume huru, sasa chini ya tume huru kinachowafanya waogope ni kitu gani?