Nimeiskia hii habari muda huu kupitia Channel 10 ila najiuliza ni kwanini Magu anashindwa kabisa kugusua sakata la Lugumi!
Alafu hivi Taasisi ya serikali inaruhusiwa kutumia hati ya ardhi inayomiliki kuchukua mkopo benki?Au mimi sijaelewa hapa?
Ameongea mikataba ya sare n.k.
Sijui lakini naona kama anawaogopa hawa jamaa!.