Rais Magufuli alia na ufisadi Jeshi la Polisi na Rushwa ofisi ya DPP

Kwani Magufuli alikuwa raisi au huo uamuzi ulikuwa wake binafsi?acheni lawama za kinafiki ,uamuzi ule ulikuwa wa baraza la mawaziri ,yeye magufuli alikuwa mtekelezaji tu,tunaposema mambo tutumie akili kidogo na sio kuleta ushabiki wa kihuni

..huo ni utetezi wa kitoto.

..kwanini magufuli hakujiuzulu kupinga ufisadi huo?

..kwanini akajiuzia nyumba hizo yeye na jamaa zake?

..kama alilazimishwa wakati ule, basi sasa ameshakuwa Raisi anayo mamlaka ya kubatilisha uamuzi ule wa kifisadi.
 
mbona hili swali kila siku linajibiwa au ndo umejiunga jf jana muulize mbowe , sumaye atakupa kila kitu nani aliyeuza nyumba za serikali haujiulize mbona viungozi wako wakubwa wa kitaifa hawalichukulii kama kick ya kisiasa au wew kila siku ni nyumbu nyumbu tu

..hapa hatutafuti kick ya kisiasa.

..tunasema ukweli kinyumbu- nyumbu.

..ule ulikuwa ufisadi. Magufuli anapaswa kutubu, alisema mzee ibrahim kaduma.
 
Anashindwa nini kuzungumzia mkataba huu tata kwa kuutaja moja kwa moja?Kwanini azungukezunguke?Mbona wengine anawaadhiri kwa kuwasimasha kazi hadharani tena kwa kuwataja majina?
Watu wengine bwana, ni wengi tu wamezungumzia juu ya Lugumi na wamesikika pahala pengi. Ila wewe ili uridhike mpaka magufuli aduplicate kila wazo unalofikiri wewe tena kwa muda unaoutaka wewe. Kuna ambao mnakaribia kufikiri kwamba hakuna kazi nyingine inaweza kufanyika zaidi ya Lugumi. Kwani hayo mengine aliyofanya magufuli hapo awali alifuata maoni yenu? Rais anachukua hatua pale tu yeye binafsi pamoja na vyombo vyake wanaporidhika na uchafu wowote. Kama hajaridhika basi mtavimba mpasuke na hatachukua hatua.
 
..hapa hatutafuti kick ya kisiasa.

..tunasema ukweli kinyumbu- nyumbu.

..ule ulikuwa ufisadi. Magufuli anapaswa kutubu, alisema mzee ibrahim kaduma.

muulize summaye kuna matume yaliundwa yakaja na ushahidi wa kutosha sasa wew utajuzulu ili uweje wew joha kalulu
 
Jeshi la polisi limejaa dhuluma sana.Mh.Rais atumbue tu.watu wa hali ya chini hatupati haki.
 
Naomba kuuliza tofauti kati ya
Taarifa kwa vyombo vya habari na Taarifa kwa Umma
 
Issue ya Oysterbay imekaa kihuni sana ...alafu Polisi waache kuyumbishwa na wanasiasa ....waache uoga ...wanapelekeshwa mno ....wameuza lile eneo bila kupenda ....mbona hao wanasiasa hawagusi JWTZ?
No kwa kuwa taarifa za jwtz hazisikiki,ila kuna majanga makubwa,Mungu epusha yasijulikane
 
muulize summaye kuna matume yaliundwa yakaja na ushahidi wa kutosha sasa wew utajuzulu ili uweje wew joha kalulu

..hivi wewe binafsi ungekuwa na kibanda/gofu kwenye prime area kama o'bay ungeuza kwa bei ya kutupa/kifisadi kama alivyofanya magufuli?

..kwanini hawakuuza kwa bei ya soko? Taifa limeingia HASARA kiasi gani?
 
..hivi wewe binafsi ungekuwa na kibanda/gofu kwenye prime area kama o'bay ungeuza kwa bei ya kutupa/kifisadi kama alivyofanya magufuli?

..kwanini hawakuuza kwa bei ya soko? Taifa limeingia HASARA kiasi gani?
Mkuu, mnada wa nyumba za serikali haukukupata au uliwahiwa na wajanja wakachukua nyumba ambayo ulitegemea utaipata?

Nimekuuliza kwa sababu ikianzishwa hoja kuhusu nyumba za serikali huwa unaibuka haraka kuja kutoa mchango kuhusu uuzaji wa nyumba za serikali huku ukimlaumu Rais Magufuli wakati suala hili lilishatolewa maelezo na Frederick Sumaye.

Suala la uuzaji wa nyumba za serikali ni sawa na jini lililotoka nje ya chupa na hauwezi kulirudisha, kwa maana kuwa, hata ukipiga kelele hakuna atakayezirudisha tena serikalini. Hiyo ilishatoka! Chill out!

The issue of government houses is finished and closed.

Hii ni sawa na mtu amekufa huku ukimdai pesa na hakuna uwezekano wa kuzipata pesa zako halafu unaanza kulalamika kila mara kwa watu kuhusu deni lako kwa marehemu. A pure waste of time and energy!
 
Lulu Michael ana/alikuwa na Kesi ya kumuua mpenzi wake wa utotoni Kanumba.

Hii kesi,imeishia wapi ?

Lulu imekuwaje?
Kigogo gani kamsaidia?

Polisi ni waadilifu,wataleta majibu!
 
Ila lile swala la o'bay police alienunua anawajengea nyumba takriban 400 za ordinary police kunduchi, anajenga nyumba takriban 25 gorofa moja moja pale mikocheni na anajenga kituo cha police pale pemben ya o'bay police hio ni investment kubwa sana kafanya yote hayo kwa ajili ya kupata lile eneo na kanunua pia nyumba nying sana za ule mtaa pale barabaran na baadhi washalipwa pesa nzuri kwa ajili ya phase 2 ya mara world coz pale anataka kujenga shopping mall kubwa sana africa
 
"Unapoona hali hiyo ya kila Siku Serikali inashindwa, halafu Siku hiyo hiyo unaenda kuiomba Serikali ikuwezeshe, kwa vyovyote Serikali inapata kigugumizi" Rais Magufuli, April 29, 2016.

Chanzo: ITV Habari.

Hapa kuna maswali ya kujiuliza,

1. Je, ni lazima Serikali ishinde kesi mahakamani?

2. Je, mawakili wa serikali sharti washinde kesi, ndipo wawezeshwe?

3. Je, kauli hii ya Rais haitasababisha unyamazishaji na ukandamizaji wa Haki mahakamani, kwa kesi zinazoihusu Serikali?

USHAURI: Baadhi ya Maneno yangekuwa yanapimwa kabla Kiongozi wa nchi hajayasema. Hapo ndipo unapoona umuhimu wa written speech.
 
Katika nchi zote tulizoshuhudia utawala wa Kidikteta haukuanza pasipo kuwa na viashiria hiki tunachokishuhudia sasa ni dalili tosha za kutokea kwa utawala wa Kidikteta huko tuendako kwani kitakachotokea kauli yake pekee ndio itakuwa sahihi hata kama atakuwa anavunja sheria za nchi na kuivunja katiba.
Nadhani upo sahihi..
 
"Unapoona hali hiyo ya kila Siku Serikali inashindwa, halafu Siku hiyo hiyo unaenda kuiomba Serikali ikuwezeshe, kwa vyovyote Serikali inapata kigugumizi" Rais Magufuli, April 29, 2016.

Chanzo: ITV Habari.

Hapa kuna maswali ya kujiuliza,

1. Je, ni lazima Serikali ishinde kesi mahakamani?

2. Je, mawakili wa serikali sharti washinde kesi, ndipo wawezeshwe?

3. Je, kauli hii ya Rais haitasababisha unyamazishaji na ukandamizaji wa Haki mahakamani, kwa kesi zinazoihusu Serikali?

USHAURI: Baadhi ya Maneno yangekuwa yanapimwa kabla Kiongozi wa nchi hajayasema. Hapo ndipo unapoona umuhimu wa written speech.
hapo anetoa Amri kwa majaji na mahakimu kuwahukumu watu kwa matakwa ya Serikali si kwa mujibu wa sheria pia ni dalili ya Udikteta mkubwa hapo baadae.
 
Kama unajua anahusika na yumo humu jf hebu m_tag moja kwa moja usizunguke ili uuone moto wake!!.
Sasa kama tayari yumo humu kwa nini unataka mchangiaji am_tag? Nyie watu sijui kitu gani kimewaleta JF, si heri mngebakia huko huko kwenye mipasho? Kama kitu hukijui si heri uulize tu uambiwe?
mbona hili swali kila siku linajibiwa au ndo umejiunga jf jana muulize mbowe , sumaye atakupa kila kitu nani aliyeuza nyumba za serikali haujiulize mbona viungozi wako wakubwa wa kitaifa hawalichukulii kama kick ya kisiasa au wew kila siku ni nyumbu nyumbu tu
Kwani ni Mbowe ndiye alisimamia utekelezaji huo kiasi cha kuwagawia hadi ndugu zake na washikaji wake baadhi ya nyumba za serikali? Utetezi mwingine hata hauna mantiki yoyote.
 
"Unapoona hali hiyo ya kila Siku Serikali inashindwa, halafu Siku hiyo hiyo unaenda kuiomba Serikali ikuwezeshe, kwa vyovyote Serikali inapata kigugumizi" Rais Magufuli, April 29, 2016.

Chanzo: ITV Habari.

Hapa kuna maswali ya kujiuliza,

1. Je, ni lazima Serikali ishinde kesi mahakamani?

2. Je, mawakili wa serikali sharti washinde kesi, ndipo wawezeshwe?

3. Je, kauli hii ya Rais haitasababisha unyamazishaji na ukandamizaji wa Haki mahakamani, kwa kesi zinazoihusu Serikali?

USHAURI: Baadhi ya Maneno yangekuwa yanapimwa kabla Kiongozi wa nchi hajayasema. Hapo ndipo unapoona umuhimu wa written speech.

Sawa mkulu nakubaliana na wewe,.......... ila kuna vitu vinatia mashaka hata kama sio mwanasheria kama hii kesi ya Mr, Muhando. ...........,vidhibitisho ubaoni halafu unaambiwa uchunguzi haukukamilika hii ni kweli au na wewe ni walewale!?
 
Back
Top Bottom