Zile fuel pump siyo sahihi
Petrol stations wanatuibia sana mafuta kwani huwa wanazichezea zile pump zao ili ziwapunje wateja!!
Zile fuel pump siyo sahihi
I wish ningekuwa ninanufaika hadi useme namtetea. Au nikiamini unachoamini ndipo nitaonekana simtetei. Mbona watu mwajifanya malaika?Una kazi kubwa ya kumtetea huyo fisadi mhongo.
Kitendo cha Mhongo kukalia taarifa za uhujumu uchumi na tena akiwa waziri mwenye dhamana ni kosa kubwa sana.
Hiyo sms inadhibitisha unafiki wa mhongo, Mhongoo anastahili adhabu kali sana . maana anachohubiri na anachosimamia ni Mbingu na ardhi.!
Mkuu nadhani hujanisoma nilichoandika.Mkuu hujui serikali yetu inafanya vipi kazi.... utakuwa uko UN au umejiajiri.... waziri akutumie msg uache kutekeleza? Hujipendi..... na pale yule mama asingesema kwamba alipewa maelekezo hayo yeye alikuwa ni jipu moja kwa moja na yawezekana hata asingepewa muda wa kuandika hiyo barua.... angefukuzwa palepale..... ni uungwana wa waziri mkuu kutaka kujua undani zaidi na mdo uziri wa kumpa mtu nafasi ya kujieleza....
Hahahahaaaa duuh!Wanasema walikuwa wanapima kwa Kijiti ili wasiwaudhi wateja wao.
Basi na petrol Station watupimie mafuta kwa kijiti ili wasitupunje kwenye magariHahahahaaaa duuh!
Walikuwa wanapima kwa kutumia kijiti Mkuu kombe
http://s07.jamiiforums.com/mini/uyE8/bg_000000/txt_000000/border_000000/flags_0/
wakati hizo meter zinanunuliwa, zinafungwa na kusitishwa matumizi yake waziri wa nishati alikuwa nani?......Profesa Muwoongooo at work.
Soon ataondoshwa,
Maana kambip Alcohol.
Kila nikikumbuka hili nacheka sanaBasi na petrol Station watupimie mafuta kwa kijiti ili wasitupunje kwenye magari
Tutasikia. Mengi. Mwaka huu
Mama alisema walikuwa wanatumia vijiti.Mi nashindwa kupata jibu hivi siku zote walikua wanapima kwa kutumia nini au walikua wanakadilia
.Huyo waziri....Ana makosa mawili, kutoa siri za ziara ya kushtukiza ya waziri mkuu. pili kushiriki katika njama ya kutaka kuficha uovu...wa hapo bandarini!
Huyo waziri ashughulikiwe...muda huu hatuogopi nchi kutikisika....tumejizatitti
Huo ndo ukweli watanzania wote tuamke kumsaidia kwa faida yetu,Magufuli atapata shida sana kuiendesha nchi hii! Sasa ameshafahamu kua watakaomkwamisha anatembea nao.
bila kunyonga wahujumu uchumi wazalendo hawatabaki salama yatawakuta ya rubani wa chopa.Hii Nchi ngumu sana.
mkuu namaanisha profesa hii issue haimuachi, safari ni kitenzi, sio nomino katika thread yangu
Prof. Muhongo ni shida kwa serikali ya JPM. Utendaji kazi wake ni wa sms na anatuma maelekezo kwa watendaji na kuwanakili hadi madereva. Pia hakai ofisini muda mwingi ni safari za nje au mikoani. Wizara ya nishati kaivuruga vibaya kwa muda mfupi aliorudi, hakuna mtu mwenye morali ya kazi. Ni majungu kwa kwenda mbele na mpishi wake mkuu Maswi. Ameharibia kazi na kuhamisha watendaji wazuri kwa hila, sijui usalama wa taifa wako wapi. Wawekezaji hawana hamu nae kabisa. Leseni hazisainiwi kwa kuwa hataki kuziona. Hata mikataba haisainiwi. Kimsingi, Muhongo hamna kitu, akikaa KWENYE NAFASI HIYO kwa muda mrefu MAgu atakuja kujuta. Magu ondoa uozo huo, mtu asiyetunza siri. Kupitia ufisadi wake amenunua gari ya milioni 300 na amemjengea nyumba mkewe huku akijisifu ni msafi. Toa huyo haraka. Najaribu kuwasaidia usalama wa taifam mkibisha nendeni wenyewe muongee na watumishi wa wizara yake mtasikia mengi.Profesa Muwoongooo at work.
Soon ataondoshwa,
Maana kambip Alcohol.