Tuelezee nini kimetokea Zanzibar? Inawezekana hujui nini kinazungumzwa au nini kimetokea huko.Ila kwakuwa wazanzibar ni wanafiki acha wapashwe moto kidogo ndo watakuwa wamoja.
wanakaa kwao wanapanga yao baadae anatokea NYANI mmoja anaanza kujikomba anawageuka wenzake,acha dhambi iwatafune
Wewe unazungumzia uchaguzi wa Zanzibar? Au unazungumzia "unafiki wa wazanzibari"?