TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
NO PRIOR DIPLOMACY then NO RESOLUTION DIPLOMACY hakuna cha kumwomba Kagame msamaha! kwani kwa ushauri wake mh. KIKWETE hakufanya kosa lolote na hata kama kwa ukarimu wake JK ataonelea bora kumwomba radhi dhalimu Kagame, namshauri asifanye hivo. Labda aombe mkuu wa wilaya ya KONDOA kwa niaba ya RAIS ingawa hana kosa kabisa RAIS WETU.wewe unaona dhahabu za congo!!! kama JK ana uchungu na rasilimali za congo inakuwaje zetu ndo anagawa kawa pipi.. in short the man is real an intention seeker that only what i can see on him but even with his weakness never absolve Rwanda from all allegation from international community, the best thing is to handle everything in diplomatic way..
WANYARWANDA UTAWAJUA TU! YAAN WE KICHWA CHAKO HAKITOFAUTIANI KAGAME, AMBAYE ANAONA KUSHAURIWA NI DHAMBI!!!!!!! acha upungufu wa uyakinifu wewe. na huyo Kagame hawezi kupigana na TZHuyu Marcopollo Wa tz Aombe Radhi Tu Wanyarwanda Kwa Kuingilia Mambo YasiyoMhusu, Akiendelea Kubisha, Kagame Mfanye Kama Juverinal Habyrimana..... Tungulia Mbali Huko Akafie Huko....shwain!
Hata kama hammpendi Rais Kikwete, nasema kwa hili hana sababu ya kuomba radhi. Aombe ili iweje? JK watuachie sisi wenyewe tutofautiane naye huku, linapokuja suala la nchi, msimamo wetu ni mmoja-kuungana! Tusikubali kwa namna yoyote kuruhusu nguvu za nje kutuvuruga hata kama Rais wetu wengine humu ndani hawampendi.
watanzania umaskini wetu umechangiwa na vitu vingi, kwanza serikali yetu inatoa huduma kwa raia wasio wake, tangu miaka ya 70 tanzania imekuwa ikiwapokea raia kutoka rwanda na burundi, kwa wale waliozaliwa juzi hawajui kama tuna makambi ya wakimbizi huko mishamo rukwa na nk, hawa ni watutsi kutoka rwanda. Kwa wenyeji wa mikoa ya kanda ya magharibi na ziwa waulize wakwambie tumepoteza ndugu wangapi wasio na hatia kwa sababu ya siraha kutoka rwanda na burundi. Ni hekta ngapi za misitu zimeteketea kwa kuwahifadhi watu hawa? Ni maliasili kiasi gani ikiwamo wanyama hasa tembo wameteketea kwa sababu tu ya upole wetu. Kagame anaua watu bila sababu angalia yule mama mpinzania wake kamfunga kwa sababu tu ana mawazo tofauti na ya kagame, prop wetu wa mlimani aliuawa na kikundi cha majasusi wa kagame, why tuendelee kuona dhambi hii ikiendelea miaka na miaka? Now no. Ikiwezekana tumwondoe ili nchi rwanda iwe na amani ya kudumu, kwa sasa wana amani ya woga.
Wewe uliyetoa mada hii siyo mtanzania laiti tungekujua tungeiamba serikali ifuatalie uraia wako. Rais wetu ataukanwe kama mtoto mdogo harafu tukapige magoti kuomba msamaha?
Kagame amekuwa akisisitiza mazungumzo ya amani kati ya kabila huku nyuma anaingiza majeshi yake kuwapa support waasi wa m23.
Kagame ndiye aliyefanya mpango wa kumuua rais wa drc congo marehemu laurent kabila.
Ushauri kwa rais wetu, aongewe ulinzi kwaani kauli ya kagame kuwa atamsubiri sehemu na atamuua siyo kauri ya kutazamwa kirahisi, tunatakiwa kufanya maamzi sahihi katika muda sahihi.
Mtoa mada: Wale waasi walioko congo siku wakikimbizwa huko watenda wapi kama siyo kukimbilia tanzania na then kuwa majambazi kutuua kwa kusiriki ujambazi na kuteka magari?
Feedback Hiyo mifano ni tofauti bwana,Kagame anauwa na kuiba mali za Wacongo.Kikwete kamshauri aongee na ndugu zake aliepigana nao yeye hataki kwa kuwa anataka wale jamaa wazidi kuwa kule Congo ili iwe ni chanzo cha kuendeleza fujo ili aendelee kupora na kuiba.Kikwete anapomuomba msamaha Kagame ina maana anabariki uporaji na mauaji ya Kagame????Mchungaji punguza hasira ueleweke....
Mimi sioni tatizo la mleta mada, ushauri wa George na ule wa JK hauna tofauti kubwa, Kikwete anashauri Kagame akutane na waasi FDLR George naye anashauri Kikwete akutane na Kagame waombane msamaha yaishe kiutu uzima so what is the difference, kwanini ushauri wa mwingine uonekane mbaya?
Kuomba radhi kwa mtu mzima ni kuonyesha usitaarabu na ukomavu hata kama wewe ndiye uliyekosewa, radhi huepusha shari kinyume chake ni kujenga uhasama.
Wewe Kalisa kaa kimya wewe Mauaji ya kimbari yalisababishwa na Kagame na jeshi la serikali lilikuwa linajihami.Kagame ndio chanzo ya yote.Manyerere nakuheshimu sana. Hivi kweli hili ni la kitaifa au uchokozi wa waziwazi? Hivi JK amejifanya big brother na kutoatoa ushauri? Kagame ameutafsiri vingine, kwamba anajaribu kwaosha FDLR na kuwapa recognition. Manyerere ulikuwa na miaka mingapi 1994? Hawa jamaa walivyoua na kudhalilisha ubinadamu kwa hali ya juu? Jamani, tuache nationalism za kipuuzi, kwanini iwe Kikwete? Mbona Ban Ki Moon, Anan, mkongwe Museveni, Zuma, etc, hawajawahi kutoa ushauri kama huu?
...-Namshauri Rais Kikwete awaombe radhi Wanyarwanda, amuombe radhi Rais Kagame. Ampigie simu amwambie yaishe kwa kuwa hakukusudia kumuudhi wala kumkumbusha machungu ya unyama wa Interahamwe, amwalike Dar es Salaam wanywe chai na mnyinyo.-
Duh! Hii nayo inabidi iende kwenye list ya maajabu ya dunia. Kwa hiyo ukitaka kumshauri mtoto wako mbele ya wenzake aache kupigana na mtoto wa jirani utamwita faragha kwanza? Na mtoto wajirani nao vipi, au wao hawatahitaji faragha? Sasa huo si utakuwa mchezo wa kuigiza?
Ushauri wa JK ni ushauri wa UN, JK alijitolea kumfunga paka kengele. Ndio maana UN na USA wamekaa kimya huku wakimpongeza JK kwa chini chini. Na ndio maana Kagame hana amani!! Usiniulize source ya hili tafadhali, kama vipi ichukulie kama udaku tu.
Kikwete ni rais wetu, ni kweli hajafanya kosa lakini hebu tujiulize asingetoa huu ushauri malumbano haya yangekuwepo? kwani alilazimishwa kutoa ushauri? na nani alimtuma kutoa ushauri wakati wenyewe wamesema hawautaki? mkijibu hayo maswali mtajua mchokozi ni yupi, sometimes tuwe wakweli.Watu wengine mnakera sana. Kikwete amefanya kosa gani? Yeye ametoa ushauri. Kama kagame hataki ushauri mwambie aachane nao.
Kikwete ni rais wetu, ni kweli hajafanya kosa lakini hebu tujiulize asingetoa huu ushauri malumbano haya yangekuwepo? kwani alilazimishwa kutoa ushauri? na nani alimtuma kutoa ushauri wakati wenyewe wamesema hawautaki? mkijibu hayo maswali mtajua mchokozi ni yupi, sometimes tuwe wakweli.