bakuza
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 490
- 100
inakera vyombo vya dola kukitumikia chama tawala. hata hivyo rais mpya wa Malawi amekuwa na papara mno ya kuwatumia kabla hata hajafikisha masaa 48 ya utawala wake.
Ila kumbuka huyu alikuwa makamu wa Rais kipindi chote hicho na anajua nini kilikuwa kinafanyika pale.