NUMBER 10
Member
- Aug 4, 2021
- 86
- 125
"Rwanda imekuwa kivyake, hivyo hatuogopi na hatutishwi." Hii ni kauli ya Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame wakati wa sherehe za kuupokela mwaka mpya wa 2024 uliofanyika mjini Kigali Rwanda .
Kagame anaongeza kwa kusema "Hatutishwi na uwezekano kwamba siku moja tutakuwa peke yetu tena. Tunapaswa kuwa tayari kila wakati.
Kuna wakati tutabaki peke yetu, lakini tutastahamili na kuishi vizuri tena zaidi ya nyakati zilizopita" Rais wa Rwanda Paul Kagame.
Wachambuzi wa siasa za Afrika Mashariki mnasemaje kuhusu kauli hizi za Mkuu wa nchi.
Kagame anaongeza kwa kusema "Hatutishwi na uwezekano kwamba siku moja tutakuwa peke yetu tena. Tunapaswa kuwa tayari kila wakati.
Kuna wakati tutabaki peke yetu, lakini tutastahamili na kuishi vizuri tena zaidi ya nyakati zilizopita" Rais wa Rwanda Paul Kagame.
Wachambuzi wa siasa za Afrika Mashariki mnasemaje kuhusu kauli hizi za Mkuu wa nchi.