Matema Beach
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 364
- 67
Watu kama nyie ndiyo huwa mnawafumania wake zenu kisha unamwambia vaa twende nyumbani, unamwambia nimekusamehe lakini usirudie hata ajakuomba msamaha.
Ritz nimependa ulivyo andika pamja na kuwa huwa tunatofautiana mda mwingi kimtazamo ila kwa hili la Rais wa Tanzania kuomba radhi kwa Kagame siungi mkono hata ukiniwekea AK47 shingoni kwani itakuwa imetuzalilisha watanzania wote na si Rais kama yeye.