Nilikwisha kusema tangu awali hatupati Katiba mpya Bali ni sheria ya kuhuisha Katiba ya CCM! Take ushauri wangu najua Mods wataiondoa hii ila njia ni moja tu tuanzishe maandamano ya kwenda Ikulu na kuichukua kwa mtindo wa Libya na Egypt au Yemen njia ya kupitia Bunge la makada wa CCM akina Makinda na Juha Kashlilah na zumbukuku wa CUF ambao wametosheka na serikali ya mseto Unguja ambayo imewapatia taifa la Zanzibar mimi simo kwani mabadiliko ya dhati hakuna labda karne ijayo.