Rai: Waziri aliyetuma SMS kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo awajibishwe!

Sijawah ona maagizo ya kiofisi yakitolewa kwa sms

Hujawahi itwa hata kwenye kikao kuwa unahitajika MUDA wa kikao umeanza kwa SMS? Au ukiwa kikaoni ukaletewa meseji ya kikazi ukatoa maelekezo kwa SMS?

Kama hujawahi na una simu ya mkononi uliyopewa na ofisi irudishe haraka wamempa mtu anayeitumia kwa mawasiliano na hawara zake badala ya mawasiliano ya kiofisi
 
Hawa watu wa kaskazini wana nini Mag.....chuwa hivi hakukuwa na mwenye taaluma mwingine, nida pia ni majipu hayohayo. Wachaga sasa mkae kando. Tpa nako kina.naftali. With due diligence hawa watu wasipate tena ajira za umma

Na wengine wamekabidhiwa mafagio wafagie Hospitali... hawa watu si wa kuwapa dhamana ya kuongoza hata kidogo watakusaliti tuu..washawahi kutuchome benki zetu mara kibao hawa..dah
 
Yule Mkurugenzi kataja kabisa kwamba aliyemtumia sms ni Sospeter Muhongo.
Ingawa Waziri alituma sms ambayo pia ni moja ya mawasiliano yasiyo rasmi, lakini bado huyo Mkurugenzi kaonesha udhaifu mkubwa. Hakupaswa kuongea kwamba nilitumiwa sms. Sijui alibebwa huyo mama!!! Nae ni jipu bila shaka. Asipolitumbua Waziri Mkuu, Muhongo lazima atalikamua, maana limeota pabaya.
Rais Magufuli aliwahi kusema mambo ya ajabu yanafanyika serikalini wakati alipokuwa anaongea na majaji!
Nadhani kati ya mambo ya ajabu ni hili la WAZIRI kuhujumu madhumuni ya ziara ya kushtukiza ya WAZIRI MKUU kwa lengo la kuficha ukweli!
Hii SMS ya WAZIRI ili kumtonya MKUU mtembelewaji aweke mambo sawa ililenga kumficha WAZIRI MKUU asijue ufisadi uliokuwa unaendelea ambao bila shaka mtonyaji ana habari nao!
Atumbuliwe tu ndani ya Masaa 24 yajayo maana hakuna jinsi nyingine!
 
Governor alitaka kugoma akaambiwa chagua kazi au kutekeleza maagizo, JPM anakazi kubwa mbele yake! Amezungukwa na 'mbwamwitu'(wasaidizi wake wa karibu i.e ministers etc)
Lakini Fedha hazitahamishwa tena, serikali imeondoa msimamo. That means aliyegoma kashinda.
 
Nadhani wawajibishwe kuanzia waziri wa uchukuzi wa sasa, muhongo, mwakembe,ewura,Sumatra,na watendaji wa bandari wanaohusika na mafuta, na watendaji wa vipimo hao ni tatizo.
 
Huyu anayajua haya muda mrefu toka akiwa waziri wa Jk na hata huyu wa Tamisemi maana wamehudumu eneo hilo kwa wakati tofauti
 
Rais Magufuli aliwahi kusema mambo ya ajabu yanafanyika serikalini wakati alipokuwa anaongea na majaji!
Nadhani kati ya mambo ya ajabu ni hili la WAZIRI kuhujumu madhumuni ya ziara ya kushtukiza ya WAZIRI MKUU kwa lengo la kuficha ukweli!
Hii SMS ya WAZIRI ili kumtonya MKUU mtembelewaji aweke mambo sawa ililenga kumficha WAZIRI MKUU asijue ufisadi uliokuwa unaendelea ambao bila shaka mtonyaji ana habari nao!
Atumbuliwe tu ndani ya Masaa 24 yajayo maana hakuna jinsi nyingine!
Panua uwezo wa kufikiri. Kwa nini tusifikiri ulikuwa mtego kuthibitisha kama mita hizo zilikuwa mbovu au nzima kama ripoti zikivyoeleza. Kumbe ni nzima kabisa, zikafanya kazi kwa sms!!!!

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Maghufuli kaz anayo,na watakaomkwamisha ni watendaji wala siyo Wananchi,kuna watu bado wana maslahi yao kwa namna moja au nyingine katika nchi hii
 
Leo Mh Magufuli amejionea mwenyewe jinsi mteule wake anavofanya kazi.
kwanza ni mtuhumiwa wa escrow
pili anafanya kaz kwa mazoea anavojisikia, unawezaje kuagiza maagizo mazito kwa Meseji? eti 24 hours suala Fulani lifanyike bila Official letter.

mh Magufuli, Fanya reshuffle ya baraza mapema, overconfidense ya watu itakuletea problems

take it sir, kaushauri ka lyman
Kaushauri ka layman siyo?
 
Kwani wakala wa mizani na vipimo si wapo chini ya wizara ya biashara na viwanda,au sasa wamehamishiwa kwawizara ya Professor mjivuni muongo?
 
Back
Top Bottom