Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
unajua kisa cha yeye kufukuzwa kazi na Mutharika? walitofautiana misimamo wa jinsi ya kuendesha nchi!
hii sasa ni riwaya yako.......................tofauti ni kuwa huyu mama aliona mutharika hamtaki kumrithi ndiyo maana akakimbia chama baada ya mutharika kupitisha jina la ndugu yake....sijui kaka yake.............kama angelimpitisha yeye angelibaki kusubiria kukamata dola huku akiunga mkono mambo yote ya bosi wake.........wanasiasa ni wanafiki sana.....it is all about their daily bread.......where........personal interests are permanent but mutual friendship is temporary.......