umeooona eehsawa sawa kumtimua kazi...........unadhani hata mi niwe rais leo..lazima mwema alambe mchanga tu.
Sawa sawa kumtimua kazi...........Unadhani hata mi niwe Rais leo..lazima Mwema alambe mchanga tu.
ata jeykei alianza ivyo2 kwa nguvu ya soda,ni mapema kumsifu lets wait en c
Kazi bado anayo mama rais Joyce Banda.
Baada ya kuona Bingu wa Mutharika amefariki tena akiwa nje ya nchi mafisadi wakaanza kuangalia "loopholes" kwenye katiba ili kumweka mdogo wa marehemu Peter Wa Mutharika ili arithi kiti cha urais.
Peter Mutharika ni waziri wa mambo ya nje wizara nyeti sana na inayodhibiti sera ya nje ya nchi hiyo, kwahio ili kuendeleza usafi mama Banda ni lazima atamtimue bwana Peter Wa Mutharika maana ni kama bado yupo.
Ofcourse anatakiwa pia amtimue mkuu wa majeshi!
UKitaka uraia wa Malawi wee nenda Kyela jifunze kinyaki polepole unajisogeza Karonga bidae ukiiva kwenye kilugha chao unasogea Mzuzu then LIlongwe!
Wakikuuliza kabila unasema wewe Nkonde