Genekai
R I P
- Feb 9, 2010
- 12,517
- 4,987
Simpendi Kikwete toka moyoni na chama chake, ila kwa hili sioni 7bu ya yeye kushauriwa kuomba msamaha. Kwa kawaida ushauri hutolewa katika hali ya take it or leave it. Alichotakiwa kufanya Kagame ni kuuchukua au kuuacha huo ushauri wa Kikwete na siyo kupiga kelele na vijembe visivyokuwa na maana hata kidogo.
"Kikwete asiombe radhi kwa kuwa hajakosea lolote!!!!!"
"Kikwete asiombe radhi kwa kuwa hajakosea lolote!!!!!"