minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Wazanzibar nyinyi ni koloni la Tanganyika hamna cha kusema wala kuamua maamuzi yote yatatoka Tanganyika, Nyerere alijua ipo siku Zanzibar utazinduka ndiyo maana alikuwa akiililia sana Serikalini moja kuondokana na Ukoloni huu. Sasa pesa nyingi itatumika kuilinda Zanzibar matokeo yake huduma nyingi zitasimama, Hii si njia sahihi ya matumizi ya pesa zitokanazo na Kodi.Huo ni mtazamo wake ,wala sio mtazamo wa wazanzibari wote milion nne