Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Tena wizi wa mchana kweupee! Hasara taifa limepata ni kubwa kuliko tunavyofikiria...ndugu yangu ule ulikuwa ni WIZI.
Ni kweli kabisa, hatukubali kufungwa midomo...kuyaonea aibu haya majizi ni dhambi kubwa pia...Sasa lazima haya MAJIZI tuyaseme tu hakuna kuoneana aibu.
Bahati mbaya mtumbuaji naye ni jipu. Kwa nafsi zetu tutaendelea kupiga kelele hadi watu wote wazinduke...huu ni wakati wa kutumbua majipu. Kila mtu atumbue jipu kwa nafasi yake.