Malawi: Rais Chakwera akosolewa kwa kutuma vijana 221 wa Malawi kufanya kazi katika mashamba nchini Israel

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,115
49,835
Mashirika ya kutetea Haki za binadamu yamekosoa kiyendo Cha Rais wa Malawi bwana Lazarus Chakwera kuamua kuwauza Wananchi wake takribani Vijana 221 kuwa Manamba wa kufanya kazi kwenye mashamba huko Israel baada ya Israel kutoa Msaada wa $60mil(Bil.150) Kwa Malawi.

My Take
Nawakumbusha Watanzania huyu Rais alishinda Kupitia chama Cha Upinzani na ni Mchungaji cc Gekul aliyelelelewa na Chadema.

Miafrika ni takataka,si Bora angeomba hata Msaada Kwa Nchi jirani kama Tanzania?

=============

Wanasiasa wa upinzani nchini Malawi na mashirika ya kutetea haki za binadamu yamemkosoa Rais Lazarus Chakwera na serikali yake kwa kutuma vijana 221 wa Malawi kufanya kazi katika mashamba nchini Israel.

Hatua hiyo ya Jumamosi ilifuatia msaada wa Israel wa $60m (£47m) wiki mbili zilizopita kusaidia kuimarisha uchumi wa Malawi.

Mpango huo wa mauzo ya nje ya nchi umekosolewa huku kukiwa na wasiwasi juu ya usiri ambao ulifanyika na hatari zinazowezekana kwa raia wakati ambapo Israeli iko kwenye mzozo na kundi la Hamas la Palestina.

"Kutuma watu katika nchi inayokumbwa na vita kama Israel, ambako baadhi ya nchi zinaondoa raia wake ni jambo ambalo halijasikika," kiongozi wa upinzani wa Malawi Kondwani Nankhumwa aliambia kipindi cha Newsday cha BBC.

Pia alihoji ni kwanini serikali iliweka mpango huo kuwa siri, na kuliarifu bunge tu kuhusu mpango wa kutuma wafanyikazi katika nchi ambayo haikutajwa tarehe 22 Novemba.

Serikali imetetea mpango huo, ikisema kuwa itasafirisha Wamalawi kwenda Israel na nchi nyingine "kutimiza ahadi ya utawala huu wa kubuni nafasi za kazi na kuwawezesha vijana".

Chanzo: BBC
 
Mashirika ya kutetea Haki za binadamu yamekosoa kiyendo Cha Rais wa Malawi bwana Lazarus Chakwera kuamua kuwauza Wananchi wake takribani Vijana 221 kuwa Manamba wa kufanya kazi kwenye mashamba huko Israel baada ya Israel kutoa Msaada wa $60mil(Bil.150) Kwa Malawi.

My Take
Nawakumbusha Watanzania huyu Rais alishinda Kupitia chama Cha Upinzani na ni Mchungaji cc Gekul aliyelelelewa na Chadema.

Miafrika ni takataka,si Bora angeomba hata Msaada Kwa Nchi jirani kama Tanzania?

=============

Wanasiasa wa upinzani nchini Malawi na mashirika ya kutetea haki za binadamu yamemkosoa Rais Lazarus Chakwera na serikali yake kwa kutuma vijana 221 wa Malawi kufanya kazi katika mashamba nchini Israel.

Hatua hiyo ya Jumamosi ilifuatia msaada wa Israel wa $60m (£47m) wiki mbili zilizopita kusaidia kuimarisha uchumi wa Malawi.

Mpango huo wa mauzo ya nje ya nchi umekosolewa huku kukiwa na wasiwasi juu ya usiri ambao ulifanyika na hatari zinazowezekana kwa raia wakati ambapo Israeli iko kwenye mzozo na kundi la Hamas la Palestina.

"Kutuma watu katika nchi inayokumbwa na vita kama Israel, ambako baadhi ya nchi zinaondoa raia wake ni jambo ambalo halijasikika," kiongozi wa upinzani wa Malawi Kondwani Nankhumwa aliambia kipindi cha Newsday cha BBC.

Pia alihoji ni kwa nini serikali iliweka mpango huo kuwa siri, na kuliarifu bunge tu kuhusu mpango wa kutuma wafanyikazi katika nchi ambayo haikutajwa tarehe 22 Novemba.

Serikali imetetea mpango huo, ikisema kuwa itasafirisha Wamalawi kwenda Israel na nchi nyingine "kutimiza ahadi ya utawala huu wa kubuni nafasi za kazi na kuwawezesha vijana".

Chanzo: BBC


Mnachafua tu watu, kwa hiyo wangekuwa Malawi mngewapa nyinyi kazi?

Wapo manamba wa Malawi wengi Dar es salaam hii wanafanya kazi za hovyo.

Nyie mnafikiri wa Tanzania waliopo nje wengi ni kina nani? Manamba na matapeli.
 
Mashirika ya kutetea Haki za binadamu yamekosoa kiyendo Cha Rais wa Malawi bwana Lazarus Chakwera kuamua kuwauza Wananchi wake takribani Vijana 221 kuwa Manamba wa kufanya kazi kwenye mashamba huko Israel baada ya Israel kutoa Msaada wa $60mil(Bil.150) Kwa Malawi.

My Take
Nawakumbusha Watanzania huyu Rais alishinda Kupitia chama Cha Upinzani na ni Mchungaji cc Gekul aliyelelelewa na Chadema.

Miafrika ni takataka,si Bora angeomba hata Msaada Kwa Nchi jirani kama Tanzania?

=============

Wanasiasa wa upinzani nchini Malawi na mashirika ya kutetea haki za binadamu yamemkosoa Rais Lazarus Chakwera na serikali yake kwa kutuma vijana 221 wa Malawi kufanya kazi katika mashamba nchini Israel.

Hatua hiyo ya Jumamosi ilifuatia msaada wa Israel wa $60m (£47m) wiki mbili zilizopita kusaidia kuimarisha uchumi wa Malawi.

Mpango huo wa mauzo ya nje ya nchi umekosolewa huku kukiwa na wasiwasi juu ya usiri ambao ulifanyika na hatari zinazowezekana kwa raia wakati ambapo Israeli iko kwenye mzozo na kundi la Hamas la Palestina.

"Kutuma watu katika nchi inayokumbwa na vita kama Israel, ambako baadhi ya nchi zinaondoa raia wake ni jambo ambalo halijasikika," kiongozi wa upinzani wa Malawi Kondwani Nankhumwa aliambia kipindi cha Newsday cha BBC.

Pia alihoji ni kwa nini serikali iliweka mpango huo kuwa siri, na kuliarifu bunge tu kuhusu mpango wa kutuma wafanyikazi katika nchi ambayo haikutajwa tarehe 22 Novemba.

Serikali imetetea mpango huo, ikisema kuwa itasafirisha Wamalawi kwenda Israel na nchi nyingine "kutimiza ahadi ya utawala huu wa kubuni nafasi za kazi na kuwawezesha vijana".

Chanzo: BBC
Hawa naona wanahitaji tumehuru lakini kwanza waanze na maridhiano wagawane hela
 
Mashirika ya kutetea Haki za binadamu yamekosoa kiyendo Cha Rais wa Malawi bwana Lazarus Chakwera kuamua kuwauza Wananchi wake takribani Vijana 221 kuwa Manamba wa kufanya kazi kwenye mashamba huko Israel baada ya Israel kutoa Msaada wa $60mil(Bil.150) Kwa Malawi.



My Take

Nawakumbusha Watanzania huyu Rais alishinda Kupitia chama Cha Upinzani na ni Mchungaji cc Gekul aliyelelelewa na Chadema.



Miafrika ni takataka,si Bora angeomba hata Msaada Kwa Nchi jirani kama Tanzania?



=============



Wanasiasa wa upinzani nchini Malawi na mashirika ya kutetea haki za binadamu yamemkosoa Rais Lazarus Chakwera na serikali yake kwa kutuma vijana 221 wa Malawi kufanya kazi katika mashamba nchini Israel.



Hatua hiyo ya Jumamosi ilifuatia msaada wa Israel wa $60m (£47m) wiki mbili zilizopita kusaidia kuimarisha uchumi wa Malawi.



Mpango huo wa mauzo ya nje ya nchi umekosolewa huku kukiwa na wasiwasi juu ya usiri ambao ulifanyika na hatari zinazowezekana kwa raia wakati ambapo Israeli iko kwenye mzozo na kundi la Hamas la Palestina.



"Kutuma watu katika nchi inayokumbwa na vita kama Israel, ambako baadhi ya nchi zinaondoa raia wake ni jambo ambalo halijasikika," kiongozi wa upinzani wa Malawi Kondwani Nankhumwa aliambia kipindi cha Newsday cha BBC.



Pia alihoji ni kwa nini serikali iliweka mpango huo kuwa siri, na kuliarifu bunge tu kuhusu mpango wa kutuma wafanyikazi katika nchi ambayo haikutajwa tarehe 22 Novemba.



Serikali imetetea mpango huo, ikisema kuwa itasafirisha Wamalawi kwenda Israel na nchi nyingine "kutimiza ahadi ya utawala huu wa kubuni nafasi za kazi na kuwawezesha vijana".



Chanzo: BBC
Kijana wetu wa Tanzania amefia huko kwa program hizo hizo, Israel ukijitolea kwa Miaka m4 tu unarudi Africa ni Fedha sichini ya Million 100 za Kitanzania ambazo kwa huku ni pensheni ya walimu wa nne waliofanya kazi kwa miaka zaidi ya 20.

My Take
Bora uwe mtumwa israel kuliko kuwa msukule AKA mwananchi wa Bongo.
 
Mashirika ya kutetea Haki za binadamu yamekosoa kiyendo Cha Rais wa Malawi bwana Lazarus Chakwera kuamua kuwauza Wananchi wake takribani Vijana 221 kuwa Manamba wa kufanya kazi kwenye mashamba huko Israel baada ya Israel kutoa Msaada wa $60mil(Bil.150) Kwa Malawi.

Chanzo: BBC
Kwamba hao vijana hawalipwi ujira ? Hapo walipokuwepo walikuwa na ujira au ilikuwaje.., Are they better off now au worse ? Kwamba Ujira wanapewa wao au Rais ? Walilazimiswha kwenda au wenyewe ndio waliamua tena kwa furaha ?

Nadhani ukijibu hayo majibu kosa sio la hao watu kwenda popote kutafuta ujira wa kuweza kujipatia mahitaji muhimu bali ni Serikali zinazoongoza zote Africa (ikiwemo CCM) kukosa sera za kuhakikisha wananchi wana ajira zenye ujira wa kutosha..., Hence hao so called manamba wapo better off kuliko kijana Mtanzania ambaye wazazi wake waliuza shamba na wananchi kumpa mkopo wa elimu na leo hana ajira yoyote ya kujipatia ujira... (Kwahio hizo shutuma ziwafikie viongozi wote na serikali zote Africa ikiwemo CCM)

Nadhani hao wanaoshutumu wangewapa hao so called manamba ajira zenye ujira wala wasingeenda huko walipokwenda.... By the way kuanza kukatalia watu kwenda popote kufanya lolote ni kuwanyima haki yao ya kuchagua( na kama choices ni mbaya basi ni kosa la watunga sera kushindwa kazi yao)
 
Mashirika ya kutetea Haki za binadamu yamekosoa kiyendo Cha Rais wa Malawi bwana Lazarus Chakwera kuamua kuwauza Wananchi wake takribani Vijana 221 kuwa Manamba wa kufanya kazi kwenye mashamba huko Israel baada ya Israel kutoa Msaada wa $60mil(Bil.150) Kwa Malawi.

My Take
Nawakumbusha Watanzania huyu Rais alishinda Kupitia chama Cha Upinzani na ni Mchungaji cc Gekul aliyelelelewa na Chadema.

Miafrika ni takataka,si Bora angeomba hata Msaada Kwa Nchi jirani kama Tanzania?

=============

Wanasiasa wa upinzani nchini Malawi na mashirika ya kutetea haki za binadamu yamemkosoa Rais Lazarus Chakwera na serikali yake kwa kutuma vijana 221 wa Malawi kufanya kazi katika mashamba nchini Israel.

Hatua hiyo ya Jumamosi ilifuatia msaada wa Israel wa $60m (£47m) wiki mbili zilizopita kusaidia kuimarisha uchumi wa Malawi.

Mpango huo wa mauzo ya nje ya nchi umekosolewa huku kukiwa na wasiwasi juu ya usiri ambao ulifanyika na hatari zinazowezekana kwa raia wakati ambapo Israeli iko kwenye mzozo na kundi la Hamas la Palestina.

"Kutuma watu katika nchi inayokumbwa na vita kama Israel, ambako baadhi ya nchi zinaondoa raia wake ni jambo ambalo halijasikika," kiongozi wa upinzani wa Malawi Kondwani Nankhumwa aliambia kipindi cha Newsday cha BBC.

Pia alihoji ni kwa nini serikali iliweka mpango huo kuwa siri, na kuliarifu bunge tu kuhusu mpango wa kutuma wafanyikazi katika nchi ambayo haikutajwa tarehe 22 Novemba.

Serikali imetetea mpango huo, ikisema kuwa itasafirisha Wamalawi kwenda Israel na nchi nyingine "kutimiza ahadi ya utawala huu wa kubuni nafasi za kazi na kuwawezesha vijana".

Chanzo: BBC
Wewe akili huna, serikali ya Tanzania inapiga debe wasichana wakafanye kazi Uarabuni kwa ujira wa $300.

Bora kufanya kazi mashsmbani utapata ujuzi wa kuendesha kilimo kwenu kuliko house girl hiyo huwezi ku apply popote maishani
 
Kiasi gani wanalipwa ? Na sheria za kazi huko zinawalinda vipi ?
kwann msihoji dada zetu wanaouliwa uarabuni ,kwann mnajitua upofu inapokuja swala la waarabu , ndio maana dunia inaamin bado tunahitaj kutawaliwa sababu hatujielew
 
Mashirika ya kutetea Haki za binadamu yamekosoa kiyendo Cha Rais wa Malawi bwana Lazarus Chakwera kuamua kuwauza Wananchi wake takribani Vijana 221 kuwa Manamba wa kufanya kazi kwenye mashamba huko Israel baada ya Israel kutoa Msaada wa $60mil(Bil.150) Kwa Malawi.

My Take
Nawakumbusha Watanzania huyu Rais alishinda Kupitia chama Cha Upinzani na ni Mchungaji cc Gekul aliyelelelewa na Chadema.

Miafrika ni takataka,si Bora angeomba hata Msaada Kwa Nchi jirani kama Tanzania?

=============

Wanasiasa wa upinzani nchini Malawi na mashirika ya kutetea haki za binadamu yamemkosoa Rais Lazarus Chakwera na serikali yake kwa kutuma vijana 221 wa Malawi kufanya kazi katika mashamba nchini Israel.

Hatua hiyo ya Jumamosi ilifuatia msaada wa Israel wa $60m (£47m) wiki mbili zilizopita kusaidia kuimarisha uchumi wa Malawi.

Mpango huo wa mauzo ya nje ya nchi umekosolewa huku kukiwa na wasiwasi juu ya usiri ambao ulifanyika na hatari zinazowezekana kwa raia wakati ambapo Israeli iko kwenye mzozo na kundi la Hamas la Palestina.

"Kutuma watu katika nchi inayokumbwa na vita kama Israel, ambako baadhi ya nchi zinaondoa raia wake ni jambo ambalo halijasikika," kiongozi wa upinzani wa Malawi Kondwani Nankhumwa aliambia kipindi cha Newsday cha BBC.

Pia alihoji ni kwanini serikali iliweka mpango huo kuwa siri, na kuliarifu bunge tu kuhusu mpango wa kutuma wafanyikazi katika nchi ambayo haikutajwa tarehe 22 Novemba.

Serikali imetetea mpango huo, ikisema kuwa itasafirisha Wamalawi kwenda Israel na nchi nyingine "kutimiza ahadi ya utawala huu wa kubuni nafasi za kazi na kuwawezesha vijana".

Chanzo: BBC
Kuna shida gani kama watapata kipato kwa jasho lao,udini tu unakutesa.
Wapo waafrika wengi wanateseka nchi za kiarabu,wengine hadi kuuawa
 
Back
Top Bottom