Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,337
- 31,163
Na endapo dhifa ilitakiwa kufanywa na waziri, njia bora ilikuwa kuandaa Hotelini (naogopa watakurupuka gharama)Mbalozi si tu aliwakimbia lakini waliohusika na kuwakaribisha
walishindwa kabisa hata ustaarabu mdogo tu
picha zinaonesha mabalozi walitakiwa kusimama mbele ya vikaratasi
inaoneshwa vikaratasi viliwekwa majina yao wakaambiwa wasimame hapo
sura zao ziko very frustrated...
Awamu hii ina mbwembwe nyingi huku makosa ni mengi kupita kiasi
Leo wanaitwa 'nyumbani' mwenye nyumba kasepa! hata katika logic za mitaani haiingi akilini
Unamwalika rafiki yako 'host' anakuwa mdogo wako! teh teh
Mabalozi ni wawakilishi wa wakuu wa mataifa mengine. Inawezakaje kuwakimbia?
Nadhani hofu ni lile tangazo la kuwazuia wasifanye kazi zao au hili la ZNZ au kuna jingine. Haiwezekani lipo jambo!
Hivi the Boss unakumbu kumbu zozote ikiwa ilishawahi kutokea huko nyuma mabalozi kuitwa Ikulu na Rais akakacha?