..Mzee Ibrahim Kaduma mwenye mtizamo kama wangu naye ana makusudi?
..je, cag Prof.Assad aliyesema nyumba ziliuzwa kifisadi naye ana uwezo mdogo?
nakushangaa kweli mkuu unavyobwabwaja hoja zako siku hizi
kwa hiyo magu ndiye aliyeuza nyumba
..Mzee Ibrahim Kaduma mwenye mtizamo kama wangu naye ana makusudi?
..je, cag Prof.Assad aliyesema nyumba ziliuzwa kifisadi naye ana uwezo mdogo?
Kiongozi bora ni yule anayefuata Sheria kanuni na taratibu za nchi katika matamko na matendo yake. Kwa kifupi matamko ya Rais wetu huwa yanaacha utata zaidi badala ya suluhisho.Si mlisema mnataka raisi dikteta
Imekuwaje tena
"Unapoona hali hiyo ya kila Siku Serikali inashindwa, halafu Siku hiyo hiyo unaenda kuiomba Serikali ikuwezeshe, kwa vyovyote Serikali inapata kigugumizi" Rais Magufuli, April 29, 2016.
Chanzo: ITV Habari.
Hapa kuna maswali ya kujiuliza,
1. Je, ni lazima Serikali ishinde kesi mahakamani?
2. Je, mawakili wa serikali sharti washinde kesi, ndipo wawezeshwe?
3. Je, kauli hii ya Rais haitasababisha unyamazishaji na ukandamizaji wa Haki mahakamani, kwa kesi zinazoihusu Serikali?
USHAURI: Baadhi ya Maneno yangekuwa yanapimwa kabla Kiongozi wa nchi hajayasema. Hapo ndipo unapoona umuhimu wa written speech.
JokaKuu..kwa hiyo unakubali kwamba ziliuzwa KIFISADI lakini unashauri "tumezee."??
Tanzania ya sasa inaendeshwa kisheria na nyumba ziliuzwa kisheria...kwanini una assume haziwezi kurudishwa serikalini?
Kurekebisha makosa na kurudisha nyumba ni vitu viwili tofauti...je unamaanisha watawala wana KIBURI kilichopitiliza kinachowazuia kutubu na kurekebisha makosa yao?
Kukaa na kufikiria ni kupoteza muda kwa sababu biashara ilifanyika na haiwezi kubadilishwa...Naomba unijibu swali hili: je ungekuwa na banda/gofu ktk prime area ungeuza kwa bei ya hasara/kijinga/kifisadi kama zilivyouzwa nyumba za serikali?
nakushangaa kweli mkuu unavyobwabwaja hoja zako siku hizi
kwa hiyo magu ndiye aliyeuza nyumba
Yaani kusema ukweli inakera sana. Maana kushindwa kwao mwisho wa siku wanaoumia ni sie wananchi pale aliyekuwa anashitakiwa akija kudai fidiaMagufuli yupo sahihi, kila kazi ina tageti yake haiwezekani wakili wa serikali kesi zote unazosimamia unashindwa sasa faida yako nini kam sio kula mshahara bure.
JokaKuu
Hakuna asiyefahamu kama kuna maeneo mengine nyumba za serikali ziliuzwa below house market price kwa wakati huo lakini ikumbukwe kuwa waliouziwa hizo nyumba ni Watanzania ambao walitumia taifa.
Sisi tuliondolewa kwenye nyumba zetu na kwenda kuwekwa barabarani wakati wa operesheni vijiji. Hatujapa fidia yoyote mpaka leo. Bora hawa Watanzania waliouziwa nyumba kwa below market price.
Tanzania ya sasa inaendeshwa kisheria na nyumba ziliuzwa kisheria.
Serikali haiwezi kuwa mvunjaji wa sheria badala ya kuwa mlinda sheria.
Haziwezi kurudi serikalini kwa sababu ni mkataba wa serikali kisheria kwa wananchi wake. Nyumba hazikuuzwa kwa foreigners.
Kurekebisha makosa na kurudisha nyumba ni vitu viwili tofauti.
Ninaamini watawala na wanasiasa wamejifunza kutokana na suala hili lakini usitegemee kupata samahani kutoka kwa watawala au wanasiasa.
Samahani ni neno gumu sana kutamkwa na watawala au wanasiasa.
Just imagine, Mpaka sasa hatujapata samahani kutoka kwa watawala au wanasiasa kutokana na kadhia ya operesheni vijiji 1974.
Kukaa na kufikiria ni kupoteza muda kwa sababu biashara ilifanyika na haiwezi kubadilishwa.
Kuna watanzania walinufaika na matunda ya kazi zao serikalini kwa kuuziwa hizo nyumba. Ninaamini wanakushangaa sana unapopiga kelele eti serikali izichukue!
Mazee, sorry kama wajanja walikuwahi kwenye dili la kununua hizo nyumba za serikali!
Unakosea unapoanza kulinganisha uuzaji wa nyumba za serikali kwa watanzania wengi na wizi wa mali ya watanzania uliofanywa na watu wachache ambao wengine ni wageni...Duh!!
..wapo waTz wamefaidika kwa ufisadi wa iptl, escrow, hati fungani, etc etc
.. Je, tunapaswa kufumbia macho ufisadi huo kwasababu kuna wachache wachoyo miongoni mwetu
wamefaidika?
Duh, kwa hiyo kuna ufisadi unaokubalika? Je hii ndiyo sera mpya ya CCM ya Magufuli? Nadhani tunakoelekea si kuzuri kabisaa. Ufisadi wa nyumba za serikali umefumbiwa macho, ufisadi wa kivuko cha Bagamoyo umefumbiwa macho, ESCROW umefumbiwa macho...kwa mtindo huu tusione ajabu Lugumi kufumbiwa machoUnakosea unapoanza kulinganisha uuzaji wa nyumba za serikali kwa watanzania wengi na wizi wa mali ya watanzania uliofanywa na watu wachache ambao wengine ni wageni.
Anawaogopa kwa sababu wana vitu vyenye ncha Kali. Nadhani unanielewa.Ameongea mikataba ya sare n.k.
Sijui lakini naona kama anawaogopa hawa jamaa!.
Teh teh! upolisi nao ni taaluma mkuu au fani?Polisi ni tawi la chama ndio maana wameshindwa kumudu utendaji halisi wa kipolisi maana wanatumikia wana siasa badala ya taaluma yao.
View attachment 343579 View attachment 343580
JPM anasema: Hata kwenye kadhia ya Madawa ya Kulevya, wapo Polisi wanaohusishwa
View attachment 343579 View attachment 343580
JPM anasema: Hata kwenye kadhia ya Madawa ya Kulevya, wapo Polisi wanaohusishwa
Sasa kama tayari yumo humu kwa nini unataka mchangiaji am_tag? Nyie watu sijui kitu gani kimewaleta JF, si heri mngebakia huko huko kwenye mipasho? Kama kitu hukijui si heri uulize tu uambiwe?
Kwani ni Mbowe ndiye alisimamia utekelezaji huo kiasi cha kuwagawia hadi ndugu zake na washikaji wake baadhi ya nyumba za serikali? Utetezi mwingine hata hauna mantiki yoyote.
JokaKuu nilikuwa nafuatilia majadiliano yenu, nashukuru umesimama katika hoja hadi sasa wanatengeneza mazingira ya dhambi ndogo na dhambi kubwa!Unakosea unapoanza kulinganisha uuzaji wa nyumba za serikali kwa watanzania wengi na wizi wa mali ya watanzania uliofanywa na watu wachache ambao wengine ni wageni.
Ni ukweli mtupu, Magufuli rudisha nyumba zetu. LUGUMI isemwe hadharani isinong'wenwe nyuma ya pazia...nimesikiliza maelezo ya sumaye, hayajitoshelezi.
..kama wameweza kurudisha mashamba na viwanda walivyobinafsisha basi wanaweza kurudisha na nyumba walizoiba.
..JIZI KUU LA NYUMBA ZA SERIKALI bado lipo hai. Kwa hiyo wapenda haki na ukweli tutaendelea kusema tena na tena.
..hatuwezi kuchoka kusema ukweli.
Hizi hoja za kusema Rais Magufuli alikuwepo serikali kwa miaka 20 na kwa maana hiyo hawezi kupambana na maovu ni kama mnajaribu kuturudisha kwenye kampeni za Uchaguzi Mkuu.JokaKuu nilikuwa nafuatilia majadiliano yenu, nashukuru umesimama katika hoja hadi sasa wanatengeneza mazingira ya dhambi ndogo na dhambi kubwa!
Eti nyumba za serikali ziliuzwa kwa Watanzania!
Nyumba za serikali waliuziana na Magufuli alikuwa kiungo muhimu katika hilo. Period!
Magufuli alikuwepo serikalini miaka 20, nyumba za serikali prime area akaziuza leo anapata wapi moral authority ya kukemea polisi ikiwa alishiriki kuuza nyumba tena kwa bei ya kutupa!
Alishiriki kuuza nyumba za umma tena wakiuziana wao kwa wao na kuna taarifa ziliuzwa hadi kwa ushemeji na alikuwa kiongozi wa zoezi hilo!
Hoja hapa ni kuwa anapata wapi nguvu ya kukemea uhalifu wa Obei ikiwa aliuza nyumba za obei hapo hapo! Aliuza nyumba mawaziri wakakaa Hotelini !!!!
aombe radhi kwa kuuza nyumba, halafu twende mbele
Pili, unamsikia la LUGUMI analiongelea kwa mafumbo. Tulisema hili ni gumu sana kwa maana linawagusa , hawezi kukabiliana nao. Anatumbua akina Kabwe kwa mwendo wa hadharani, uhalifu mwingine anaongelee kwenye mikutano nyuma ya pazia na kamera
Lugumi ita define legacy yake na uwezo wake wa kupambana na maouvu
LUGUMI ita define anaongea nini na anatenda nini.
Hizi hoja za kusema Rais Magufuli alikuwepo serikali kwa miaka 20 na kwa maana hiyo hawezi kupambana na maovu ni kama mnajaribu kuturudisha kwenye kampeni za Uchaguzi Mkuu.
Huyo ambaye hakuwepo serikali ambaye unataka tumtambue kama angeweza kupambana na uovu mbona hakuchaguliwa na wananchi wengi?
Uchaguzi ulifanyika na wananchi wengi wakamchagua Magufuli kuwa Rais wao wa Tanzania, bahati nzuri au mbaya huyo mtu wako hakuchaguliwa na wananchi wengi.
Hoja za kusema hiki au kile kita define uongozi wa serikali ya Rais Magufuli ni kujifurahisha tu kifikra kwa sababu wewe kura yako ni moja tu katika sanduku la kura.
Nani amekuambia kuwa Rais anafanya kazi ili kuwa defined?
Kama uhalifu nwingine anaongelea nyuma ya pazia na kamera kama unavyodai, umejuaje suala la Lugumu ameliongelea nyuma ya pazia na kamera?
Kampeni za Uchaguzi zimeisha na Rais wa Tanzania ni John Magufuli!
Get used to it.